Yesu Anakuja
JF-Expert Member
- Apr 10, 2019
- 12,675
- 25,924
kitu kinachokera ni kwamba, inasemekana asilimia 90 ya mabaunsa ni mashoga. hawana hata aibu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kitu kinachokera ni kwamba, inasemekana asilimia 90 ya mabaunsa ni mashoga. hawana hata aibu.
Uongo kazaliwa hivyp squat hazikujazi tako hivyoHuyu ni Trainer maarufu sana yuko South Africa. Anadai style yake ya squart inatengeneza shape
Wanawake wengi duniani wanafuatisha style za mazoezo wa shape nyash na hips
Yeye ni mfano tosha jinsi style zake za mazoezi zimemtengeneza shape
Anaitwa Nkululeko Dlamini au King of Squarts. Maarufu sana, kajizolea umaarufu kwa wake za watu na wanawake wengi ambao wanataka umbo kama lake.
Alianza hana take, squart zimemletea tako🤣
Nikudanganye ili iweje. Angalia historia yake GoogleUongo kazaliwa hivyp squat hazikujazi tako hivyo
Hivyo anavyodai yeye ila ukweli haupo hivyo Human Anatomy haifanya kazi kwa madai ya mtu, Squat zinamsada kwenye kubusti makarios Yes ila not at that extent ni ratio ndogo saaaaaaana not as people think.Nikudanganye ili iweje. Angalia historia yake Google
Yeye anadai tako baada ya squart, formula yake inatumika worldwide
Labda afanye plastic surgery mwanaume huwezi kuwa na kishundu vile
AhahahHivyo anavyodai yeye ila ukweli haupo hivyo Human Anatomy haifanya kazi kwa madai ya mtu, Squat zinamsada kwenye kubusti makarios Yes ila not at that extent ni ratio ndogo saaaaaaana not as people think.
Hayo ni maumbile yake asili then squat ikafuata na katumia ilo kali kama Brand ila sio squat zimefanya hilo kali kuwa hivyo not that.
Shangazi tumia akiliHofu ya nini rafiki yangu, unaweza kuta jamaa ni mtu wa upinde. Tuache tutoe nyama uzembe kwa raha 😃
Kwani amemvua nguo HAPO? Acha mke wangu akafanye mazoezi ya kujaza kishundu alafu humuoni km HUYO trainer ni Chakula cha Wahuni au hujamwangalia vizuri?Gym trainers siyo poa yaani.
Huyu Gyms trainer ana tako Hadi wanawake wanamuonea wivu, huwa naangalia video zake Tiktok! Au ukute sio mwenzetu pengine
Ndio umagharibi huo mnalalama nini?Si mnapenda uzungu sasa mnabweka nini?
Kwani hapo unaona kuna mwanaume?