Wake zetu mbona hamjishughulishi tuwapo faragha kama enzi za uchumba?

Wake zetu mbona hamjishughulishi tuwapo faragha kama enzi za uchumba?

Sasa badala ya kuongea haya na mkeo unaleta huku! Unadhani utapata ufumbuzi? Mkalishe mkeo mueleze unachotaka. Wanawake wakizaa attention inaenda sana kwa watoto, mwanaume usipokua muangalifu utasahaulika tu. We chukua nafasi yako kama mwanaume na mueleze utakacho.
Wanakuja huku kupata uzoefu na ushauri sasa siunaona na we umetoa ushauri mzuri tu,
 
Inaelekea ushamtaman housegal wako ndo mana unawaza kuchepuka nae, yan mkeo ahangaike na watoto afanye shughul nyng kibao af na uck aje akukatikie we kwel cio mzma!!!!!!
 
Nyie wanaume wa hivyo mna matatizo sana huyo ni mama watoto wako ana mambo mengi ya kudili nayo watoto wanamwangaisha kutwa nzima,pengine hela unayoacha nyumbani ndogo anapasua kichwa kupanga bajeti,usiku unataka abenuke judo kama yupo china viuno sijui na upuuzi gani.loooh kama shida ni viuno nenda twangapepeta.kikubwa mashine anaitunza anakupa bila choyo na unakojoa.huko michepukoni hakuna hata cha maana mnachokipataga huko basi tuu
Kwenye michepuko inataftwa miuno ambayo wewe hutaki kwa visingizio kibao, lazma weende kurefresh mind.
 
Zile mbwembwe zina raha yake buana! acha wanaojifanya walokole wasiwafanyie waume zao! Yet hata wanaume wengine ni kinyume na uliyosema mtoa mada
 
wakati wa uchumba tulikuwa tunapiga kampeni nishapata uraisi kampeni za nini tena?

watoto wawili anachoka kulea jamani na usiku tena akatike loh mbona hivyo.. embu anza wewe kukatika mkuu

Haa mwanaume kukatika automatic kunamuhusu lakini sisi wanawake sio lazima unamuwekea hapo tu
 
Wakati wa uchumba ulikuwa unajitahid kukata " mauno " mwanzo - mwisho mpaka nikasema hapa nimepata. Sasa tumefunga ndoa na una watoto wawili ndani, lakini mauno umesitisha, kulikoni?

Yaani in-short care na utundu kitandani umepungua kama sio kupotea kabisa. Jamani mnataka twende wapi sisi wa ndoa ya mke mmoja? Bora wenzetu wa upande wa pili wanaruhusiwa wake wanne at a time, pia kwao talaka imeruhusiwa tofauti na sisi huku.

Wake zetu badilikeni.

cc. Baba Paroko,
Bcc. Askofu, Nabii, mtume, Dr....
Acha ujinga wewe ukute mtu mwenyewe una kibamia afu unataka mauno... Nenda kayatafute yanakopatikana
Hayo sijui ndo mauno mi huwa naona yako overrated sana.
 
mnalala kama magogo tukianza kunyemelea tu-hausigeli mnanuna. Jitumeni Ndoa kitu gani?? mkizubaa tutazaa na mahausigeli mamaeee tushachokaaaa.
cc. Mfalme Mswaki
Kama umechoka si umeacha kaoe mwingine mnawaza mauno wakati hela mifukoni hamna dadadeki
 
Wewe nawe unalishia mtama kama enzi za uchumba? Au unataka mauno 'duty free' tu...
Ukitaka ukazwe shurti ukazane poti!
 
Nyie wanaume wa hivyo mna matatizo sana huyo ni mama watoto wako ana mambo mengi ya kudili nayo watoto wanamwangaisha kutwa nzima,pengine hela unayoacha nyumbani ndogo anapasua kichwa kupanga bajeti,usiku unataka abenuke judo kama yupo china viuno sijui na upuuzi gani.loooh kama shida ni viuno nenda twangapepeta.kikubwa mashine anaitunza anakupa bila choyo na unakojoa.huko michepukoni hakuna hata cha maana mnachokipataga huko basi tuu
We kweli kwenu Masama, Manka wa Kichagga
 
Mume alokuaaa analetaa story za mkewe asiwajbka ktandan on public? Umekuaaa miaka ila kichwan labda Mtoto! Shame on u
 
We kweli kwenu Masama, Manka wa Kichagga
Usijitoe ufahamu mi nina experience ya kuwa mchepuko na hakuna la maana ila jitu linan'gang'ania hadi kushindwa kuihudumia familia yake..ngozi ni ileile,kutomba ni kulekule,huduma ni zile zile tusidanganyane..we kama wako anakupa hadi zile za kichwa chini mkundu juu huyo ni malaya na acha kumfanya hivyo mwenzio utamuua
 
Roho za uchepukaji huanza namna hiyo mleta uzi tayari ishamvaa mkeo kachoka imekua pikpki au mashine ? mke matunzo na misosi hutaona kachoka kitandani ooohooo! We ka humtunzi kila leo unamlisha misapagulo pole yako.
 
Back
Top Bottom