mkapa hakuwa na ujanja wowote kwa pesambili mramba kwa sababu hizi
1.0, wakati mkapa akiwa waziri wa mambo ya nje, hakuwa na kibanda zaidi ya nyumba alikokuwa anaishi ambayo serikali ilipangishwa toka national housing, nyumba hii ipo osterbay karibu na agakhan hospital, kwa miaka kadhaa ilikuwa inatumika kama makzi ya waziri wa mambo ya nje
2, mwinyi rais alipofanya mabadiliko ya kwanza ya baraza la mawaziri akamteua diria hassan kwa waziri wa mambo ya nje, mkapa akaundiwa wizara mpya inayoitwa ya habari.
na kama mnakumbuka mramba kiakota akabaki kuwa mwenyekiti wa bodi ya national housing corporation
3. diria hakufanya ajizi akadai apewe ile nyumba. ilibidi mzee mzima aadhirike wakataka kuhamia pagala la mama ana liko kimara, halikuwa limemalizika, hata umeme wala maji hamna.
4. mzee mzima mkapa akamkimbillia mramba amtamfutiie house ya chapu chapu huko NHC, mramba akamwita mwanasheria wa NHC asaidie hili. kumbe serikali ilikuwa kweli imepanga ile nyumba lakini haikuwa inalipa kodi. ikatafutwa lophole, kodi ikalipwa kwa mkupuo kwa jina la mkapa, na NHC, ikatamka kuwa mkapa mdo mpangaji halali wa ile house, mpooo!!!!, yule mwanasheria aliyecheza hiyo simtaji, ila alikuja kuukata sana kwenye utawala wa mkap. mpooo? kwa hiyo mramba akamsadia mzee mzima asidhiriwe na mzanzibar diria
AKUFAAYE WAKATI WA DHIKI?........kama siyo kimbelembele cha mrema kumpaka mramba kule rombo mpaka akashindwa ubunge 1995! mramba angekuwa ndiye waziri mkuu...
YETU MACHOOOOOOOOOOOOOOOOO
1.0, wakati mkapa akiwa waziri wa mambo ya nje, hakuwa na kibanda zaidi ya nyumba alikokuwa anaishi ambayo serikali ilipangishwa toka national housing, nyumba hii ipo osterbay karibu na agakhan hospital, kwa miaka kadhaa ilikuwa inatumika kama makzi ya waziri wa mambo ya nje
2, mwinyi rais alipofanya mabadiliko ya kwanza ya baraza la mawaziri akamteua diria hassan kwa waziri wa mambo ya nje, mkapa akaundiwa wizara mpya inayoitwa ya habari.
na kama mnakumbuka mramba kiakota akabaki kuwa mwenyekiti wa bodi ya national housing corporation
3. diria hakufanya ajizi akadai apewe ile nyumba. ilibidi mzee mzima aadhirike wakataka kuhamia pagala la mama ana liko kimara, halikuwa limemalizika, hata umeme wala maji hamna.
4. mzee mzima mkapa akamkimbillia mramba amtamfutiie house ya chapu chapu huko NHC, mramba akamwita mwanasheria wa NHC asaidie hili. kumbe serikali ilikuwa kweli imepanga ile nyumba lakini haikuwa inalipa kodi. ikatafutwa lophole, kodi ikalipwa kwa mkupuo kwa jina la mkapa, na NHC, ikatamka kuwa mkapa mdo mpangaji halali wa ile house, mpooo!!!!, yule mwanasheria aliyecheza hiyo simtaji, ila alikuja kuukata sana kwenye utawala wa mkap. mpooo? kwa hiyo mramba akamsadia mzee mzima asidhiriwe na mzanzibar diria
AKUFAAYE WAKATI WA DHIKI?........kama siyo kimbelembele cha mrema kumpaka mramba kule rombo mpaka akashindwa ubunge 1995! mramba angekuwa ndiye waziri mkuu...
YETU MACHOOOOOOOOOOOOOOOOO