Wakazi wa Ngorongoro, tunawakumbusha tu kwamba hata sisi wa maeneo mengine ya Tanzania, kama Kuna maslahi ya umma, tulihamishwa

Wamekuwepo kwa miaka mingapi?

Sababu kuu za kuwahamisha ni zipi?

Toa sababu 5
 
Haiwezekani,
Haiwezekani,
Huwezi lInganisha hayo, huwezi kuhalalisha GENOCIDE
GENOCIDE sio Upanuzi wa barabara, GENOCIDE ni GENOCIDE.
 
Umetaja kuhamishwa kupisha miradi ya maendeleo.

Hawa hawahamishwi kupisha mradi wa maendeleo.

Bali wanafukuzwa kupisha waarabu wa Oman wakawinde na kubeba wanyama hai.

Hiyo ndio tofauti iliyopo.
Hayo ni yako, kama mwarabu ana maslahi mapana ya nchi sawa kabisa.
 
Haiwezekani,
Haiwezekani,
Huwezi lInganisha hayo, huwezi kuhalalisha GENOCIDE
GENOCIDE sio Upanuzi wa barabara, GENOCIDE ni GENOCIDE.
 
Kwa hili nipo tayari wawapeleke hao wanyama UARABUNI na wengine kama hapatoshi huko, wakimaliza World Cup QUATAR wapelekwe kwenye yale maviwanja tuwaangalie, lakini hili la kuhamisha Jamii nzima/hata iwe robo NALIKATAA katu katu.
Stop this Genocidal thought.
 
Huwezi halalisha Uangamizaji wa Jamii kwa porojo za ISIS.
Huwezi linganisha maovu ya hao ISIS na Wamasai. Haiwezekani.

Labda useme Serikali yetu ndio inashadidia hayo. Ya Kuangamiza.

GENOCIDE IS GENOCIDE....Fullstop.
 
umeandika kama litoto lijinga, wewe ni ljjinga
 
Hiyo ndio akili yako finyu tulivunjiwa nyumba zetu kupisha miundo mbinu na hao wamasai ni watanzania na ardhi ni mali ya serikali na lengo ni kutunza mbuga za wanyama kwa maslahi ya umma wahame tu kama wengine anavyohamishwa.

Wamasai ni sehemu ya utalii wee msukule wa walamba asali…
 
Hatukubali lazma tukiwashe,uko nyuma ya keyboard wenzako wanavunjwa ngoko huko.
 
Eti Bunda kupisha wanyama kwenda kunywa maji hivi unakua kwa mwezi ni wanyama wangapi wana pita kwenda huko lake Victoria kunywa maji?kwa taarifa yako sasa kwa mwaka hawafiki hapa tembo 20 wanaoenda kunywa maji lake Victoria kupitia kijiji cha nyatwali au ndabaka gate.so hizo ni propaganda za kijijga nia hayo maeneo ya nyatwali bunda kuna matajili wengi saana wanayataka kujenga campsite na hotel za kitalii hawana maeneo yaani uhamishi kijijin kwa tembo 10?na hao tembo wanafuata kula matikiki maji ya wanakijiji sio maji,kwa nini wasijenge bwawa la maji ndani ya serengeti ili wanyama wakanywa maji ndani ya hifadhi?
 
Binadamu wanatakiwa kupisha kwa lazima mradi wa kijamii na sio wawekezaji.

Na ikiwa ni wawekezaji basi lazima pawe na mazungumzo hadi upatikane muafaka.
mwambie yeye aende oman halafu tuone kama mwarabu anaweza fukuzwa ili mbongo ajenge hotel?
 
Raia wa nchi hii kama Taifa tumeshapotea siku nyingi sana. Yule anayetakiwa mtetezi wa wananchi ndio muoneaji, mporaji na muuaji wa wananchi.

Wale wanaotakiwa kusimama pamoja na wahanga nao wamegeuka vuvuzela la waoneji, wanyang'anyi na wachumia tumbo kwa jina la uwekezezaji mara kufungua nchi utadhani kuna makufuli yaliifunga.
 
Eti wanajifanya kudinda kwa kuamini maneno ya wazushi..

Maelfu ya watu wamebomolewa Majumba yao Kwa ajili ya maslahi ya Nchi kama barabara sembuse Masai?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…