Evelyn Salt
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 70,916
- 141,437
We nae Ina maana hujui huyo ni mchicha?
Hii imekuwa popular sana na mashoga nayo yanaiga squarting kutengeneza vishunduDuh ashakuwa kama mwanadada japo yuaingiza kipato ila mhhh
Hiyo inaitwa kamatia chini! Haya manamake yenu ya kileo haya mtajuta kuyafahamu! Shemeji yangu naye alianza kwenda nilipoona hiyo kamatia chini nikampigia marufuku utafikri nke wangu!
Hapo sasa ulivyohitimisha! Nimeshangaa yaani manjonjo yote hayo hata skin tight haijatuna? Litakuwa li dada Mwajuma hilo!Trainer mwenyewe joka la kibisa hana madhara wacha amfundishe tu labda awe kuwadi.
Trainer mwenyewe ana kishepu balaa khaah staki mi π!