Wakazi wa Madale wapatwa na taharuki baada ya kuvamiwa na Nyati wa Porini

Wakazi wa Madale wapatwa na taharuki baada ya kuvamiwa na Nyati wa Porini

Miaka ya themanini nyuma ya kiwanda cha saruji Wazo hill kulipokuwa na basketball uwanja wa mpira kulikuwa na pori kubwa hadi kwa Mzee kiwiya. Tulikuwa wadogo Nakumbuka tukiona paa sungura ngedere. Nilisikia kulikuwa na Chui pia. Ila binadamu waaribifu wamefyeka mapori yoyote.
Nimekula sana swala chinichini hapo,kuanzia pale baobab secondary hadi chini ya wazo hill palikuwa kichaka baadaye wakaja wahuni na kuanza kuchimba mchanga pale vikawe na pori likayeyuka,sijui pakoje sasa hivi?
 
Hiyo ni mboga bana kwanza ingekua huku kweli maliasili wangekuja kujua baada ya wiki mbili
 
Miaka ya themanini nyuma ya kiwanda cha saruji Wazo hill kulipokuwa na basketball uwanja wa mpira kulikuwa na pori kubwa hadi kwa Mzee kiwiya. Tulikuwa wadogo Nakumbuka tukiona paa sungura ngedere. Nilisikia kulikuwa na Chui pia. Ila binadamu waaribifu wamefyeka mapori yoyote.
Hayo maeneo sasa hivi town na hapo kwa Kiwia kuna sheli inajengwa
 
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Nilivyoona tu kuna Mnyama Pori kaonekana nikajua ufumbuzi pekee walionao Watu wetu ni kumuua.

Hivi hawa Maofisa wa Wanyama Pori huwa hawana kabisa mafunzo ya kukamata Wanyama walioingia kwenye makazi ya Watu?. yaani kuua iwe ni hatua ya mwisho?.
 
... Constebo Sixberto Salakana amesema wamekabiliana na nyati huyo bila kusababisha madhara yoyote kwa wakazi na kufanikiwa kumlenga risasi ya kichwa mnyama huyo.
Sasa si watakuwa wamefanya ujangiri?
 
Back
Top Bottom