Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ninesikitika sana kuuwawa kwa huyo mnyama, nadhani wataalamu wetu wako dhaifu sana kukabiliana na wanyama.
Nimekula sana swala chinichini hapo,kuanzia pale baobab secondary hadi chini ya wazo hill palikuwa kichaka baadaye wakaja wahuni na kuanza kuchimba mchanga pale vikawe na pori likayeyuka,sijui pakoje sasa hivi?Miaka ya themanini nyuma ya kiwanda cha saruji Wazo hill kulipokuwa na basketball uwanja wa mpira kulikuwa na pori kubwa hadi kwa Mzee kiwiya. Tulikuwa wadogo Nakumbuka tukiona paa sungura ngedere. Nilisikia kulikuwa na Chui pia. Ila binadamu waaribifu wamefyeka mapori yoyote.
Hapana mkuu,huyo nyati angeweza kukamatwa na kurudishwa porini bila shida,ila ndiyo hivyo askari wetu wamefundishwa kutumia nguvu kubwa hata kwa tatizo dogo,si tunaona jinsi wanavyowashughulikia wapinzani wasio hata na kiwembe mkononi? Ukijikuna tu unakula shaba dadeki!!Ulitaka watu wafe !?
Hapana kuna jinsi ya kumthibiti bila ya kumuua ama kumjeruhi.Ulitaka watu wafe !?
Hayo maeneo sasa hivi town na hapo kwa Kiwia kuna sheli inajengwaMiaka ya themanini nyuma ya kiwanda cha saruji Wazo hill kulipokuwa na basketball uwanja wa mpira kulikuwa na pori kubwa hadi kwa Mzee kiwiya. Tulikuwa wadogo Nakumbuka tukiona paa sungura ngedere. Nilisikia kulikuwa na Chui pia. Ila binadamu waaribifu wamefyeka mapori yoyote.
Ninesikitika sana kuuwawa kwa huyo mnyama, nadhani wataalamu wetu wako dhaifu sana kukabiliana na wanyama.
Ulitaka watu wafe !?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]mboga ina pilipiliWanaume wa Dar mnalubali vipi mboga ilete taharuki namna hii?
Sasa si watakuwa wamefanya ujangiri?... Constebo Sixberto Salakana amesema wamekabiliana na nyati huyo bila kusababisha madhara yoyote kwa wakazi na kufanikiwa kumlenga risasi ya kichwa mnyama huyo.