Wake zetu wakipata visafari humo njiani wanapitiwa sana; ni ukweli mchungu

Wake zetu wakipata visafari humo njiani wanapitiwa sana; ni ukweli mchungu

Hata mkeo anapigwa tu, ukitaka Kujua Dau la mke Jambo Dogo Sana Fanya kama umekosea muamala, ukitaka kuelewa zaidi njooo in box nikuelekeze, au kama unabisha nipe namba ya mke....nakupigia Mda huo yupo Geto analika.
Mkuu wanaposema mtu fulani mchawi...
Usizani mtu analoga au anawanga....
Ila tu hata huu unaofanya wewe ni uchawi

Nb ndo mana una macho mekundu 😂😂😂😂😂😂😂🙌🙌🙌
 
Ni ukweli mchungu ambao kila mwanandoa hatopenda kuusikia

Tunawaruhusu wake zetu wasafiri au waishi mbali lakini nilivyofuatlia hali ni mbaya sana humo njiani wana pigwa sana

Kama ilivyo kwa wanaume akifika dom au dar au mwanza anatafuta chaka analolijua au part time ndivyo hali ilivyo mbaya upande wa pili .

Wanawake zetu wanatoka mpaka na mtu waliyokutana nae siku hiyo hiyo kwenye gari so sad .

Usiku mwema , make wife wako hana vituo vingi njiani labda inaweza saidia
Mbn mnatuchanganya au chama nianze kukisariti🤔
 
Ni ukweli mchungu ambao kila mwanandoa hatopenda kuusikia

Tunawaruhusu wake zetu wasafiri au waishi mbali lakini nilivyofuatlia hali ni mbaya sana humo njiani wana pigwa sana

Kama ilivyo kwa wanaume akifika dom au dar au mwanza anatafuta chaka analolijua au part time ndivyo hali ilivyo mbaya upande wa pili .

Wanawake zetu wanatoka mpaka na mtu waliyokutana nae siku hiyo hiyo kwenye gari so sad .

Usiku mwema , make wife wako hana vituo vingi njiani labda inaweza saidia
Kufuli linaloweza kufunguliwa na kila FUNGUO halina thamani Ila funguo inayoweza fungua Kila Kufuli Ina thamani kubwa💪
 
Kila binadamu ana dark side na haioneshi kwa wengi ila tu kwa wale ambao anahisi yupo salama nao ili siri isivuje. Kwa hiyo kuna wanaoona safari ndio chimbo sahihi kula maisha na yule mume au mke wake wa kazini na wengine ndio hao wanajifichia kwa yule boda wenu unaemuamini kiasi ukisahau kitu unampigia simu ili akanunue then akipeleke nyumbani.

Kwa hiyo utamzuia safarini, vipi kwa mazingira mengine, utamficha kabatini?...
 
Maadamu anacho kifanya kina mpa furaha ni vizuri sana, maisha kwa ujumla yana bebwa na dhana ya furaha na amani, sasa mtu anapoitafuta furaha unamuwekea ugumu kwa maslahi yako ni kiwango kikubwa cha ubinafsi.
Mmmmmmh hii kitu..
Mkuu kuna kitu inabidi ufungulie uzi kabisa aisee

Unajua hi comment yako imenistua sana an....
 
Ni ukweli mchungu ambao kila mwanandoa hatopenda kuusikia

Tunawaruhusu wake zetu wasafiri au waishi mbali lakini nilivyofuatlia hali ni mbaya sana humo njiani wana pigwa sana

Kama ilivyo kwa wanaume akifika dom au dar au mwanza anatafuta chaka analolijua au part time ndivyo hali ilivyo mbaya upande wa pili .

Wanawake zetu wanatoka mpaka na mtu waliyokutana nae siku hiyo hiyo kwenye gari so sad .

Usiku mwema , make wife wako hana vituo vingi njiani labda inaweza saidia
You can never control nature
Ati siku moja upindue jua lichomozee Kaskazini lizame kusini!!!
 
Mimi naamini ktk mambo 3
1.Pesa.
2. uwe umetulia ktk kutekeleza mambo yako.
3.Unawe Ubusara + Upole kiasi.
Kuna wanawake wanatiwa huku na vijana ambao hata pesa hawana hi unazungumzia vipi...

Kuna jamaa niliwahi mfata nikamuuliza mbona wake za watu ndo wanaongoza sana kuliwa..

Jibu alilonipa ninkuwa. Wanaume mara nying huwa tunajisahau na kukinai mapema hiyo inasababisha kutomfanya mwenzako ainjoi ndio chanzo cha vyote..

Kama unazani pesa ni kigezo hapana mkuu kuliwa ni complex kuelewa imekuaje...

Kuna wengine ukiwapa dakika mbili tu akae na mke wako haijalishi una pesa au laah ni lazima atajiskia kutoa mzigo
 
Kuna wanawake wanatiwa huku na vijana ambao hata pesa hawana hi unazungumzia vipi...

Kuna jamaa niliwahi mfata nikamuuliza mbona wake za watu ndo wanaongoza sana kuliwa..

Jibu alilonipa ninkuwa. Wanaume mara nying huwa tunajisahau na kukinai mapema hiyo inasababisha kutomfanya mwenzako ainjoi ndio chanzo cha vyote..

Kama unazani pesa ni kigezo hapana mkuu kuliwa ni complex kuelewa imekuaje...

Kuna wengine ukiwapa dakika mbili tu akae na mke wako haijalishi una pesa au laah ni lazima atajiskia kutoa mzigo
Soma na 2 Nautafakari hilo ndo Jibu.
Pia mwanamke yoyote analika kiulain
 
Ni ukweli mchungu ambao kila mwanandoa hatopenda kuusikia

Tunawaruhusu wake zetu wasafiri au waishi mbali lakini nilivyofuatlia hali ni mbaya sana humo njiani wana pigwa sana

Kama ilivyo kwa wanaume akifika dom au dar au mwanza anatafuta chaka analolijua au part time ndivyo hali ilivyo mbaya upande wa pili .

Wanawake zetu wanatoka mpaka na mtu waliyokutana nae siku hiyo hiyo kwenye gari so sad .

Usiku mwema , make wife wako hana vituo vingi njiani labda inaweza saidia
And that is what makes life very interesting—worry, doubt, joy, sadness, thoughts, and so on.
 
Back
Top Bottom