Wake zetu wakipata visafari humo njiani wanapitiwa sana; ni ukweli mchungu

Sio wote mke wangu akiwa safarini kila muda ananipigia Mimi simu mpaka afike home kwao anataka niongee na mama mkwe adi kero kiufupi ni akili ya mwanamke tu


Nawaambia kila siku oa mwanamke mama wa nyumbani, mshamba na asiye na kazi otherwise utagongewa mpaka geti wanamfuata
 
Unapigiwa hiyo Akili ya kazi, mkeo analika Tena Freshi sana.
 
Hata mkeo anapigwa tu, ukitaka Kujua Dau la mke Jambo Dogo Sana Fanya kama umekosea muamala, ukitaka kuelewa zaidi njooo in box nikuelekeze, au kama unabisha nipe namba ya mke....nakupigia Mda huo yupo Geto analika.
Achana na mannerisms yako au status yako. Bali kwa mwandiko wako tu utakuwa na bahati "mke wangu" akijibu message yako, let alone akikuangalia mara mbili usoni.
 
Hata mkeo anapigwa tu, ukitaka Kujua Dau la mke Jambo Dogo Sana Fanya kama umekosea muamala, ukitaka kuelewa zaidi njooo in box nikuelekeze, au kama unabisha nipe namba ya mke....nakupigia Mda huo yupo Geto analika.
Wee jamaa punguza speed unatupandisha visukari hapa[emoji1][emoji1]
 
Ndege wafananao huruka pamoja. Wazinzi wakikutana lazima wakutanishe vikojoleo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…