Wake zenu wakienda gym kuweni makini, angalieni huyu

Wake zenu wakienda gym kuweni makini, angalieni huyu

Maisha yake chaguo lake wakienda gym wataliwa wakibaki nyumbani wataliwa wakienda kazini wataliwa kitu pekee Cha kuzuia wasiliwe ni wakizeeka basi
hata wakizeeka wakiwa hawajitambui wataliwa tu, si unajua tikiti huaribikia ukubwani!?
 
halafu ukute ni boyfriend wa mtu na huyo manzi yuko vere proud na bwana ake mwenye kitako kama kigoda aaah kmmk hata kama tunazingatia maokoto sio kwa tako hilo
Mboni leo umekaza sana sauti kiume zaidi imekuaje
 
Old is gold, wataliwa tu
Unaona Sasa ilivyo ngumu kuzuia kuliwa yani Kuna wakati nikiona yanayoendelea unaona hata kulinda ni kazi Bure kwa Sasa ni kupambana kulea watoto kwa hela yote huku ukipata ka nafasi na we unajipa good time maisha yaendelee
Sasa unakuta wife Kila mwezi ana semina au overtime unalinda vipi!?
 
Ningekuwa Arusha ningeshiriki tamasha hilo, mwamba namuelewa sana.

Hafanyi mazoezi ya kuumizana, unaburudika na kufurahia zoezi.

Hao wenye mtazamo wa ushoga ni wivu tu na maoni binafsi.

Acheni kuingilia uhuru wa wengine.
 
Back
Top Bottom