mkamanga original
JF-Expert Member
- Jan 21, 2015
- 637
- 663
Ccm wenyewe wanajua kama watu wa dar hawajawahi kuiamini ccm. Ccm dar labda sana sana waibe kura. Dar ccm inachukiwa kwa sababu ya bomoa bomoa, watu kama wa kimara unategemea wawape kura ccm
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unafikiri Dar wanaishi mapoyoyo kama wa Kongwa kwa Ndugai?Wana JF habari. Mi sio mwanasiasa Ila Uchaguzi tunaoshiriki ni wengi japokuwa wengine huwa hawapigi kura Ila maneno wanayo mengi kwenye vijiwe.
Kuelekea tarehe 28.10.2020 siku ya jambo la watu Fulani.
Bado najiluliza Kama wana Dar es Salaam nao watashindwa kumpa kura JPM..
Tunatambua wale jamaa wa Buhaya wao hawana masihara kabisa hapati kitu pale mheshimiwa .
Ila sasa kwa wana Dar es Salaam habari katika television zetu zilipambwa kwa kiasi kikubwa na maendeleo ya mkoa huo.
1. SGR(Railway)
2. Mbezi Stand
3. Ubungo FlyOver
4. Kinyerezi
5. The Port
6. Airport
Na mengine mengi ni heri wana Kaskazini wamnyime Ila sio wana Dar..
Ila ngoja tuone wana DSM wanalichukuliaje hili?
Kwa nini mnaziba masikio na kung'ang'ania vitu badala ya watu?Wana JF habari. Mi sio mwanasiasa Ila Uchaguzi tunaoshiriki ni wengi japokuwa wengine huwa hawapigi kura Ila maneno wanayo mengi kwenye vijiwe.
Kuelekea tarehe 28.10.2020 siku ya jambo la watu Fulani.
Bado najiuliza Kama wana Dar es Salaam nao watashindwa kumpa kura JPM..
Tunatambua wale jamaa wa Buhaya wao hawana masihara kabisa hapati kitu pale mheshimiwa .
Ila sasa kwa wana Dar es Salaam habari katika television zetu zilipambwa kwa kiasi kikubwa na maendeleo ya mkoa huo.
1. SGR(Railway)
2. Mbezi Stand
3. Ubungo FlyOver
4. Kinyerezi
5. The Port
6. Airport
Na mengine mengi ni heri wana Kaskazini wamnyime Ila sio wana Dar..
Ila ngoja tuone wana DSM wanalichukuliaje hili?
Wanazo sana akii tatizo wanatuona sisi mazwazwaWagombea wa CCM huwa wanatuambia Tuache Kutegemea Kuajiriwa Na Serikali, Tujitegemee Na Tujiajiri Wenyewe!! Wakati Wao Wanatuomba Kura Ili Tuwape Ajira Waajiriwe Na wananchi.
TUSAIDIANE MAWAZO HAPA VIJANA WENZANGU, HAWA WATU ZIMO KWELI VICHWANI MWAO ?
Bujibuji kumbe ni jirani yangu!!Sisi wananchi wa Jimbo la uchaguzi KAWE, kata ya Msasani ambayo in mitaa ya Masaki, Oyster Bay, Makangira, Bonde la Mpunga na Mikoroshoni, kura zetu tutampa Tundu Lissu kwa kiti Cha Uraisi, huyu ni CHADEMA. Ubunge tutampa Halima Mdee a.k.a Mama Lao, Mama la chuma cha pua kutoka CHADEMA. Na ubunge tutampa Luca Neghesti, mume wa Nancy Sumari, wa CCM.
Daaah hili nadhani akili yake ni kama limbwa tuHakika wala hujakosea mkuu.View attachment 1596524
Wahaya pamoja na mambo mengine lakini nawakubali sana mkiamua jambo lenuBukoba tunajitambua hatuwezi kumchagua huyo mjinga aliyemuuaa Akwilina
Kama kukosea ku type tu ndio mtu awe ana matatizo makubwa hivyo, basi angalia na wewe hilo neno uliloliandika urgeI relevant ndio nini? Even to type an english word is a problem to you, how then can you urge with me? Show how irrelevant they are fella. Yaonekana you're very simple minded person mpaka kushindwa kuanalyse hayo unayosema mengi, sasa mimi na wewe nani ana poor understanding capacity.?
Hamna wa JK wala magu, yote ni ilani ya ccmMiradi hiyo yote siyo yake isipokuwa SGR tu. Ni miradi ya JK. Hana chake Dar.
Dar inataka haki, uhuru na maendeleo pia.
Bora hao kuliko hao wetu wa Ndio mzee Rubber stamps.. Wakiulizwa Umeoga? Ndio. Hujaoga? Ndio. Enzi za kina Mzindakaya ilikuwa komesha huwezi fananisha na hizi punda akina KibajajiHata Buhaya watampa kura nyingi tu. Pesa za tetemeko zimeboresha shule ya sekondari imekuwa ya kisasa na kuna meli zipo ziwa Victoria zinafanya kazi nzuri.
Watu wa Dar hatuna sababu ya msingi ya kumkataa Magufuli, tuna sababu ya kuwakataa wabunge wanaokwenda bungeni kuvaa vitambaa midomoni na kutoka nje ya ukumbi wakiwa wameshachukua posho ya siku.
Wakazi wa dar wanaogopa njaa ya miaka 5Saa nne asubuhi Magufuli namba moja Dar es salaam
Mikoa yote inayopakana na nchi za jirani wanajitambuaWahaya pamoja na mambo mengine lakini nawakubali sana mkiamua jambo lenu
Mkoloni asingenyanyasa watu Hadi leo tungekuwa nae akituletea maendeleoKwa nini mnaziba masikio na kung'ang'ania vitu badala ya watu?
Hivyo vitu vitano ni vichache kulinganisha na walivyofanya wakoloni, mbona waliondolewa?
Ndoto za mchana hizo,alisema atakaebaki dar ni mwanaume matokeo yake kakimbia mwenyewe,dodoma kuna fursa gani Hadi iishinde dar, population ndio uchumi wa jiji lolote.Katika mikoa iliyoathirika na serikali ya awamu ya tano ni Dar es salaam. Kuhamisha makao makuu ya nchi kwenda Dodoma ni pigo la historia kwa wakazi wa Dar es salaam. Balozi zote zitaamua Dodoma,ikulu Dodoma,wizara zote Dodoma, mashirika ya kimataifa Dodoma, mashirika ya umma Dodoma,wafanyakazi wote Dodoma,uwanja wa ndege wa msalato Dodoma. Sasa akawadanganya kuondoa foleni dar kwa kujenga flyover,sio kweli kwanza foleni dar haitakuwepo kwani serikali inaondoka kwenda Dodoma. Kwa mantiki hiyo uchumi wa dar ikifika mwaka 2025 wananchi wengi watakuwa omba omba kwani miradi yao mingi itakuwa imekufa au haipo tena.
Magufuli amehamishiwa makao makuu Dodoma kwa makusudi kwa kutambua kuwa watu wengi waliiba fedha serikalini awamu zilizopita na kuwekeza Dar,Sasa walioiba washindwe kuwekeza Dodoma na miradi iliyopo dar ife. Kwa kifupi Dar hali itakuwa mbaya sana .tunadanganywa dar itakuwa jiji la biashara biashara ipi itajwe? Utawala huu utaacha historia dar kuweni nao makini sana.
28102020 tukutane hapaWakazi wa dar wanaogopa njaa ya miaka 5