Wake zetu wakipata visafari humo njiani wanapitiwa sana; ni ukweli mchungu

Wake zetu wakipata visafari humo njiani wanapitiwa sana; ni ukweli mchungu

Ni ukweli mchungu ambao kila mwanandoa hatopenda kuusikia

Tunawaruhusu wake zetu wasafiri au waishi mbali lakini nilivyofuatlia hali ni mbaya sana humo njiani wana pigwa sana

Kama ilivyo kwa wanaume akifika dom au dar au mwanza anatafuta chaka analolijua au part time ndivyo hali ilivyo mbaya upande wa pili .

Wanawake zetu wanatoka mpaka na mtu waliyokutana nae siku hiyo hiyo kwenye gari so sad .

Usiku mwema , make wife wako hana vituo vingi njiani labda inaweza saidia
Kwenye Uzi wa kula tunda kimasihara mule wanawake wengi wanagongwa siku hiyo hiyo:-
uhuru kwa mwanamke una madhara makubwa kuliko faida
Kule Saudi Arabia na Afghanistan mwanamke hatakiwi kusafiri mwenyewe bila kaka,wala mume,then munawaona wanakandamiza haki........tukubali tukatae uislam upo mbele ya muda Kwa mambo mengi sana ambayo wapumbavu tunayalalamikia kwa ujinga wetu
 
Ndoa ni mpango wa MUNGU,ukiona umeoa au kuolewa na bado unacheat
huo ni ujinga.
Excuse isiwe pesa au matunzo,ile ahadi mlipeana iheshimiwe.
Ndoa gani sasa mtu anacheat hovyo!??
Kama hujiskii kuoa au kuolewa bora uache.
 
UKITAKA KUJUA HILI, FUATILIA WALIMU WAKIENDA KUSIMAMIA MITIHANI. KUANZIA DARASA LA NNE, DARASA LA SABA, FORM TWO, FORM FOUR NA FORM SIX. HUWEZI AMINI YANAYOTOKEA HUKO. TUVUMILIANE TU NDIO MAISHA TULIYOCHAGUA HAYO.
Lakini mkuu na wewe umemcheat sana Tasha st. Patrick ....mpaka kusababisha familia kutokuelewanaπŸ˜‚πŸ˜‚
 
Ni ukweli mchungu ambao kila mwanandoa hatopenda kuusikia

Tunawaruhusu wake zetu wasafiri au waishi mbali lakini nilivyofuatlia hali ni mbaya sana humo njiani wana pigwa sana

Kama ilivyo kwa wanaume akifika dom au dar au mwanza anatafuta chaka analolijua au part time ndivyo hali ilivyo mbaya upande wa pili .

Wanawake zetu wanatoka mpaka na mtu waliyokutana nae siku hiyo hiyo kwenye gari so sad .

Usiku mwema , make wife wako hana vituo vingi njiani labda inaweza saidia
Huu ni ukweli mchungu. Nakumbuka siku moja nipo zangu safarini kuelekea Tanga, kwenye kiti cha jirani alikaa bidada aliyeonekana kama mke wa mtu, cha ajabu tulipopiga stori mbili tatu akaniambia yupo single.

Mpaka tunafika Tanga, dada alishaingia kwenye anga zangu. Kwanza alienda home kwa wazazi wake, kesho yake akaniletea mbususu. Mchezo ulikuwa hivyo mpaka ninamaliza shughuli zangu Tanga.
Baada ya pake, mchezo uliendelea ila sasa mji mwingine maana yeye aliniambia anaishi mwanza. Nikawa nikifika Mwanza, nina uhakika wa mbususu, na akija Dar pia lazima aniletee mzigo.

Sema baadae nikaanza kujiuliza, kwanini mwanamke yule anipe mbususu kila nikitaka bila masharti na haonekani mwenye njaa? Ikabidi ni mbane, akaniambia ameolewa na mwarabu anaishi naye Mwanza.

Siku hiyo ilikuwa mwisho kuchakata ile ngozi. Japo alidai mume wake kila saa yupo bize na biashara kiasi cha kumsahau na hisia zake lakini nilikataa huo upuuzi. Nikampiga chini mazima.
 
Jisemee mwenyewe kwa mke wako mkuu, usiji mwambafy kuongelea wake wa watu ambao hata huwajui.
Asilimia kubwa wanaliwa sana usitake kukataa na ushahidi upo

Approximately 85% hao 15 ndo waliobaki maybe
 
Huu ni ukweli mchungu. Nakumbuka siku moja nipo zangu safarini kuelekea Tanga, kwenye kiti cha jirani alikaa bidada aliyeonekana kama mke wa mtu, cha ajabu tulipopiga stori mbili tatu akaniambia yupo single.

Mpaka tunafika Tanga, dada alishaingia kwenye anga zangu. Kwanza alienda home kwa wazazi wake, kesho yake akaniletea mbususu. Mchezo ulikuwa hivyo mpaka ninamaliza shughuli zangu Tanga.
Baada ya pake, mchezo uliendelea ila sasa mji mwingine maana yeye aliniambia anaishi mwanza. Nikawa nikifika Mwanza, nina uhakika wa mbususu, na akija Dar pia lazima aniletee mzigo.

Sema baadae nikaanza kujiuliza, kwanini mwanamke yule anipe mbususu kila nikitaka bila masharti na haonekani mwenye njaa? Ikabidi ni mbane, akaniambia ameolewa na mwarabu anaishi naye Mwanza.

Siku hiyo ilikuwa mwisho kuchakata ile ngozi. Japo alidai mume wake kila saa yupo bize na biashara kiasi cha kumsahau na hisia zake lakini nilikataa huo upuuzi. Nikampiga chini mazima.
Alikuwa mzuri?
 
Back
Top Bottom