Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dah maeneo hayo yalikuwa pori yani hadi boko kulikuwa poriNimekula sana swala chinichini hapo,kuanzia pale baobab secondary hadi chini ya wazo hill palikuwa kichaka baadaye wakaja wahuni na kuanza kuchimba mchanga pale vikawe na pori likayeyuka,sijui pakoje sasa hivi?
Mkuu temea chini mwanawane, tembo ana nafuu!Wanaume wa Dar mnakubali vipi mboga ilete taharuki namna hii?
Wakazi wa Madale wa jijini Dar-es-salaam wakumbwa na taharuki na wngine kukimbia makazi yao baada ya kuvamiwa na nyati ambaye hajulikani alipotoka.
Nyati huyo amejeruhi watu na baadhi ya mifugo...Kikosi kazi cha Ant-robbery cha mabwepande wamefika haraka na kumuua nyati huyo.
Kiongozi wa kikosi amesema nyati huyo ni jike hivyo kuna uwezekano wa kuwa na nyati dume maeneo hayo ya madale.
View attachment 1546056
Labda katokea saadaniWakazi wa Madale wa jijini Dar-es-salaam wakumbwa na taharuki na wngine kukimbia makazi yao baada ya kuvamiwa na nyati ambaye hajulikani alipotoka.
Nyati huyo amejeruhi watu na baadhi ya mifugo...Kikosi kazi cha Ant-robbery cha mabwepande wamefika haraka na kumuua nyati huyo.
Kiongozi wa kikosi amesema nyati huyo ni jike hivyo kuna uwezekano wa kuwa na nyati dume maeneo hayo ya madale.
View attachment 1546056
Na wewe umejiwazia kama mimi usishangae kusikia kiboko aonekana jangwani[emoji23][emoji23]Da! Bado kuna wanyama pori DSM? Au ndio ndagu za uchaguzi
Inakuwaje Anti- robbery unit itumike? Mali asili walikuwa wapi? Huyo mnyama si jambazi na hakupaswa kupigwa risasi. Ni utaalamu wa Mali asili ungetumika na kumrudisha anakostahili. Hili ni doa jingine kubwa. Tunasomesha wataalamu wasiotumika wanapohitajika.
hadi wapate iyo sindano si atakua kajeruhi wengi hivi unajua nyati aki charge kichaa chake kinakuwaje wabongo bwana kila kitu mnafanya siasa hilo eneo lote lilikua mapito ya wanyama wala sio zamani sana ndio mana nazani mwaka juzi walionekana tembo mitaa ya mbezi temboni kwa mbele kule jamaa wa tanapa akaelezea vizuri kuwa binadamu wamejenga kwenye corridors za kupita wanyamaWell said wangempiga risasi yenye sindano ya usingizi wakamrudisha hifadhi ya wanyama
hadi wapate iyo sindano si atakua kajeruhi wengi hivi unajua nyati aki charge kichaa chake kinakuwaje wabongo bwana kila kitu mnafanya siasa hilo eneo lote lilikua mapito ya wanyama wala sio zamani sana ndio mana nazani mwaka juzi walionekana tembo mitaa ya mbezi temboni kwa mbele kule jamaa wa tanapa akaelezea vizuri kuwa binadamu wamejenga kwenye corridors za kupita wanyama
Kabisaaa kulikuwa na hakuna ulazima wa kuumuaaNinesikitika sana kuuwawa kwa huyo mnyama, nadhani wataalamu wetu wako dhaifu sana kukabiliana na wanyama.
Well said wangempiga risasi yenye sindano ya usingizi wakamrudisha hifadhi ya wanyama
Ukisema ujichanganye kuidaka unaweza kupigwa uhujumu uchumi....Wanaume wa Dar mnakubali vipi mboga ilete taharuki namna hii?
Asante mkuu kwa kuliona hilo, nadhangaa sana mnyama pori akionekana mjini kinachofuata ni kuuwawa kwa risasi ya SMG. Kwanini tuna idara za wanyama pori na wataalamu wa mifugo? Inashindikana vipi kucontain mnyama pori na kurudishwa porini kwenye makazi yake?Inakuwaje Anti- robbery unit itumike? Mali asili walikuwa wapi? Huyo mnyama si jambazi na hakupaswa kupigwa risasi. Ni utaalamu wa Mali asili ungetumika na kumrudisha anakostahili. Hili ni doa jingine kubwa. Tunasomesha wataalamu wasiotumika wanapohitajika.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] zagambaMkuu temea chini mwanawane, tembo ana nafuu!
Nyati huwa anaua kidhalilishaji sana kuliko unavyodhania wewe.
Hapo kwanza Mungu kawaepusha.
Maeneo ya mjini kama hayo mtu ataanza kushangaa shangaa kwamba hili zagamba la kizungu nani kaliachilia!
Ndiyo hapo madhara yanapoanza kujitokeza.