Uwo Usalama unaitajika leo tu na sio siku zote?Wana usalama wapo kwa ajili yetu, wanalinda amani raia na mali zao, hivyo haina haja ya kupost mambo ya kutishana labda uwe ni muhalifu
Nimepita maeneo hayo, nilipowaona tumesalimiana na nimefarijika kuona amani imetamalaki.
Tupunguze kiwango cha ujinga ktk akili zetu.
kwa hiyo unawapangia jinsi ya kufanya ulinzi?
Ndo maana unajiita " Mjingiwew"
Eneo la kambi ni kawaida sana....historia ya vipind vya uchaguzi inajulikan Sasa
wameonekana mtaa gani kwani mbona una hasira sana leo?Kama haujui jeshi halina rafiki wa kudumu mwambieni aendelee kuwamwaga mtaani.
Alafu mtaona KIFUATACHO.mwambieni AENDELEE kuwaruhusu waingie mitaani.
wameonekana mtaa gani kwani mbona una hasira sana leo?
Walipoingia kitaya wakatamba kwa masaa ya kutosha walikimbilia wapi kujificha?au uwezo wetu Sasa ni kwa raia wasio na silaha ,sitaki kuamini jeshi liko hivyo katika mitano kwanza...Huko wapo wa kutosha acha Upoporo.."
Uko chama gani Tukupigie kura[emoji846]..Walipoingia kitaya wakatamba kwa masaa ya kutosha walikimbilia wapi kujificha?au uwezo wetu Sasa ni kwa raia wasio na silaha ,sitaki kuamini jeshi liko hivyo katika mitano kwanza
mtaa gani umewaona wanajeshi bwashee?[emoji16][emoji16][emoji16].sawa Mimi na hasira.
Ila mwambieni aendelee kuwamwaga mtaani atakuja kufurahia shoo.
Walijificha wapi na SAR zao?Uko chama gani Tukupigie kura[emoji846]..
Me nimepita sa5 pale lugalo nikiwa na uber wakatusimamisha tukasalimiana vzr wakauliza tunakotoka na tunakoenda hao tukasepa acheni uwoga,wewe kama sio mwalifu unaogopa nn? Kuna nchi zingine wakiona hvo ndo wanafurahi
...unajiongelesha tyu ebu kapige kura uko[emoji23][emoji23][emoji23][emoji38]..:[emoji16][emoji16][emoji16].sawa Mimi na hasira.
Ila mwambieni aendelee kuwamwaga mtaani atakuja kufurahia shoo.
mtaa gani umewaona wanajeshi bwashee?
...unajuwa mbinu za kijesh za kumteka adui...Je ulikuwepo na unauhakika hawakuenda kweny tukio...?Walijificha wapi na SAR zao?
And yet kuna watu wanakuita mzazi. Pimbi kweli weweRudi nyumbani mapema fanya mambo mengine,at least mtakua na akili kidogo tu.
Kaa bar huko uvunjwe vigoko usiku huu urudi kwako kilema sayansi
Then huwezi kuhudumia famili wala wazazi,kuna haja ya kuwa shabiki wa wanasiasa?
wanawaacha hao baada ya tar 28.
...unajiongelesha tyu ebu kapige kura uko[emoji23][emoji23][emoji23][emoji38]..:
WANAFIKI WANA JIBU VIZURIKWERI HUU UZINjia ya Mwenge hadi Lugalo kama unaelekea Tanki Bovu kuna wanajeshi wenye silaha wanasimamisha magari usiku huu na kuhoji watu wametoka wapi, wanaenda wapi.
Wakikuona umekunywa pombe wanakuzingua! Yaani kuna road blocks kabisa.
Ukiweza, pita barabara nyingine mbadala kuepuka usumbufu.
[emoji38][emoji38]nimegundua kitu....:Nipige kura ya nini?
Sasa hao ni matrafikKuna watu wana akili za hovyo,yana mtu anadiliki kusema kuwa wakikukuta umekunywa pombe wanakuzingua wakati anajua fika kunywa pombe na kuendesha chombo cha moto ni kinyume cha sheria za barabarani.
Nahisi hakuna wakati tumezalisha vijana wajinga kama nyakati hizi,Mungu tu atusaidie.