Wakazi wa Dar: Tahadhari, epuka njia hii usiku huu

Uwo Usalama unaitajika leo tu na sio siku zote?
 
Kama haujui jeshi halina rafiki wa kudumu mwambieni aendelee kuwamwaga mtaani.
Alafu mtaona KIFUATACHO.mwambieni AENDELEE kuwaruhusu waingie mitaani.
kwa hiyo unawapangia jinsi ya kufanya ulinzi?
 
Jana jwtz wakiwa na landcruiser pickup tunduru walimkamata kichaa anitwa ,wakaanza kumpiga wakaonekana na wenyewe vichaa.
Pia vijana wa CCM gree guard wampiga sereva yebo stand baada mapishano.
Tujiuulize msajili was vyama alipiga marufuku vikundi vya kimgambomgambo kwenye vyama vya siasa kwanini sisiEM Bada wanamiliki na hachukui hatua hata kukemea?
Tuikatae sisiEM tuikatae kuharibu jeshi letu linaeshimika duniani miaka yote kabla ya mitano Kwanza
 
mwambieni aendelee kuwamwaga mtaani.alafu muone kifuatacho..
Hatoamini macho yake.jeshi halina urafiki wa kudumu.
Ndo maana unajiita " Mjingiwew"
Eneo la kambi ni kawaida sana....historia ya vipind vya uchaguzi inajulikan Sasa
 
Kama haujui jeshi halina rafiki wa kudumu mwambieni aendelee kuwamwaga mtaani.
Alafu mtaona KIFUATACHO.mwambieni AENDELEE kuwaruhusu waingie mitaani.
wameonekana mtaa gani kwani mbona una hasira sana leo?
 
Me nimepita sa5 pale lugalo nikiwa na uber wakatusimamisha tukasalimiana vzr wakauliza tunakotoka na tunakoenda hao tukasepa acheni uwoga,wewe kama sio mwalifu unaogopa nn? Kuna nchi zingine wakiona hvo ndo wanafurahi
 
Me nimepita sa5 pale lugalo nikiwa na uber wakatusimamisha tukasalimiana vzr wakauliza tunakotoka na tunakoenda hao tukasepa acheni uwoga,wewe kama sio mwalifu unaogopa nn? Kuna nchi zingine wakiona hvo ndo wanafurahi
[emoji16][emoji16][emoji16].sawa Mimi na hasira.
Ila mwambieni aendelee kuwamwaga mtaani atakuja kufurahia shoo.
...unajiongelesha tyu ebu kapige kura uko[emoji23][emoji23][emoji23][emoji38]..:
 
Polisi wamepiga bomu la machozi Stakishari waumini walikuwa wakisali wamekimbia mara baada ya kuanza kukohoa.
 
And yet kuna watu wanakuita mzazi. Pimbi kweli wewe
 
WANAFIKI WANA JIBU VIZURIKWERI HUU UZI
 
Sasa hao ni matrafik
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…