Uchaguzi 2020 Wakazi wa Dar es Salaam kweli na nyie mtamnyima Magufuli kura?

Uchaguzi 2020 Wakazi wa Dar es Salaam kweli na nyie mtamnyima Magufuli kura?

Hata Buhaya watampa kura nyingi tu. Pesa za tetemeko zimeboresha shule ya sekondari imekuwa ya kisasa na kuna meli zipo ziwa Victoria zinafanya kazi nzuri.

Watu wa Dar hatuna sababu ya msingi ya kumkataa Magufuli, tuna sababu ya kuwakataa wabunge wanaokwenda bungeni kuvaa vitambaa midomoni na kutoka nje ya ukumbi wakiwa wameshachukua posho ya siku.
Haupo sawasawa wewe kwahiyo bila tetemeko shule hazikalabitiwi na meli hazitengenezwi.Basi nanyinyi DSM litokee tetemeko magorofa yapolomoke ndo mtatengenezewa mifeleji ili msimezwe na maji
 
Hata Buhaya watampa kura nyingi tu. Pesa za tetemeko zimeboresha shule ya sekondari imekuwa ya kisasa na kuna meli zipo ziwa Victoria zinafanya kazi nzuri.

Watu wa Dar hatuna sababu ya msingi ya kumkataa Magufuli, tuna sababu ya kuwakataa wabunge wanaokwenda bungeni kuvaa vitambaa midomoni na kutoka nje ya ukumbi wakiwa wameshachukua posho ya siku.
Ungejua kuwa mpaka Leo 2020 watu wanaishi kwenye mahema husingepanua mdomo wako hapa.
 
Wana JF habari. Mi sio mwanasiasa Ila Uchaguzi tunaoshiriki ni wengi japokuwa wengine huwa hawapigi kura Ila maneno wanayo mengi kwenye vijiwe.

Kuelekea tarehe 28.10.2020 siku ya jambo la watu Fulani.
Bado najiuliza Kama wana Dar es Salaam nao watashindwa kumpa kura JPM..

Tunatambua wale jamaa wa Buhaya wao hawana masihara kabisa hapati kitu pale mheshimiwa .

Ila sasa kwa wana Dar es Salaam habari katika television zetu zilipambwa kwa kiasi kikubwa na maendeleo ya mkoa huo.

1. SGR(Railway)
2. Mbezi Stand
3. Ubungo FlyOver
4. Kinyerezi
5. The Port
6. Airport

Na mengine mengi ni heri wana Kaskazini wamnyime Ila sio wana Dar..

Ila ngoja tuone wana DSM wanalichukuliaje hili?
Delete ccm Oct 28
 
Haupo sawasawa wewe kwahiyo bila tetemeko shule hazikalabitiwi na meli hazitengenezwi.Basi nanyinyi DSM litokee tetemeko magorofa yapolomoke ndo mtatengenezewa mifeleji ili msimezwe na maji
Wewe ndio haupo sawa sawa unayedandia treni kwa mbele.

Meli zilipangwa kujengwa kabla ya tetemeko. Shule iliharibiwa na tetemeko hivyo ilihitaji ukarabati mkubwa ambao umefanyika.

Kazi kubwa zinafanyika wenye kutazama na kuupima uhalisia wanaiona.

Wale jamaa wa pinga pinga wanaiona pia japo wanaikubali kimoyomoyo tu, hawawezi kuikubali kwa matamshi.
 
Wana JF habari. Mi sio mwanasiasa Ila Uchaguzi tunaoshiriki ni wengi japokuwa wengine huwa hawapigi kura Ila maneno wanayo mengi kwenye vijiwe.

Kuelekea tarehe 28.10.2020 siku ya jambo la watu Fulani.
Bado najiuliza Kama wana Dar es Salaam nao watashindwa kumpa kura JPM..

Tunatambua wale jamaa wa Buhaya wao hawana masihara kabisa hapati kitu pale mheshimiwa .

Ila sasa kwa wana Dar es Salaam habari katika television zetu zilipambwa kwa kiasi kikubwa na maendeleo ya mkoa huo.

1. SGR(Railway)
2. Mbezi Stand
3. Ubungo FlyOver
4. Kinyerezi
5. The Port
6. Airport

Na mengine mengi ni heri wana Kaskazini wamnyime Ila sio wana Dar..

Ila ngoja tuone wana DSM wanalichukuliaje hili?
Umesahau kuweka na mafuriko pia
 
Wana JF habari. Mi sio mwanasiasa Ila Uchaguzi tunaoshiriki ni wengi japokuwa wengine huwa hawapigi kura Ila maneno wanayo mengi kwenye vijiwe.

Kuelekea tarehe 28.10.2020 siku ya jambo la watu Fulani.
Bado najiuliza Kama wana Dar es Salaam nao watashindwa kumpa kura JPM..

Tunatambua wale jamaa wa Buhaya wao hawana masihara kabisa hapati kitu pale mheshimiwa .

Ila sasa kwa wana Dar es Salaam habari katika television zetu zilipambwa kwa kiasi kikubwa na maendeleo ya mkoa huo.

1. SGR(Railway)
2. Mbezi Stand
3. Ubungo FlyOver
4. Kinyerezi
5. The Port
6. Airport

Na mengine mengi ni heri wana Kaskazini wamnyime Ila sio wana Dar..

Ila ngoja tuone wana DSM wanalichukuliaje hili?
Kodi zetu wenyewe halafu tuzishobokee?
Kodi zetu wenyewe ndo unaombea kura?
 
Hata Buhaya watampa kura nyingi tu. Pesa za tetemeko zimeboresha shule ya sekondari imekuwa ya kisasa na kuna meli zipo ziwa Victoria zinafanya kazi nzuri.

Watu wa Dar hatuna sababu ya msingi ya kumkataa Magufuli, tuna sababu ya kuwakataa wabunge wanaokwenda bungeni kuvaa vitambaa midomoni na kutoka nje ya ukumbi wakiwa wameshachukua posho ya siku.
Wacha kugombanisha wanna Kaskazini na serekali we Nyoko. Kaskazini tuna kila huduma ambayo ni ndoto ya Usukumani, kwahiyo wanaopaswa kutokuichagua CCM ni Kanda ya ziwa na Kusini
 
Hata Buhaya watampa kura nyingi tu. Pesa za tetemeko zimeboresha shule ya sekondari imekuwa ya kisasa na kuna meli zipo ziwa Victoria zinafanya kazi nzuri.

Watu wa Dar hatuna sababu ya msingi ya kumkataa Magufuli, tuna sababu ya kuwakataa wabunge wanaokwenda bungeni kuvaa vitambaa midomoni na kutoka nje ya ukumbi wakiwa wameshachukua posho ya siku.
Labda atapata kura za jawara zake Kama wewe.
 
Rais ni John Pombe Joseph Magufuli. Huyu ni Mzalendo namba moja, mzaliwa wa Chato. Yule mwingine wakala wa beberu, mwenyeji wa Ubelgiji.
Uzalendo wa kuua watu?
IMG-20200812-WA0001.jpeg
 
Wacha kugombanisha wanna Kaskazini na serekali we Nyoko. Kaskazini tuna kila huduma ambayo ni ndoto ya Usukumani, kwahiyo wanaopaswa kutokuichagua CCM ni Kanda ya ziwa na Kusini
Mjinga mwingine ni huyu hapa, Nani kaongelea kaskazini?.
 
Kwa bahati nzuri ninaishi maeneo matatu Tanzania.
Kote nimeona mabadiliko sio ya jiwe la msingi halafu hationi mwisho wake bali tunakuja kuona uzinduzi rasm.
Tunaoshinda mitandaoni kwa siku hatuzidi 100K.hivyo hizi danganya danganya zenu uchwara hazifiki popote,kati ya hiyo 100K.ni 3 K ndio ya ninyi wadanganyifu.
5 tena kwa JPM tuone uzinduzi wa miradi mikubwa nyie leteni mawazo kama ni mazuri yatatekelezwa.
Kwahiyo umekubali kabisa kuwa mtandaoni Jiwe kaisha pigwa ko?

Sent from my Infinix X680 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom