Msiwege mnaoaNi ukweli mchungu ambao kila mwanandoa hatopenda kuusikia
Tunawaruhusu wake zetu wasafiri au waishi mbali lakini nilivyofuatlia hali ni mbaya sana humo njiani wana pigwa sana
Kama ilivyo kwa wanaume akifika dom au dar au mwanza anatafuta chaka analolijua au part time ndivyo hali ilivyo mbaya upande wa pili .
Wanawake zetu wanatoka mpaka na mtu waliyokutana nae siku hiyo hiyo kwenye gari so sad .
Usiku mwema , make wife wako hana vituo vingi njiani labda inaweza saidia
Sio kahaba wewe fuatilia kwa umakini wanawake siku hizi tofauti sanaThat's what happens unapooa kahaba.
Asante mkuu mimi najiandaa kuoa ila moyo wangu una siri nyingi sana kwa mazingira niliyopoPole mkuu
What goes around comes aroundAsante mkuu mimi najiandaa kuoa ila moyo wangu una siri nyingi sana kwa mazingira niliyopo
Hata mkeo anapigwa tu, ukitaka Kujua Dau la mke Jambo Dogo Sana Fanya kama umekosea muamala, ukitaka kuelewa zaidi njooo in box nikuelekeze, au kama unabisha nipe namba ya mke....nakupigia Mda huo yupo Geto analika.That's what happens unapooa kahaba.
Sio yoyoteKwa Karne hii, mwanamke pesa yako. Wanawake wanajiuza kwa kigezo cha kuhudumiwa.
mwanamke yeyote analika chamsingi ufike tu Dau, au kwa msemo mwingine mwanamke ana Price Tag, ukifika tu Dau lake analika
Unamroga kibumbu
Asijinyonge tuJikaze usilie sana
Siku za mwanadamu hapa duniani Ni chache acha kujipa wasiwasi kwenye Kila kitu mkuu. Furahia mda wako mengine 'yaachie universal law"Ni ukweli mchungu ambao kila mwanandoa hatopenda kuusikia
Tunawaruhusu wake zetu wasafiri au waishi mbali lakini nilivyofuatlia hali ni mbaya sana humo njiani wana pigwa sana
Kama ilivyo kwa wanaume akifika dom au dar au mwanza anatafuta chaka analolijua au part time ndivyo hali ilivyo mbaya upande wa pili .
Wanawake zetu wanatoka mpaka na mtu waliyokutana nae siku hiyo hiyo kwenye gari so sad .
Usiku mwema , make wife wako hana vituo vingi njiani labda inaweza saidia
Kabisa muangaliene uyoAsijinyonge tu
Jisemee mwenyewe kwa mke wako mkuu, usiji mwambafy kuongelea wake wa watu ambao hata huwajui.Ni ukweli mchungu ambao kila mwanandoa hatopenda kuusikia
Tunawaruhusu wake zetu wasafiri au waishi mbali lakini nilivyofuatlia hali ni mbaya sana humo njiani wana pigwa sana
Kama ilivyo kwa wanaume akifika dom au dar au mwanza anatafuta chaka analolijua au part time ndivyo hali ilivyo mbaya upande wa pili .
Wanawake zetu wanatoka mpaka na mtu waliyokutana nae siku hiyo hiyo kwenye gari so sad .
Usiku mwema , make wife wako hana vituo vingi njiani labda inaweza saidia
Joline usilete ubishi hata wewe una price Tag, kama unataka nikueleweshe Jibu maswali haya.Sio yoyote