SAGAI GALGANO
JF-Expert Member
- Nov 13, 2009
- 47,706
- 69,281
Tuna kazi moja tu tarehe 28 October ya kumwaga pombe.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Haupo sawasawa wewe kwahiyo bila tetemeko shule hazikalabitiwi na meli hazitengenezwi.Basi nanyinyi DSM litokee tetemeko magorofa yapolomoke ndo mtatengenezewa mifeleji ili msimezwe na majiHata Buhaya watampa kura nyingi tu. Pesa za tetemeko zimeboresha shule ya sekondari imekuwa ya kisasa na kuna meli zipo ziwa Victoria zinafanya kazi nzuri.
Watu wa Dar hatuna sababu ya msingi ya kumkataa Magufuli, tuna sababu ya kuwakataa wabunge wanaokwenda bungeni kuvaa vitambaa midomoni na kutoka nje ya ukumbi wakiwa wameshachukua posho ya siku.
Ungejua kuwa mpaka Leo 2020 watu wanaishi kwenye mahema husingepanua mdomo wako hapa.Hata Buhaya watampa kura nyingi tu. Pesa za tetemeko zimeboresha shule ya sekondari imekuwa ya kisasa na kuna meli zipo ziwa Victoria zinafanya kazi nzuri.
Watu wa Dar hatuna sababu ya msingi ya kumkataa Magufuli, tuna sababu ya kuwakataa wabunge wanaokwenda bungeni kuvaa vitambaa midomoni na kutoka nje ya ukumbi wakiwa wameshachukua posho ya siku.
Delete ccm Oct 28Wana JF habari. Mi sio mwanasiasa Ila Uchaguzi tunaoshiriki ni wengi japokuwa wengine huwa hawapigi kura Ila maneno wanayo mengi kwenye vijiwe.
Kuelekea tarehe 28.10.2020 siku ya jambo la watu Fulani.
Bado najiuliza Kama wana Dar es Salaam nao watashindwa kumpa kura JPM..
Tunatambua wale jamaa wa Buhaya wao hawana masihara kabisa hapati kitu pale mheshimiwa .
Ila sasa kwa wana Dar es Salaam habari katika television zetu zilipambwa kwa kiasi kikubwa na maendeleo ya mkoa huo.
1. SGR(Railway)
2. Mbezi Stand
3. Ubungo FlyOver
4. Kinyerezi
5. The Port
6. Airport
Na mengine mengi ni heri wana Kaskazini wamnyime Ila sio wana Dar..
Ila ngoja tuone wana DSM wanalichukuliaje hili?
True story yanBro usituingilie katika maamuzi, jambo la tarehe 28 ni moja Tanzania nzima.
Wewe ndio haupo sawa sawa unayedandia treni kwa mbele.Haupo sawasawa wewe kwahiyo bila tetemeko shule hazikalabitiwi na meli hazitengenezwi.Basi nanyinyi DSM litokee tetemeko magorofa yapolomoke ndo mtatengenezewa mifeleji ili msimezwe na maji
Hakuna ukamilifu duniani, haipo serikali yenye kuweza kumridhisha kila mtu kadri ya matakwa yake.Ungejua kuwa mpaka Leo 2020 watu wanaishi kwenye mahema husingepanua mdomo wako hapa.
😂😂😂😂😂😂😂😂😂Ila watuUzalendo ni ku quote “Mungu Oyee”.
Umesahau kuweka na mafuriko piaWana JF habari. Mi sio mwanasiasa Ila Uchaguzi tunaoshiriki ni wengi japokuwa wengine huwa hawapigi kura Ila maneno wanayo mengi kwenye vijiwe.
Kuelekea tarehe 28.10.2020 siku ya jambo la watu Fulani.
Bado najiuliza Kama wana Dar es Salaam nao watashindwa kumpa kura JPM..
Tunatambua wale jamaa wa Buhaya wao hawana masihara kabisa hapati kitu pale mheshimiwa .
Ila sasa kwa wana Dar es Salaam habari katika television zetu zilipambwa kwa kiasi kikubwa na maendeleo ya mkoa huo.
1. SGR(Railway)
2. Mbezi Stand
3. Ubungo FlyOver
4. Kinyerezi
5. The Port
6. Airport
Na mengine mengi ni heri wana Kaskazini wamnyime Ila sio wana Dar..
Ila ngoja tuone wana DSM wanalichukuliaje hili?
Na mafuliko yale lazima iwe ya kijaniDar nzima ni kijani,
Ushindi ni dhahiri.
Kodi zetu wenyewe halafu tuzishobokee?Wana JF habari. Mi sio mwanasiasa Ila Uchaguzi tunaoshiriki ni wengi japokuwa wengine huwa hawapigi kura Ila maneno wanayo mengi kwenye vijiwe.
Kuelekea tarehe 28.10.2020 siku ya jambo la watu Fulani.
Bado najiuliza Kama wana Dar es Salaam nao watashindwa kumpa kura JPM..
Tunatambua wale jamaa wa Buhaya wao hawana masihara kabisa hapati kitu pale mheshimiwa .
Ila sasa kwa wana Dar es Salaam habari katika television zetu zilipambwa kwa kiasi kikubwa na maendeleo ya mkoa huo.
1. SGR(Railway)
2. Mbezi Stand
3. Ubungo FlyOver
4. Kinyerezi
5. The Port
6. Airport
Na mengine mengi ni heri wana Kaskazini wamnyime Ila sio wana Dar..
Ila ngoja tuone wana DSM wanalichukuliaje hili?
Wacha kugombanisha wanna Kaskazini na serekali we Nyoko. Kaskazini tuna kila huduma ambayo ni ndoto ya Usukumani, kwahiyo wanaopaswa kutokuichagua CCM ni Kanda ya ziwa na KusiniHata Buhaya watampa kura nyingi tu. Pesa za tetemeko zimeboresha shule ya sekondari imekuwa ya kisasa na kuna meli zipo ziwa Victoria zinafanya kazi nzuri.
Watu wa Dar hatuna sababu ya msingi ya kumkataa Magufuli, tuna sababu ya kuwakataa wabunge wanaokwenda bungeni kuvaa vitambaa midomoni na kutoka nje ya ukumbi wakiwa wameshachukua posho ya siku.
Labda atapata kura za jawara zake Kama wewe.Hata Buhaya watampa kura nyingi tu. Pesa za tetemeko zimeboresha shule ya sekondari imekuwa ya kisasa na kuna meli zipo ziwa Victoria zinafanya kazi nzuri.
Watu wa Dar hatuna sababu ya msingi ya kumkataa Magufuli, tuna sababu ya kuwakataa wabunge wanaokwenda bungeni kuvaa vitambaa midomoni na kutoka nje ya ukumbi wakiwa wameshachukua posho ya siku.
Uzalendo wa kuua watu?Rais ni John Pombe Joseph Magufuli. Huyu ni Mzalendo namba moja, mzaliwa wa Chato. Yule mwingine wakala wa beberu, mwenyeji wa Ubelgiji.
Mjinga mwingine ni huyu hapa, Nani kaongelea kaskazini?.Wacha kugombanisha wanna Kaskazini na serekali we Nyoko. Kaskazini tuna kila huduma ambayo ni ndoto ya Usukumani, kwahiyo wanaopaswa kutokuichagua CCM ni Kanda ya ziwa na Kusini
Kura zipo nyingi tu, wewe lala na mumeo siku ya uchaguzi wengine wataamka mapema na kwenda kupiga kura.Labda atapata kura za jawara zake Kama wewe.
Uzalendo wa kuua watu?View attachment 1601712
Kwahiyo umekubali kabisa kuwa mtandaoni Jiwe kaisha pigwa ko?Kwa bahati nzuri ninaishi maeneo matatu Tanzania.
Kote nimeona mabadiliko sio ya jiwe la msingi halafu hationi mwisho wake bali tunakuja kuona uzinduzi rasm.
Tunaoshinda mitandaoni kwa siku hatuzidi 100K.hivyo hizi danganya danganya zenu uchwara hazifiki popote,kati ya hiyo 100K.ni 3 K ndio ya ninyi wadanganyifu.
5 tena kwa JPM tuone uzinduzi wa miradi mikubwa nyie leteni mawazo kama ni mazuri yatatekelezwa.