Mbolabilika
JF-Expert Member
- Jul 30, 2019
- 2,128
- 2,867
Hawa mabeberu sio wa kuamini sana takwimu zao wanazitumia kwa kuharibu uchumi wa nchi fulani au kwa kuutangaza uchumi wa nchi fulani ,haiwezekani uchumi ambao uliokuwa hatalini unaokuwa kwa kusuasua halafu 2020 ufikie kuwa uchumi wa kati