Wakazi wa mkoa wa Kagera ni washirikina sana tofauti na tunavyowachukulia

Wakazi wa mkoa wa Kagera ni washirikina sana tofauti na tunavyowachukulia

Mdukuzii

JF-Expert Member
Joined
Jun 27, 2022
Posts
2,552
Reaction score
6,422
Huu mkoa hauna tofauti na mikoa mingine maarufu kwa mambo ya kishirikina. Tofauti na watu wanavyodhani, ukienda Bukoba vijijini kuna vilinge vya Mshana JR.

Matambiko, mila potofu, taboo, mizimu(enchweke)ndio kwao. Ukienda Karagwe, Kyerya usiseme, Ngara nao wako vizuri kwa ndumba mpaka walikuwa wanaogopa kujenga kwao.

Kuna Gavana wa BoT mzaliwa wa Ngara enzi za Mkapa alizikwa makaburi ya Buguruni Malapa sababu hakujenga kwao kuogopa.

Ukipigwa limbwata la Kihaya huchomoki.
Tusiwachukulie poa.

Sishangai mkoa wa Kagera kuwa wa mwisho kwa mapato Tanzania .
 
Na huko ndiko dini zimetamalaki,wanasali na kuswali sana lakini usiku utawakoma.
Sema tu tatizo lao ni moja,wana uchawi wa rejareja.Kuna mchawi wa huko unaweza kumpiga mkwara kwamba utamkata mapanga au kumfunga na akatii asiendelee kukuroga!
Kabisa
 
Kwa hiyo wahaya wanajifanya matawi kwamba wameenda shule kumbe ndumba tupu.
 
Back
Top Bottom