Hu Jintao
JF-Expert Member
- Feb 27, 2015
- 1,726
- 3,359
Kweli kabisa hayo Mambo yapoNi watu wa mila,matambiko,miiko.madawa ya mapenzi,nk
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kweli kabisa hayo Mambo yapoNi watu wa mila,matambiko,miiko.madawa ya mapenzi,nk
Wala ndizi wengi ni dawascoDaah ni wote sio au hadi vijijini ndichi ndio kuna DAWASCO
1. Uchawi upo maeneo yote siyo kagera tu.Huu mkoa hauna tofauti na mikoa mingine maarufu kwa mambo ya kishirikina. Tofauti na watu wanavyodhani, ukienda Bukoba vijijini kuna vilinge vya Mshana JR.
Matambiko, mila potofu, taboo, mizimu(enchweke)ndio kwao. Ukienda Karagwe, Kyerya usiseme, Ngara nao wako vizuri kwa ndumba mpaka walikuwa wanaogopa kujenga kwao.
Kuna Gavana wa BoT mzaliwa wa Ngara enzi za Mkapa alizikwa makaburi ya Buguruni Malapa sababu hakujenga kwao kuogopa.
Ukipigwa limbwata la Kihaya huchomoki.
Tusiwachukulie poa.
Sishangai mkoa wa Kagera kuwa wa mwisho kwa mapato Tanzania .
Gilman Rutuhinda ex gavana kwao ngara,au ngara ni burundi,kaburi lake lipo malapa buguruni1. Uchawi upo maeneo yote siyo kagera tu.
2. Mkoa wa kagera haujawahi kutoa gavana wa BOT
Gillan Rutihinda.1. Uchawi upo maeneo yote siyo kagera tu.
2. Mkoa wa kagera haujawahi kutoa gavana wa BOT
Gilman. ......Gillan Rutihinda.
Mzaliwa wa kijiji cha Nyamiaga wilaya ya Ngara.
Ndumba zote hizo mbona hawarogi majambazi, wauaji na watekaji? Ndumba zinaishia kwenye mambo ya kijinga tu?Huu mkoa hauna tofauti na mikoa mingine maarufu kwa mambo ya kishirikina. Tofauti na watu wanavyodhani, ukienda Bukoba vijijini kuna vilinge vya Mshana JR.
Matambiko, mila potofu, taboo, mizimu(enchweke)ndio kwao. Ukienda Karagwe, Kyerya usiseme, Ngara nao wako vizuri kwa ndumba mpaka walikuwa wanaogopa kujenga kwao.
Kuna Gavana wa BoT mzaliwa wa Ngara enzi za Mkapa alizikwa makaburi ya Buguruni Malapa sababu hakujenga kwao kuogopa.
Ukipigwa limbwata la Kihaya huchomoki.
Tusiwachukulie poa.
Sishangai mkoa wa Kagera kuwa wa mwisho kwa mapato Tanzania .
hii iko hivyo, wanaenda makanisani/misikitini kama kichakaNa kuna uwezekano mkubwa sana kwamba wachawi wengi hapa Tanaznia nao walishakimbilia makanisani kwenda kujificha humo; kwa kweli tuna hali mbaya mno!
Kuamini mandumbandumba ni KUKOSA AKILI!Ndumba zote hizo mbona hawarogi majambazi, wauaji na watekaji? Ndumba zinaishia kwenye mambo ya kijinga tu?
Yaani aiseeKuamini mandumbandumba ni KUKOSA AKILI!
Kwani ungemtaja tu huyo Gavana alikuwa akiitwa Gilman Rutihinda ( R.I.P ) ungepungukiwa nini?Huu mkoa hauna tofauti na mikoa mingine maarufu kwa mambo ya kishirikina. Tofauti na watu wanavyodhani, ukienda Bukoba vijijini kuna vilinge vya Mshana JR.
Matambiko, mila potofu, taboo, mizimu(enchweke)ndio kwao. Ukienda Karagwe, Kyerya usiseme, Ngara nao wako vizuri kwa ndumba mpaka walikuwa wanaogopa kujenga kwao.
Kuna Gavana wa BoT mzaliwa wa Ngara enzi za Mkapa alizikwa makaburi ya Buguruni Malapa sababu hakujenga kwao kuogopa.
Ukipigwa limbwata la Kihaya huchomoki.
Tusiwachukulie poa.
Sishangai mkoa wa Kagera kuwa wa mwisho kwa mapato Tanzania .
Mzee hili la Rutihinda kuzikwa Buguruni lifanyie utafiti zaidi, mimi huyu Gavana akifariki wazazi wangu walikua wanafanya kazi huko nakumbuka Ngara ilikua na wageni wengi walikuja msibani kutoka Dsm so I believe alizikwa Ngara. Kuhusu kujenga kwao you might be right or wrong, nyumbani kwao mpaka anafariki ilikua one of the few quality houses in Ngara though naweza kukubaliana na wewe kwa sababu sidhani kama ilikua ni class ya Gavana. Btw mzee wake alikua Askofu/Pastor (not certain) so ile nyumba angeweza kuimudu pia.Gilman Rutuhinda ex gavana kwao ngara,au ngara ni burundi,kaburi lake lipo malapa buguruni
Ahaaa nilikuwa ngara kipindi hicho mkuu,Mzee hili la Rutihinda kuzikwa Buguruni lifanyie utafiti zaidi, mimi huyu Gavana akifariki wazazi wangu walikua wanafanya kazi huko nakumbuka Ngara ilikua na wageni wengi walikuja msibani kutoka Dsm so I believe alizikwa Ngara. Kuhusu kujenga kwao you might be right or wrong, nyumbani kwao mpaka anafariki ilikua one of the few quality houses in Ngara though naweza kukubaliana na wewe kwa sababu sidhani kama ilikua ni class ya Gavana. Btw mzee wake alikua Askofu/Pastor (not certain) so ile nyumba angeweza kuimudu pia.
Either way I enjoyed my living there, weather ilikua murua ila baridi ikizidi panatisha, vyakula vya asili ilikua poa sana. Wana watoto wazuri sana ila inabidi ufanye kazi kuwaondolea kaushamba [emoji23]
Acha uongo unashindwa hata kugoogleGilman Rutihinda hakuwahi kuwa gavana Bali alikuwa waziri wa fedha
Alikuwa Gavana na waziri wa fedha wakati huo alikuwa Stephen Kibona na wote walikufa wanafutana.Gilman Rutihinda hakuwahi kuwa gavana Bali alikuwa waziri wa fedha