Wake wa Marais wetu na Mambo yao

Wake wa Marais wetu na Mambo yao

Huyu bwana ametaka kujua kuhusu ujio wa huyu mheshimiwa. Ni haki yake kama mtanzania. Kwa nini basi asijibiwe? Mama anaongoza msafara kutoka Zanzibar, mama ana kabiashara kake ka'tours', mama yuko kwenye safari ya kibinafsi n.k. Huyu ni public figure na watu wana haki ya kutaka kujua. Hii dhana ya kukataa watu wengine wasiulizwe ndiyo iliyotufikisha hapa tulipo. Ukweli ni kwamba ubalozi ungewatangazia watanzania walio huko kuhusu ujio wa huyu mama pasingekuwa na tatizo. Tujaribu kuwa wazi katika mambo yetu.
 
Hayo Mambo Tumezidi Kuyafanya Mazoea Kwani Wake Za Viongozi Hufuja Pesa Za Walipa Kodi Wa Tanzania Au Kufanya Ufisadi Kama Waume Zao.
 
guys, let me conducting management 101 for a second.
Tanzania economy depends on donors for over 40%, hatuna formular ya maana kukusanya kodi. We have a big government more than some of the developed countries. If you have a big government that means you have high expenses to run it. When you spend more on nonsense expenses you end up to reduce some money on important task.

Tatizo sio huyo Mama kuwepo Germany, tatizo ni who is paying all that money? Sababu Kama wananchi wanalipa 30% in their income tax, then they expect reconstruction of infrastucture, good health care, good education for their children and other important things. Wananchi doesn't expect their tax to fund first class tickets for kila mke wa kiongozi nchini

No one will question kama huyu Mama amekwenda huko kwa kutumia pesa za mumewe, lakini kama anatumikisha wafanyakazi wa Ubalozini then we have problem. Sababu kwanza Balozi zetu ni butu, haziwezi kujiendesha hata kwa 24 hours, then na gharama ya kuzungusha wake wa vigogo kwenye shopping malls zilipwa na wananchi? We need a brake.

Hawa viongozi wa juu wa serikalini tuwalipie rent, gas price, ada za University kwa vilaza wao, wake zao wakija nje wazungushwe kwa pesa zetu, nauli za first class wakatiwe kwa pesa zetu. Then tunalalamika budget haitoshi inabidi tuongezewe misaada.

Mwalim J.K. Nyerere alisema "shona suti kutokana na ukubwa wa kitambaa", maana yake kama kitambaa chako ni nusu futi basi mwambie fundi ashone kaptula, na sahau kuhusu kizibao. Same to our government, if Tanzania government wants to succeed, there is a need to run it as private organization. Means you prepare budget with the amount money on your hands, you cut all nonsense expenses, then you increase the fund on production area. I don't know why hatuwapi nchi wachumi, Opps nimesahau kwamba Jakaya nae mchumi. Then we need to try Engineers
 
Binafsi sina tatizo kama amekuja kwenye maonyesho ya utalii kama watazamaji wengine. Kitu ambacho kinanisumbua ni nani huwa analipa bill zao hawa mafirst ladies? Na shughuri zao ni nini hasa kisheria? manake kadiri siku zinavyoenda naona 1st ladies wanaendelea kuwa vice presidents bila shughuri zao kufahamika hasa kikatiba.
 
Huyu bwana ametaka kujua kuhusu ujio wa huyu mheshimiwa. Ni haki yake kama mtanzania. Kwa nini basi asijibiwe? Mama anaongoza msafara kutoka Zanzibar, mama ana kabiashara kake ka'tours', mama yuko kwenye safari ya kibinafsi n.k. Huyu ni public figure na watu wana haki ya kutaka kujua. Hii dhana ya kukataa watu wengine wasiulizwe ndiyo iliyotufikisha hapa tulipo. Ukweli ni kwamba ubalozi ungewatangazia watanzania walio huko kuhusu ujio wa huyu mama pasingekuwa na tatizo. Tujaribu kuwa wazi katika mambo yetu.
Bado sioni sababu ya huyo jamaa kuja kuuliza swali hili hapa, Yeye yupo huko huko Ujerumani, hivyo ana nafasi nzuri sana ya kupata majibu juu ya ujio wa Bi S. Karume. Zaidi ametusaidia kujua kuwa mama Karume yupo huko.
 
Hapo Berlin balozi wetu nadhani ndugu yake rais wa ZNZ. Na yuko hapo miaka mingi tuu

tukisema Foreign imeoza kuliko BOT tunaambiwa tunafanya fitna.
Balozi wa ujerumani ni Balozi Ngemera kwa sasa,ila mie sioni ubaya kwa mama shadya kwenda kule,ni mmoja wa watanzania.hii ipelekwe katika udaku.Mama karume hawezi kuwa na deligate kubwa.zaidi ya mlinzi wake na wasaidizi wasiozidi watatu.
 
guys, let me conducting management 101 for a second.
Tanzania economy depends on donors for over 40%, hatuna formular ya maana kukusanya kodi. We have a big government more than some of the developed countries. If you have a big government that means you have high expenses to run it. When you spend more on nonsense expenses you end up to reduce some money on important task.

Tatizo sio huyo Mama kuwepo Germany, tatizo ni who is paying all that money? Sababu Kama wananchi wanalipa 30% in their income tax, then they expect reconstruction of infrastucture, good health care, good education for their children and other important things. Wananchi doesn't expect their tax to fund first class tickets for kila mke wa kiongozi nchini

No one will question kama huyu Mama amekwenda huko kwa kutumia pesa za mumewe, lakini kama anatumikisha wafanyakazi wa Ubalozini then we have problem. Sababu kwanza Balozi zetu ni butu, haziwezi kujiendesha hata kwa 24 hours, then na gharama ya kuzungusha wake wa vigogo kwenye shopping malls zilipwa na wananchi? We need a brake.

Hawa viongozi wa juu wa serikalini tuwalipie rent, gas price, ada za University kwa vilaza wao, wake zao wakija nje wazungushwe kwa pesa zetu, nauli za first class wakatiwe kwa pesa zetu. Then tunalalamika budget haitoshi inabidi tuongezewe misaada.

Mwalim J.K. Nyerere alisema "shona suti kutokana na ukubwa wa kitambaa", maana yake kama kitambaa chako ni nusu futi basi mwambie fundi ashone kaptula, na sahau kuhusu kizibao. Same to our government, if Tanzania government wants to succeed, there is a need to run it as private organization. Means you prepare budget with the amount money on your hands, you cut all nonsense expenses, then you increase the fund on production area. I don't know why hatuwapi nchi wachumi, Opps nimesahau kwamba Jakaya nae mchumi. Then we need to try Engineers


Mimi napenda kuuliza .Kwanza tangia ameingia juzi na jana ubalozi ulikuwa crippled kwa kuwa kila kitu sasa alikuwa kama Rais plus wakubwa kujipendekeza kulinda unga inakuwa ni balaa zaidi .

Jana wame mwaga bash la nguvu hadi usiku mnene .Gharama kama ni za Ubalozi bado ni pesa yetu Ubalozi hauna biashara ya kuzalisha .Ratiba ya leo sijaijua ila nikiijue nitasema .

Haya wacha niseme kwamba kaja yeye na mlinzi wake na wasaidizi wake 3 kumla yao ni 5 hawa . Wanalala Hotel ipi ? Kila mmoja na chumba chake , usafiri, calls making , na mengine mengi.Biashara imemleta kwa jina la na gharama za walipa kodi? Mimi sikatai yeye kuja Ulaya mbona na mimi nimekuja kwenye hii kazi .Shida yangu ni gharama kuanzia airplane hadi mengine .
 
Bado sioni sababu ya huyo jamaa kuja kuuliza swali hili hapa, Yeye yupo huko huko Ujerumani, hivyo ana nafasi nzuri sana ya kupata majibu juu ya ujio wa Bi S. Karume. Zaidi ametusaidia kujua kuwa mama Karume yupo huko.

Umejaribu lakini kuuliza swali kwa watendaji wetu? Hawapendi kujibu hata vitu vilivyo wazi. Huyu bwana anakila haki kama ulivyo wewe la kuleta ishu yeyote hapa! Wachangiaji ndiyo mtakaoonesha hiyo ishu ni pumba au la. kuuliza si lazima iwe kwa nia mbaya. Ameuliza, ajibiwe. Kama hatuna majibu tusubiri waliyo nayo wajitokeze. Tatizo liko wapi?
 
Huyu bwana ametaka kujua kuhusu ujio wa huyu mheshimiwa. Ni haki yake kama mtanzania. Kwa nini basi asijibiwe? Mama anaongoza msafara kutoka Zanzibar, mama ana kabiashara kake ka'tours', mama yuko kwenye safari ya kibinafsi n.k. Huyu ni public figure na watu wana haki ya kutaka kujua. Hii dhana ya kukataa watu wengine wasiulizwe ndiyo iliyotufikisha hapa tulipo. Ukweli ni kwamba ubalozi ungewatangazia watanzania walio huko kuhusu ujio wa huyu mama pasingekuwa na tatizo. Tujaribu kuwa wazi katika mambo yetu.

Mie nashangaa, delegation inaongozwa na First Lady, hiyo kitu ilikuwa isifiwe na kutukuzwa, nchi zingine duniani zingeona zimetukuzwa na delegation imeheshimiwa na kuenziwa kwa kuongozwa na first lady, sisi? tunalalama, hivi lini tutakuwa tunaiona reality? Huyu mama sio mwanjo-mwanjo kisha safiri sana na kisha ishi sana nje ya Tanzania na akitaka kusafiri kimya-kimya kwenda kufanya shopping anaweza pia. Leo kawacha shughuli zake zote na kukubali kufatana na delegation ya Tanzania kwenye jambo la maana tu kwa Tanzania, tunaponda. Hivi sisi ni watu wa aina gani?
 
Haya wacha niseme kwamba kaja yeye na mlinzi wake na wasaidizi wake 3 kumla yao ni 5 hawa . Wanalala Hotel ipi ? Kila mmoja na chumba chake , usafiri, calls making , na mengine mengi.Biashara imemleta kwa jina la na gharama za walipa kodi? Mimi sikatai yeye kuja Ulaya mbona na mimi nimekuja kwenye hii kazi .Shida yangu ni gharama kuanzia airplane hadi mengine .
Mugishagwe,

Hapo sasa nimekuelewa ..na watu 5 kwa kodi ya Watz maskini kuna haja kupiga kelele!

Ngoja nikokotoe gharama.

1. Air ticket Zbar- Ujerumani kwa daraja la kwanza..Tshs 3,000,000 X 5 = 15,000,000

2. Hoteli ya hadhi yake na wasidizi ni lazima iwe 5 Star zaidi ya 500,000 kwa siku na kama watakuwepo siku 5 ni 500,000 x 5 x 5 days =12,500,000

3. Usafiri hapo Berlin pamoja na msafara wake 500,0000 x 5 = 2,500,000

4. Perdiem (pesa ya shopping) kwa rate ya Berlin 100,000- 200,000 per day? 150,000 x 5 x 5 days= 2,750,000

5. Contingencies 5,000,000

Jumla Kuu 37,500,000 (Maximum limit)! Hata basi tufanye nusu ya hizo yaani 18,250,000 potelea mbali yaani minimum limits!

Hii pesa kwa nchi maskini inaweza kununua madawa kwa zahanati 5 kule Pemba kwa mwaka mzima..ikumbukwe kule Pemba waogonjwa wanarudishwa nyumbani kwa kukosa madawa!

My issue nani analipia hizi gharama? Halafu watu mnasema Tz ni nchi maskini na tunaomba msaada?

Well kama analipia kwa pesa yake ya mfukoni ni swala jingine...ila nitajiuliza Mama Karume atapata wapi over 30 m kufanya tu trip moja Ulaya?
 
Eh! Mugi, naona umeamua kweli kulivalia njuga. Any way, uko right kabisa ila kwa kweli mi naona kama ni jambo dogo sana. Kwa nchi kama ya kwetu kutumia hela za mvuja jasho kwa mambo kama hayo huwa imeshakuwa kawaida. Kwakweli kuna ufujaji mkubwa kuliko huo ambao hata inatia kinyaa!!!!!!!!!!
 
Eh! Mugi, naona umeamua kweli kulivalia njuga. Any way, uko right kabisa ila kwa kweli mi naona kama ni jambo dogo sana. Kwa nchi kama ya kwetu kutumia hela za mvuja jasho kwa mambo kama hayo huwa imeshakuwa kawaida. Kwakweli kuna ufujaji mkubwa kuliko huo ambao hata inatia kinyaa!!!!!!!!!!

Hakuna ufujaji mdogo!
 
Eh! Mugi, naona umeamua kweli kulivalia njuga. Any way, uko right kabisa ila kwa kweli mi naona kama ni jambo dogo sana. Kwa nchi kama ya kwetu kutumia hela za mvuja jasho kwa mambo kama hayo huwa imeshakuwa kawaida. Kwakweli kuna ufujaji mkubwa kuliko huo ambao hata inatia kinyaa!!!!!!!!!!


Malindi
Sasa habari ambazo nazipata sasa na za kibalozi ni kwamba Mama kuja kwenye maonyesho ilikuw alugha ya kuondokea.Leo anachoma anga zingine ,niko natafuta habari nitakupeni.Jana Ubalozi umemwaga dinner la nguvu kitu ambacho siamini kwamba pesa yake ya mfukoni kwake.Maana Ubalozi umehaha na hata sasa unahaha .Nina ogopa sana matumizi ya aina hii kwa kweli .Hakuna cha pesa yake no .Ni pesa ya mvuja jasho wa zanzibar ama bara .Visiwani asilimia 90 wanaishi maisha ya taabu sana kwa chai na ka mkate samaki wanagawana familia ya watu 7.Leo Shady na watu wake hil halijui ama ndiyo wameamua kumalizia muda wao maana mumewe hagombei tena ? Ntawapa zaidi kadiri nikizipata .
 
Mugishagwe, nakuunga mkono, mkuu, humu kuna watu wako busy to get you off message.
Unachokifanya ni sahihi ni political issue na si udaku. Hakuna habari yoyote official (official communication) iliyotolewa na serikali (muungano au visiwani) kuhusu ziara ya Mama Karume. If so, swali ni ameenda binafsi au nini?
It is a valid point na si kitu kidogo kama wanavyosema wengine hapa. Hii ndiyo accountability. Sasa kesi kama hii ingekuwa Marekani au any EU country mbona ingeonekana kama utumiaji mbaya wa fedha za umma. Nakumbuka kwamba hata ziara za ma-senator na wengine huwa zinafuatiliwa kwa karibu. Serikali si ya watawala! Serikali ni ya kwetu. Kodi tunayolipa mimi na wewe ndiyo inayowapa uwezo wa kupata mishahara etc, kwa hiyo ni haki yetu kujua hata kama wanafuja sh 50! Hii ya kusema ni ufujaji mdogo ni mentality from Ujamaa mkifikiri mali ya umma iko bali kuharibiwa na kutumiwa vibaya esp by cronies-in-charge!
NO! Hii ni issue ya kuwa discussed openly!
 
Mugishagwe, nakuunga mkono, mkuu, humu kuna watu wako busy to get you off message.
Unachokifanya ni sahihi ni political issue na si udaku. Hakuna habari yoyote official (official communication) iliyotolewa na serikali (muungano au visiwani) kuhusu ziara ya Mama Karume. If so, swali ni ameenda binafsi au nini?
It is a valid point na si kitu kidogo kama wanavyosema wengine hapa. Hii ndiyo accountability. Sasa kesi kama hii ingekuwa Marekani au any EU country mbona ingeonekana kama utumiaji mbaya wa fedha za umma. Nakumbuka kwamba hata ziara za ma-senator na wengine huwa zinafuatiliwa kwa karibu. Serikali si ya watawala! Serikali ni ya kwetu. Kodi tunayolipa mimi na wewe ndiyo inayowapa uwezo wa kupata mishahara etc, kwa hiyo ni haki yetu kujua hata kama wanafuja sh 50! Hii ya kusema ni ufujaji mdogo ni mentality from Ujamaa mkifikiri mali ya umma iko bali kuharibiwa na kutumiwa vibaya esp by cronies-in-charge!
NO! Hii ni issue ya kuwa discussed openly!

Susuviri, kabla hujaendelea kuuma, mi nimeulizia kama kuna anayejua privilages za hawa mafirst ladies

Kama hiyo ni mojawapo au la, kama sio basi tuambiwe ni kwa 'mamlaka gani anayatenda haya'.....
 
Ni muhimu sana JF kupiga kelele kwa haya mambo.. hii hali ya woga na kukaa kimya ndo imeifikisha hii nchi hapa na watawala kuamua tu kufanya wanavyopenda...hata 1st Lady akienda Berlin na msafara wa watu 5 hii inaonekana ni sawa tu!!!

Mimi naona sii sawa! Na wale Wapemba maskini walio na mlo mmoja na ambapo hospitali hazina dawa.. je ni sawa kukaa kimya..na kuwaacha waendelee kuteseka??
 
Back
Top Bottom