Wake wa Marais wetu na Mambo yao

Wake wa Marais wetu na Mambo yao

hasara loo mtu mzima kuvamia mambo ya udaku na kuanza kulaumu kwanza fuatilia upashwe na ndio unene sio upayukwe utadhani umepandwa na kibuki

pole mradi
Lmao! Kibuki!? Yaani tayari ndandamaro yupo kichwani... au makata!? JF are very funny lol!
 
Nani aliyesimama mbele ya umma, hata kufanya press conference na kulalamika? Au Tanzania... sorry, I mean Zanzibar... hakuna uhuru wa maoni, kuongea, kulalamika?
 
Wana ndugu hili jambo nafikiri inatukumbusha ule uzama wa ufalme hivi sasa kila sehemu ya zanzibar utokosa jina la karume mwishoni...sasa naona na hawa walio uongozini wameamua kula kivyao....pale forodhan tulipokuwa tukiingia na kutafuta samaki wa pweza ukiwa na mkeo...leo hii kumefungwa wanaakarabati na habari za uhakika ni kwamba mke wa RAIS wa ZANZIBAR mama shadya karume katunukiwa kipande ile...kwa hiyo wale ndeugu zzetu waliotoka bara kuja zanzibar kuuza pweza ni wakati wa kurudi kwao mbagala kuangalia kama wnaweza pata mafao ya nyumba zao walizokimbia.....sioni mantiki ya kugawa hizi nchi kwa kisingizio cha me wa rais...jamani mama mkapa bado kidogo atuache UC*** WA MNYAMA KILA SEHEMU YAKE MPAKA MAJUZI KAJIFANYA KUMUUZIA MTU LILE HOTEL LAKE KUBADILI NA JINA KUMBE FIX...MAMA SALMA NAE ALTHOUGH AJATOKA RASMI NATUMAINI NNDANI YA MIAKA 5 NA WAMA YAKE LAZIMA WAMTAMBUE...HAYA WA MADHABAHUNI ALI MADHABAHUNI
Na wale wapemba wanaouza samaki wabichi katika viyuo vya mabasi Dar nao watimuliwe?
 
Nini Mama Shadya,
Hebu tazama ww Rais Karume ndo mwenye dhamana ya ardhi yooote ya visiwani, Waziri anaehuska na ardhi ni Mansoour Yussuf Himid ni shemeji yake Karume,mama Shadya ankuwa kaka yake.
Kwahiyo hapa ww unategemea nn?
 
Nani aliyesimama mbele ya umma, hata kufanya press conference na kulalamika? Au Tanzania... sorry, I mean Zanzibar... hakuna uhuru wa maoni, kuongea, kulalamika?
Uhuru wa kutoa maoni zanzibar upo, ila fursa za kutoa maoni hayo ndo zimepindapinda, na hata ukipata hiyo nafasi ya kutoa maoni yako kwa uwazi basi ujuwe una 'beep' condemnations na kutengwa na kama utakuwa kero saaaana utaletewa frustrations hizo mpaka utafunga domo lako, kitu kizuri sku hizi zanzibar yale mambo ya kuchezeachezea SMZ halafu ukapelekwa kwa "bamkwe" au "kuchunga n'gombe" hayapo au yamepungua au yanafanywa kwa siri, mpka siku za uchaguzi.
We ukitaka raha zanzibar wapigie makofi viongozi hata wakiongea upumbavu, au washabikie hata kama hawana wafuasi.
 
Nini Mama Shadya,
Hebu tazama ww Rais Karume ndo mwenye dhamana ya ardhi yooote ya visiwani, Waziri anaehuska na ardhi ni Mansoour Yussuf Himid ni shemeji yake Karume,mama Shadya ankuwa kaka yake.
Kwahiyo hapa ww unategemea nn?
Toa ushahidi unaoonyesha kwamba hilo eneo amepewa huyo mama hatutaki habari za mitaani
 
....pale forodhan tulipokuwa tukiingia na kutafuta samaki wa pweza ukiwa na mkeo...leo hii kumefungwa

Kwa hiyo hii mada umewaandikia wanaume wenzako mnaopeleka wake zenu kutafuta pweza Forodhani... duuu
 
Uhuru wa kutoa maoni zanzibar upo, ila fursa za kutoa maoni hayo ndo zimepindapinda, na hata ukipata hiyo nafasi ya kutoa maoni yako kwa uwazi basi ujuwe una 'beep' condemnations na kutengwa na kama utakuwa kero saaaana utaletewa frustrations hizo mpaka utafunga domo lako, kitu kizuri sku hizi zanzibar yale mambo ya kuchezeachezea SMZ halafu ukapelekwa kwa "bamkwe" au "kuchunga n'gombe" hayapo au yamepungua au yanafanywa kwa siri, mpka siku za uchaguzi.
We ukitaka raha zanzibar wapigie makofi viongozi hata wakiongea upumbavu, au washabikie hata kama hawana wafuasi.

Huu ndio UHURU walioumwagia damu kwa mapinduzi ndugu zetu Wazanzibar?
 
kama ni kweli inasikitisha, kama alivyosema junius nami nimesikia kuwa hawa jamaa wanajichukulia ardhi sana huko, kwamba ardhi ni ya karume's hili ni kweli, mliopo karibu huko ebu tifumbueni macho, lisemwalo lipo au ndio tunasubiri muda wake uishe tuanze kupiga kelele..
 
Quote:


Toa ushahidi unaoonyesha kwamba hilo eneo amepewa huyo mama hatutaki habari za mitaani




KAMA HAUKO NDANI NI VIGUMU KUJUA MAMBO YA NDANI...POLE........
 
Uhuru wa kutoa maoni zanzibar upo, ila fursa za kutoa maoni hayo ndo zimepindapinda, na hata ukipata hiyo nafasi ya kutoa maoni yako kwa uwazi basi ujuwe una 'beep' condemnations na kutengwa na kama utakuwa kero saaaana utaletewa frustrations hizo mpaka utafunga domo lako, kitu kizuri sku hizi zanzibar yale mambo ya kuchezeachezea SMZ halafu ukapelekwa kwa "bamkwe" au "kuchunga n'gombe" hayapo au yamepungua au yanafanywa kwa siri, mpka siku za uchaguzi.
We ukitaka raha zanzibar wapigie makofi viongozi hata wakiongea upumbavu, au washabikie hata kama hawana wafuasi.
Enhe!! Junius lete vitu. Lakini ujue tu uhuru wa kutoa maoni unaambatana na kusema ukweli. Unapojikita katika kusambaza uzushi unaukejeli hata huo uhuru wako wa kutoa maoni. Nafurahi kuwa ww bado hujaanza kusema uzushi kama wale wengine.
 
Mi nachoka sana Miafrika sijui lini tutaelimika mtu mke wa rais hata akistaafu malimbikizo atakayo pata kwenye ustaafu yanatosha yeye kula mpaka anakufa sasa hizi tamaa za nini jamani kama sio UJINGA tu unajilimbikizia mali kana kwamba utazikwa nazo. Siku zenu zinahesabika tu.
 
Pakacha,
mm nasema haswa kile ninachokiona kwa macho au kuthibitisha baada ya kusikia au ww hali halisi unaionaje, kwa mfano Zanzibar mpaka sasa hakuna gazeti huru, absolutely huru,T.V huru(sjuwi saivi maana cable si kila mchakura jaani kama mm anaimudu),hata hao wajuba na wakaidi wanaothubutu kusema hutumia majukwaa mengine au vyombo vya habari vya bara. SMZ haijaelewa kitu fulani ambacho SMT wana enjoy kule bara, kwamba, kuwa na uhuru wa maoni na vyombo huru vya kutolea maoni kunaisadia serikali na vyombo vyake kuwa karibu na wananchi kwa kujikosoa,kujitathmini na kujirekebisha, huwezi kukiona kisogo chako ila mtu aliyenyuma yako. Leo kama si uhuru wa vyombo vya habari kule bara, kwa mfano tu, watu kama kina Abdallah Zombe wangeendelea kutumia vibaya dhamana zao na kuwadhuru watu bila hatia au vita vya ufisadi visingefikia hatua ilipo(japo hairidhishi) lakini ndo mwanzo. Bado nasisitiza kuwa licha ya katiba ya zanzibar kuweka wazi uhuru wa maoni na kujieleza, bado serikali haijaachia forums za kuruhusu fursa hiyo ya kikatiba kwa uwazi. Na kwa hivyo basi ndo maana SMZ imekuwa ikiindesha nchi kama giningi, mambo siri siri tuuu na kiuchawi uchawi mpaka kuche.
 
Mi nachoka sana Miafrika sijui lini tutaelimika mtu mke wa rais hata akistaafu malimbikizo atakayo pata kwenye ustaafu yanatosha yeye kula mpaka anakufa sasa hizi tamaa za nini jamani kama sio UJINGA tu unajilimbikizia mali kana kwamba utazikwa nazo. Siku zenu zinahesabika tu.

Fidel80,

"....Mfalme Jeta...akiwa baharini ...huchanuwa mdomo wake wazi na kila kipitacho mbele yake kinaingia na hukimeza, tani milioni moja za magogo, samaki .....n.k huingia humo, lakini kila sekunde moja Mfalme Jeta hulia "... njaa..njaa...njaa..."
SHAABAN ROBERT.
 
fatma karume
 

Attachments

  • Fatma_Karume.JPG
    Fatma_Karume.JPG
    28.9 KB · Views: 31
Back
Top Bottom