steveachi
JF-Expert Member
- Nov 7, 2011
- 10,643
- 12,247
Mimi Wilayani kwangu nautumia huo mfumo hasa kuuza ufuta,hakuna malalamiko kutoka kwa wakulima,sana sana wamefurahi kwa kupata bei nzuri ambayo hawajawahi kuipata,nikufumbue kitu kuwa wafanyabiashara walanguzi ndio wanaoupinga huu mfumo ili waendelee kumpiga mkulima,tena wanasaidiana na viongozi wakubwa serikalini kuuponga mfumo huu kwa wao pia ni wafaidika juu ya unyonyaji kwa wakulimaWewe acha porojo mfumo wa stakabadhi gharani nchi kama vietnam mkulima analopwa cash anaondoka habari za kumlipa kidogo halafu nyingine asubiri mara afhulumiwe nani anataka, kawaulize mtwara na lindi wakulima wa korosho kilichowatokea