Hatujarogwa! Ni wewe unakataa kusimama mbele na sisi tuka kufuata kuandamana. Twambie uliposimama sote watanzania tutaunga nyuma yako ili tuandamane kama wajerumani etc. Lakini tunaandamana kutaka nini?Mods msije kufuta uzi mtakua mmenikosea (mmetukosea) haki ya kikatiba na tutafika mahakamani ikibidi.
Ujerumami wanadai kuongezewa mishahara Germany 'mega strike': Public transport network halted over pay
Ufaransa wanaandamana kukataa kubadilishwa sheria ya mafao
French police clash with water reservoir protesters
The unrest follows weeks of protests against President Emmanuel Macron's pension reforms.www.bbc.com
Israel wanagoma katiba kubadilishwa kuwa ya kidikteta Netanyahu said to now back overhaul freeze; anti-riot police clear out Tel Aviv rally
Ureno wameandamana kuhusu hali ngumu ya maisha Thousands protest in Portugal over cost-of-living crisis
Sir Lanka wameandamana kuhusu uchaguzi Sri Lanka Police Fires Tear Gas at Election Protest; 15 Injured
Kenya wanaandamana hali ngumu ya maisha Kenya protests: Raila Odinga's convoy tear-gassed in Nairobi
South Africa wanaandamana hali ngumu ya maisha S. Africa Police, Soldiers Deploy for Opposition-Led Protests
Sisi Tanzania tunaishiaje kulalamika mitandaoni kuhusu katiba mpya? Kuhusu hali ngumu ya maisha? Demokrasia? Kubakwa kwa uchaguzi? N.k.
Tulilogwa na nani? Najiuliza tu!!
Erythrocyte Mmawia brazaj Arovera Mrs Lissu
Huna unachotaka? Hali yako nzuri? Unalamba asali?Hatujarogwa! Ni wewe unakataa kusimama mbele na sisi tuka kufuata kuandamana. Twambie uliposimama sote watanzania tutaunga nyuma yako ili tuandamane kama wajerumani etc. Lakini tunaandamana kutaka nini?
Ccm...Tulilogwa na nani? Najiuliza tu!!
Hatuwezi toka kwenye huo mtego?Ccm...
JohntheBaptist nae unataka akupe Mawazo mbadala. Hapana!Mods msije kufuta uzi mtakua mmenikosea (mmetukosea) haki ya kikatiba na tutafika mahakamani ikibidi.
Ujerumami wanadai kuongezewa mishahara Germany 'mega strike': Public transport network halted over pay
Ufaransa wanaandamana kukataa kubadilishwa sheria ya mafao
French police clash with water reservoir protesters
The unrest follows weeks of protests against President Emmanuel Macron's pension reforms.www.bbc.com
Israel wanagoma katiba kubadilishwa kuwa ya kidikteta Netanyahu said to now back overhaul freeze; anti-riot police clear out Tel Aviv rally
Ureno wameandamana kuhusu hali ngumu ya maisha Thousands protest in Portugal over cost-of-living crisis
Sir Lanka wameandamana kuhusu uchaguzi Sri Lanka Police Fires Tear Gas at Election Protest; 15 Injured
Kenya wanaandamana hali ngumu ya maisha Kenya protests: Raila Odinga's convoy tear-gassed in Nairobi
South Africa wanaandamana hali ngumu ya maisha S. Africa Police, Soldiers Deploy for Opposition-Led Protests
Sisi Tanzania tunaishiaje kulalamika mitandaoni kuhusu katiba mpya? Kuhusu hali ngumu ya maisha? Demokrasia? Kubakwa kwa uchaguzi? N.k.
Tulilogwa na nani? Najiuliza tu!!
Erythrocyte Mmawia brazaj Arovera Mrs Lissu johnthebaptist
HAKI huwa haiombwi. Unadai HAKI. Na unayemdai anajua athari za kukupa hiyo hali.kwani huwezi kudai haki yako bila kuandamana ?
Kwani bwashee johnthebaptist hana mawazo mbadala?JohntheBaptist nae unataka akupe Mawazo mbadala. Hapana!
Baada ya maridhiano wanatakiwa waunde coalition ya upinzinimambo ya vyama vya upinzani yanatuangusha sana ona sasa hivi wako kwenye maridhiano badala ya kufanya mambo ya msingi kwa ajili ya Taifa
Ikumbukwe Mbowe alijaribu yakaja ya Akwirina,kiuharisia akafungwa na kubughudhiwa mali zake familia ikateaeka kwa kesi kibao,jaribu kwa namba tofauti.Mku unahitaji kufikiri kabla ya kutaka kuandamana. Usifikiri Mh.Mbowe kudai haki kwa kutumia busara hajui kitu. Yule Jama anajua anachofanya na atafika mbali. Chadema tunatakiwa tutulie ili mambo yasivurugike. Hebu na ww omba busara kwa Mwenyezi Mungu akuzawadie hekima ikusaidie na kuongoza wanafamilia yako.
Eti wajipimie ๐คฃWatawala wa ovyo๐๐๐๐
View attachment 2567714