Walec
JF-Expert Member
- Apr 22, 2017
- 1,364
- 3,326
Mkuu tulia utongozwe.Hakuna cha mke wa wenyewe ni wewe tuu. Nachukia kutongozwa haswa awe kijana awe mzee sipendi kabisa kutongozwa kamwe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu tulia utongozwe.Hakuna cha mke wa wenyewe ni wewe tuu. Nachukia kutongozwa haswa awe kijana awe mzee sipendi kabisa kutongozwa kamwe
[emoji853]ujinga mkubwa ni huu sasa
Naomba namba yake pm mkuu
Dhambi kubwa sana.....Katika uhuni wote niliopitia lakini mke wa mtu hapana! Vijana semeni na roho zenu, wake za watu msiwape nafasi ya kuwasumbua wala kutoka nao kimahusiano. Kwanza sio vizuri lakini pia unajitengenezea kitu kibaya sana.
Ni hatari lakini mkuumimi huwa sijivungi aisee kwny izo mambo ili mradi alete shobo tu siku mbili ni nyingi lazima nichezee mikunjo ya tumbo
Shukraan sana.Hongera ulifanya maamuzi sahihi [emoji122][emoji122][emoji122]
Mkuu mke wa m2 sumuEbu nipatie hiyo user name ya huyo mamiloo arifu nimsanye fasta Mbona kama fursa hii chaliwangu alafu unafeli
Aisee....[emoji848]Mkune mwenzio anawashwa.
Nipe namba yake nijilipue.
Huyo mumewe naye alileta za kuleta anajumlishwa!
SawaHUNA LOLOTE UTAKUTA MAMA LENYEWE BAYA! UKAAMUA UJIFUNZE KUKATAA..🥲
JOKE KIJANAsawa
We kula tu, siku ukioa, na wako ataliwa na vijana wa kipindi hicho,Kumekuwa na wimbi kubwa sana siku hizi kuhusu wake za watu kutongoza vijana. Mara nyingi mimi kama kijana nakumbana na hii kadhia mara nyingi sana, na hasa hasa kutoka mitandao ya kijamii na mitaani pia.
Ingekuwa ni jambo jema kama ukianza kutembea na wese kwa usalama zaidi.Kumekuwa na wimbi kubwa sana siku hizi kuhusu wake za watu kutongoza vijana. Mara nyingi mimi kama kijana nakumbana na hii kadhia mara nyingi sana, na hasa hasa kutoka mitandao ya kijamii na mitaani pia.
Mbona unashangaa tena wewe umesema ume mblock nitumie namba yake sasa mtu umtaki namba yake utakikutoa hii inakuwaje wewe umtaki kweli?[emoji853]