Wakenya 6 wanaoshiriki sherehe za JAMAFASET Dar, wametoroka

Wakenya 6 wanaoshiriki sherehe za JAMAFASET Dar, wametoroka

ikitokea wamerudi watawasimulia, usikute mingine ndo tunachati nayo huyu??

Wanaotoka mikoani tu hawarudi makwao ndo itakua Kenya,Burundi,Rwanda?

huko kote maisha magumu sana Dar unaweza kaa KKO na brush yako na kiwi ukaanzaa ku shine viatu vya watu maisha yakaenda
Kenya huwezi..biashara ndogo hizo ninamilikiwa na matajiri
 
Wajinga ndio waliwao [emoji23][emoji23][emoji23]
Pia kuna majambazi wenu huku wamejaa kwenye magereza yetu,
Pia kuna wakenya Wengi wanalipwa mishahara midogo sana huku kwa sababu mkenya ukimlipa pesa kidogo anakubali.
Pia Kuna Waganga na Wachuuzi wengi sana ama unataka kusema pia wao wako na work permit ? si wafanye Uganga huko Tanzania.
 
Hahahaha, usidandie gari kwa mbele, jaribu kuelewa kinachozungumzwa, sio habari ya visa kuisha, ni tatizo la raia wa nchi za Afrika au nchi zenye maisha magumu, kuamua kutorokea katika nchi zenye maisha mazuri pale wanapoenda kushiriki michezo, Nigeria, Ethiopia, na Kenya zinaongoza.

Hapa Tanzania, kulifanyika michezo, baadhi ya wachezaji toka Eritria, wakapotelea Tanzania, hawakurudi kwao baada ya michezo kumalizika, Leo kuna ripoti ya hawa wakenya 6 kutoonekana katika hii tamasha la JAMAFest.
Nyani haoni kundule...in Kenya undocumented immigrants Kutoka Tanzania ni wengi hata kuliko Wakenya undocumented walioko Tanzania.
 
Wapi source ya taarifa yako au hata link tu? Maanake navowajua nyinyi labda mmewafumania kisha mkawachuna ngozi. #BringBackOurBoysNow!
 
Nyani haoni kundule...in Kenya undocumented immigrants Kutoka Tanzania ni wengi hata kuliko Wakenya undocumented walioko Tanzania.
Hahahaha, ukiondoa ombaomba ambao hawawezi kuandamwa na " crime", kama kuna mtanzania anayekuja Kenya na kuacha nchi yenye maziwa na asali, basi mchunguzeni kwa makini sana, labda ana mpango wa kujiunga na Alshabaab.
 
Wapi source ya taarifa yako au hata link tu? Maanake navowajua labda mmewafumania kisha mkawachuna ngozi. #BringBackOurBoysNow!
Hahahaha, uhamiaji ya Tanzania wamesema bado wanachukulia kwamba wanaishi kisheria hadi baada ya miezi 3 ikiisha ndio watatoa tamko rasmi, kumbuka mkenya anaweza kuishi hadi miezi mitatu bila visa.
 
Hahahaha, ukiondoa ombaomba ambao hawawezi kuandamwa na " crime", kama kuna mtanzania anayekuja Kenya na kuacha nchi yenye maziwa na asali, basi mchunguzeni kwa makini sana, labda ana mpango wa kujiunga na Alshabaab.
Acha chuki zisizokuwa na tija, kwa ndugu zako ambao wanajituma. Tembea ujionee mwenyewe, ungekuwa mtu mstaarabu anaye eleweka ningekualika nikuhost kwa muda. Nikutembeze sehemu flani za Nairobi ambapo kichagga ndio lugha rasmi. Watz wapo wengi hata kwenye miji mingine ya Kenya, na wamejikita kwenye kuchuuza bidhaa, sanasana nguo.
 
Huwezi kukuta raia wa Kenya, Botswana, Mauritius, Seychelles, Japan, Qatar, Norway, USA, UK, Germany, France, ila Tanzania tu ambaye wanaanchi wake wanaotorokea Kenya na Afrika Kusini kuomba omba wakitumia vibakuli , au nchi zote zenye uchumi ambao unawagusa wananchi, hakuna pengo kubwa kati ya tajiri na masikini, wala hakuna rushwa kama ilivyo kati ya Tanzania na Zanziba wanafanya ujinga huo.
Kweli mkuu
 
kkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkķkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkķkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkķkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkk
dar es salaam niliopo au kuna dar yingine .

Hahahahaaa! Unawajua wenzio kumbe.
 
Haya haya wana JF, taarifa za kuaminika zinasema kwamba, wakenya sita miongoni mwa wakenya walioingia Bongo Dar es Salaam kushiriki katika tamasha la Utamaduni la Jumuiya ya nchi za Afrika mashariki ambalo linatarajiwa kufungwa hapo kesho Jumamosi, wametoroka na kujichanganya na wabongo ili kukwepa kurudi kwao kesho.

Hali hii ilitegemewa sana kujitokeza kutokana na mwenendo wa washiriki kutoka nchi zingine za Uburundi, Kenya, Uganda na Sudan ya Kusini, kukosekana katika viwanja vya Taifa muda mwingi wa tamasha, badala yako wamekuwa wakijimwa CBD kulishangaa jiji lenye kila aina ya urembo, jambo hili limesababisha kuviacha vikundi vya Tanzania pekee kutumbuiza kwa wiki nzima sasa.

Baadhi ya washiriki toka hizo nchi walioojiwa na vyombo vya habari, walisikika wakisema kwamba, hii ni Mara yao ya kwanza kufika Tanzania, hawakutegemea kuikuta Dar es Salaam katika ikiwa na maendeleo kiasi hiki, wengi wamesifia, Amani, usafi, mpangilio wa mji, Kariakoo, BRT na vyakula.
Mi nasema sawa tu tunawakaribisha kwa mikono miwili!
 
Wakenya bhana. Tutawasaka mpaka tuwapate wamejificha wapi.
 
Hahahaha, usidandie gari kwa mbele, jaribu kuelewa kinachozungumzwa, sio habari ya visa kuisha, ni tatizo la raia wa nchi za Afrika au nchi zenye maisha magumu, kuamua kutorokea katika nchi zenye maisha mazuri pale wanapoenda kushiriki michezo, Nigeria, Ethiopia, na Kenya zinaongoza.

Hapa Tanzania, kulifanyika michezo, baadhi ya wachezaji toka Eritria, wakapotelea Tanzania, hawakurudi kwao baada ya michezo kumalizika, Leo kuna ripoti ya hawa wakenya 6 kutoonekana katika hii tamasha la JAMAFest.
Hao wa Eritrea ata wakija kwenye mashindano ya mpira lazima wabaki Dar, ila kati ya wote waliokimbia wakenya ndiyo kuwapata ni ngumu, wana mtandao hapa Dar halafu ni rahisi ku communicate na wazawa nakujificha.

Bila kusahau ata ukiwaona waki timua mbio huwakamati [emoji38]
 
Acha chuki zisizokuwa na tija, kwa ndugu zako ambao wanajituma. Tembea ujionee mwenyewe, ungekuwa mtu mstaarabu anaye eleweka ningekualika nikuhost kwa muda. Nikutembeze sehemu flani za Nairobi ambapo kichagga ndio lugha rasmi. Watz wapo wengi hata kwenye miji mingine ya Kenya, na wamejikita kwenye kuchuuza bidhaa, sanasana nguo.
Wachaga ninaweza kukubaliana na wewe, hata Yemen na Syria utawakuta wanafanya biashara huku MABOMU yanarindima, ukiachana na wachagga, kati ya makabila zaidi ya 130, kuna mtanzania toka kabila gani zaidi ya wachagga yupo Kenya?, kuwa mkweli tafadhali sana.
 
Hao wa Eritrea ata wakija kwenye mashindano ya mpira lazima wabaki Dar, ila kati ya wote waliokimbia wakenya ndiyo kuwapata ni ngumu, wana mtandao hapa Dar halafu ni rahisi ku communicate na wazawa nakujificha.

Bila kusahau ata ukiwaona waki timua mbio huwakamati [emoji38]
Hahahaha, hahahaha, hahahaha, hahahaha.
 
Kwa sababu Wanigeria wanapenda kukwama kwa wenyewe haimaanishi kuwa Nigeria ni uchumi hafifu. Nani hajui Nigeria ndio uchumi mkubwa hapa Africa?Vilevile licha ya Wakenya kupenda kutembea au kukwama kwa nchi za watu unavyosema, nani hajui Kenya ndio uchumi mkubwa hapa Afrika mashariki?
Hujui kama uchumi nao hutegemea ni aina gani ya uchumi wa nchi husika,nigeria,kenya na south Africa zina uchumi wa GDP yaani uchumi wa makaratasi,uchumi ambazo upo tu kwenye makaratasi lakini hau-reflect maisha halisi ya wananchi wa nchi husika
 
mkuu Acha tu kazi tunayo .sijategemea kucheka ivo basi tu.asikuambia mtu chochote kenya itabaki kuwa juu.
ndivyo unavyojidanganya kenya itabaki kuwa juu huku upo bongo school teacher kwa mshahara wa $ 300!
 
Back
Top Bottom