StudentTeacher
JF-Expert Member
- Jan 30, 2019
- 4,153
- 4,301
Jidanganye
Kwenye Uzi wa kula tunda kimasihara mule wanawake wengi wanagongwa siku hiyo hiyo:-
uhuru kwa mwanamke una madhara makubwa kuliko faida
Kule Saudi Arabia na Afghanistan mwanamke hatakiwi kusafiri mwenyewe bila kaka,wala mume,then munawaona wanakandamiza haki........tukubali tukatae uislam upo mbele ya muda Kwa mambo mengi sana ambayo wapumbavu tunayalalamikia kwa ujinga wet
Wanaume wasiojitambua!Hii hali mbaya inasababishwa na wanawake au wanaume nani mwenye kosa??
Hii hali mbaya inasababishwa na wanawake au wanaume nani mwenye kosa??