Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mie mwanamke akate asikate kwangu poa ila chamuhimu utamu kila mtu apate nakuridhika
tatizo za ndoa nyingi wanakosa mawasiliano .... wanaogopana ndiyo maana anashindwa hata kumwambie mkewe embu leo pinduk kipande hii au katikiamo... wengi wanafanya kibubu utafikiria hawakuwahi kuonana beforeKuna tofauti kubwa kati ya mvulana na mwanaume!!
Yani siku hizi hata mwanaume akinyimwa haki yake anakimbilia SNs kulalama, Lord Jesus have mercy!!!
Unamlilia nani kwani una wake wangapi mpaka upande jukwaani kulialia.
Kaa chumbani kwako uongee na mkeo.
Hayo mengine ni ya sirini Mgalatia!!!!
Chopeko anaongea!
Umeoa? Au ndo nadhari kwa kwenda mbeleHayo sijui ndo mauno mi huwa naona yako overrated sana.
Muulize je kwa hawara yake anafanya kama kwa mkeweee?[emoji126]ongea nae, ni mkeo tena ongea nae kwa mapenzi makubwa atajirekebisha mkuu, hata ukisema huku hawezi kujirekebisha mwambie, sema nae
ndo hapo sasaMuulize je kwa hawara yake anafanya kama kwa mkeweee?[emoji126]
umenena vyema sana [HASHTAG]#miss[/HASHTAG] chaggatatizo za ndoa nyingi wanakosa mawasiliano .... wanaogopana ndiyo maana anashindwa hata kumwambie mkewe embu leo pinduk kipande hii au katikiamo... wengi wanafanya kibubu utafikiria hawakuwahi kuonana before
asante sanaumenena vyema sana [HASHTAG]#miss[/HASHTAG] chagga
Tunapikia race kukaaaahebu tenga sufuria lako jikoni afu weka maji tia mchele wako ikiesha hapo tulia litizame sufuria lako likichemka bila kuligeuza pindua.. afu subiri uone utakachopata....
bas ndo hivohivo kwa mukeo... maana kwa hawara unajituma ili usikosee..
Kaoe pangaboi mkuu [emoji2]Wakati wa uchumba ulikuwa unajitahid kukata " mauno " mwanzo - mwisho mpaka nikasema hapa nimepata. Sasa tumefunga ndoa na una watoto wawili ndani, lakini mauno umesitisha, kulikoni?
Yaani in-short care na utundu kitandani umepungua kama sio kupotea kabisa. Jamani mnataka twende wapi sisi wa ndoa ya mke mmoja? Bora wenzetu wa upande wa pili wanaruhusiwa wake wanne at a time, pia kwao talaka imeruhusiwa tofauti na sisi huku.
Wake zetu badilikeni.
cc. Baba Paroko,
Bcc. Askofu, Nabii, mtume, Dr....
HahahahahaUnataka mtu aliyezaa watoto wawili aendelee kufanya mambo aliyofanya kabla hajazaa?
Wewe ushazaa hata mmoja ujue dhahma yake?
[emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13]wakati wa uchumba tulikuwa tunapiga kampeni nishapata uraisi kampeni za nini tena?
watoto wawili anachoka kulea jamani na usiku tena akatike loh mbona hivyo.. embu anza wewe kukatika mkuu
malizia zaidi ya gharama na wasiwasi kila kukichaNyie wanaume wa hivyo mna matatizo sana huyo ni mama watoto wako ana mambo mengi ya kudili nayo watoto wanamwangaisha kutwa nzima,pengine hela unayoacha nyumbani ndogo anapasua kichwa kupanga bajeti,usiku unataka abenuke judo kama yupo china viuno sijui na upuuzi gani.loooh kama shida ni viuno nenda twangapepeta.kikubwa mashine anaitunza anakupa bila choyo na unakojoa.huko michepukoni hakuna hata cha maana mnachokipataga huko basi tuu