othuman dan fodio
JF-Expert Member
- Jan 2, 2018
- 6,850
- 11,033
Yote hayo kipindi Cha mtesi yalikuwepo lkn muliufyata.
Mwacheni mama aupige mwingi.
Mwacheni mama aupige mwingi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Anguko li lajaMmelogwa na ccm,mliipenda wenyewe hata mvimbe mpasuke,ccm mbele kwa mbele.
Ukitaka kula na kipofu usimshike mkonomambo ya vyama vya upinzani yanatuangusha sana ona sasa hivi wako kwenye maridhiano badala ya kufanya mambo ya msingi kwa ajili ya Taifa
Mungu yupo.Anguko li laja
Mungu hapendi ujinga. Jisimamie akuinueMungu yupo.
Watumishi wenye majibu ya dharau na kejeli. Kweli leo mfanyakazi wako nyumbani akujibu kama Mwigulu si utamvunja mguu? Je hawa tuliowapa dhamana wana jeuri gani?tupo hapa tulipo kwasababu yakuwaacha mabwanyenye warelax na sio kuwapa pressure itakayowajulisha kila mara wao ni watumishi wetu.
Akili kama hizi ndio chanzo cha kuwa hapa tulipo. Hata ukweli hamtaki usemwe nyambafAndamana tunakusubiri
Mbona sijaona ulizo likielekea kwa mwanakijiji yeyote 🤔Mods msije kufuta uzi mtakua mmenikosea (mmetukosea) haki ya kikatiba na tutafika mahakamani ikibidi.
Ujerumami wanadai kuongezewa mishahara Germany 'mega strike': Public transport network halted over pay
Ufaransa wanaandamana kukataa kubadilishwa sheria ya mafao
![]()
French police clash with water reservoir protesters
The unrest follows weeks of protests against President Emmanuel Macron's pension reforms.www.bbc.com
Israel wanagoma katiba kubadilishwa kuwa ya kidikteta Netanyahu said to now back overhaul freeze; anti-riot police clear out Tel Aviv rally
Ureno wameandamana kuhusu hali ngumu ya maisha Thousands protest in Portugal over cost-of-living crisis
Sir Lanka wameandamana kuhusu uchaguzi Sri Lanka Police Fires Tear Gas at Election Protest; 15 Injured
Kenya wanaandamana hali ngumu ya maisha Kenya protests: Raila Odinga's convoy tear-gassed in Nairobi
South Africa wanaandamana hali ngumu ya maisha S. Africa Police, Soldiers Deploy for Opposition-Led Protests
Sisi Tanzania tunaishiaje kulalamika mitandaoni kuhusu katiba mpya? Kuhusu hali ngumu ya maisha? Demokrasia? Kubakwa kwa uchaguzi? N.k.
Tulilogwa na nani? Najiuliza tu!!
Erythrocyte Mmawia brazaj Arovera Mrs Lissu
Unamaanisha nini?Mbona sijaona ulizo likielekea kwa mwanakijiji yeyote 🤔
Hii nchi ni ngumu sana. Tutatukwanwa sana na akina Madelu lakini kila mtu atakuambia kudai haki hakukuletei ugali mezaniChile rais walimtengua madarakani lkn raia bado waliendelea kuandamana.
Greece ilitokea ajali ya treni, waziri wa usafiri akajiuzulu lkn raia waliendelea kuandamana mpk waziri mkuu akaomba radhi.
South Africa umeme kukatika na kutokuwa na imani na rais wameingia barabarani kuandamana.
Tunisia wameingia barabarani baada ya maneno ya kibaguzi aliyotoa rais wao.
nk
nk
nk