Wake zetu wakipata visafari humo njiani wanapitiwa sana; ni ukweli mchungu

Wake zetu wakipata visafari humo njiani wanapitiwa sana; ni ukweli mchungu

Uoga wenu tu mzee, unahisi unachapiwa kila muda. Huyo mke ni kicheche kiasi gani?? Na hii ndio sababu wanawake wanawaendesha saana maana wanaona jinsi mlivyo na hofu na mashaka juu yao.

Ondoa hiyo akili ya kuchapiwa chapiwa kila saa.
Hofu inatokana na udhaifu ...ulimpata.mwanamke kwa kumshawishi kwa kuhonga na mali sio kwamba alikuwa na hisia na wewe


Wenye pesa lazima watamla tu
 
Haya maneno ya Quran?
Sura ya ngapi?
Aya ya ngapi?[emoji2][emoji28][emoji1787]
Reference ya uislam ni QURAN
Mfano ukisoma Mwanzo 4:19,16:1-4,29:18-29,......biblia ipo wazi kuhusu kuoa wake wengi,ila WAPUMBAVU wachache kwenye ukristo,hawaamini kwenye kuoa mke zaidi ya mmoja
Ukiangalia hapo,unaona Yes!,uislam upo mbele ya muda
Mkuu hapa biblia haisemi kwamba ni kitu chema (haiungi mkono jambo hilo) umepotosha maandiko
 
Ni ukweli mchungu ambao kila mwanandoa hatopenda kuusikia.

Tunawaruhusu wake zetu wasafiri au waishi mbali lakini nilivyofuatlia hali ni mbaya sana humo njiani wana pigwa sana.

Kama ilivyo kwa wanaume akifika Dom au Dar au Mwanza, anatafuta chaka analolijua au part-time ndivyo hali ilivyo mbaya upande wa pili.

Wanawake zetu wanatoka mpaka na mtu waliyokutana nae siku hiyo hiyo kwenye gari so sad.

Usiku mwema, make wife wako hana vituo vingi njiani labda inaweza saidia.
Hapa ni kula uliwe! Hata baadhi ya wanaume ni mulemule!
 
Ni ukweli mchungu ambao kila mwanandoa hatopenda kuusikia.

Tunawaruhusu wake zetu wasafiri au waishi mbali lakini nilivyofuatlia hali ni mbaya sana humo njiani wana pigwa sana.

Kama ilivyo kwa wanaume akifika Dom au Dar au Mwanza, anatafuta chaka analolijua au part-time ndivyo hali ilivyo mbaya upande wa pili.

Wanawake zetu wanatoka mpaka na mtu waliyokutana nae siku hiyo hiyo kwenye gari so sad.

Usiku mwema, make wife wako hana vituo vingi njiani labda inaweza saidia.
Umesahauuu newton's thrrd law of motion ee

Mwosha huoshwaaaaqq

Hioo n kwelii kabisaaaaaaa infact hata hapahap dar

Wanachofanya wanaamka saa 11 1 asbh wanakwambia wanawahi basi la kazini

Anakuja jamaa wakazini anaemla anamchukua getiini

Wanaendaa guest ya karibu na ofisin kama yuko sinza ndioo kabisaaa kama yuko kinondon huko motoni

Wanachechetuqnaaa wee ikifika moja na dk 30 wanaoga(sinahakikakanawanaogagagaa) wanavaaa wakikaribia job anashushwaaa bibie anatembeaa kidogo

Akijakwakooo unahisi kaweka udi na kivumbasi inavyonataa

Ukiona una hisiaaa hizia usianze kuchokonoa simuu wala nn. Tafuta kachenchenchede ka nje kawekee yaan ukihisikitu we kaiteee kapee kitu rohoo natakaaaa

Ukicheza naoo hawaaaa
Haya yanakuhusu
Special hire

majeneza yenye ubora

magari ya kubebea maiti

mauwa yenye kusafisha nyota pale namanga

yanakuhusu

uliza watoto wazazi waliokufa na shinikizo la damu mama zao waliishije na baba zao bbila kuangalia utajiri wala fedha zaoo
jifunze

Napitatuuu...
 
we ukiona mwanandoaa una magonjwa ya kujirudia mara kwa mara kapime mapema jiweke fiti weka mlo wa maana mazoezi

Fitina za nje unapunguza kidogo maisha yaendeee
 
sioo hioo tu
Kuna wanawake wanajifajya wako close na past wa kanisaaaaa

Wale ma past single waogopesana

Mkeo anaakka 11 anawahi kanisan anaenda pigwa pushup kwa mch

Saa moja anambiwa awahi kanisan anapewa cheo flan kusimamia labda wapanga viti nk.....

Anaaaaaitwa mwingine mpaka saa mbili anaondoka anakuja mwingine mpaka saa tatu past yuko ndan saa tatu na nusu mnaamka kabisaa na kupiga makofiii ..........nyokoonyokoo ameingiaaaaa nykonoommmm ameingiaaa

mkuu kama mwanandoa na mkeo yuko makundi hayo juu
Kazini
makanisan

we simama na Mungu wako jiombee mwisho mwemaa..wanaume wengi malaya src n haya mambo ya wake zao
Senetor:
 pdidy
 
sioo hioo tu
Kuna wanawake wanajifajya wako close na past wa kanisaaaaa

Wale ma past single waogopesana

Mkeo anaakka 11 anawahi kanisan anaenda pigwa pushup kwa mch

Saa moja anambiwa awahi kanisan anapewa cheo flan kusimamia labda wapanga viti nk.....

Anaaaaaitwa mwingine mpaka saa mbili anaondoka anakuja mwingine mpaka saa tatu past yuko ndan saa tatu na nusu mnaamka kabisaa na kupiga makofiii ..........nyokoonyokoo ameingiaaaaa nykonoommmm ameingiaaa

mkuu kama mwanandoa na mkeo yuko makundi hayo juu
Kazini
makanisan

we simama na Mungu wako jiombee mwisho mwemaa..wanaume wengi malaya src n haya mambo ya wake zao
Senetor:
 pdidy
Watapewa ukimwi shauri zao
 
Uislam Mwema sana.


Miaka 1,400 nyuma umekataza mwanamke kusafiri peke yake, haturuhusiwi kusafiri bila kufuatana na mume au mtu wa karibu tuliyeharamishiwa kuolewa nae (maharam).

Ukimwona mwanamke wa Kiislam anasafiri peke yake ujuwe huyo hafati Uislam.
 
Uislam Mwema sana.


Miaka 1,400 nyuma umekataza mwanamke kusafiri peke yake, haturuhusiwi kusafiri bila kufuatana na mume au mtu wa karibu tuliyeharamishiwa kuolewa nae (maharam).

Ukimwona mwanamke wa Kiislam anasafiri peke yake ujuwe huyo hafati Uislam.
Umeshaamka we bibi
 
Back
Top Bottom