ikitokea wamerudi watawasimulia, usikute mingine ndo tunachati nayo huyu??
Pia Kuna Waganga na Wachuuzi wengi sana ama unataka kusema pia wao wako na work permit ? si wafanye Uganga huko Tanzania.
Nyani haoni kundule...in Kenya undocumented immigrants Kutoka Tanzania ni wengi hata kuliko Wakenya undocumented walioko Tanzania.Hahahaha, usidandie gari kwa mbele, jaribu kuelewa kinachozungumzwa, sio habari ya visa kuisha, ni tatizo la raia wa nchi za Afrika au nchi zenye maisha magumu, kuamua kutorokea katika nchi zenye maisha mazuri pale wanapoenda kushiriki michezo, Nigeria, Ethiopia, na Kenya zinaongoza.
Hapa Tanzania, kulifanyika michezo, baadhi ya wachezaji toka Eritria, wakapotelea Tanzania, hawakurudi kwao baada ya michezo kumalizika, Leo kuna ripoti ya hawa wakenya 6 kutoonekana katika hii tamasha la JAMAFest.
Hahahaha, ukiondoa ombaomba ambao hawawezi kuandamwa na " crime", kama kuna mtanzania anayekuja Kenya na kuacha nchi yenye maziwa na asali, basi mchunguzeni kwa makini sana, labda ana mpango wa kujiunga na Alshabaab.Nyani haoni kundule...in Kenya undocumented immigrants Kutoka Tanzania ni wengi hata kuliko Wakenya undocumented walioko Tanzania.
Hahahaha, uhamiaji ya Tanzania wamesema bado wanachukulia kwamba wanaishi kisheria hadi baada ya miezi 3 ikiisha ndio watatoa tamko rasmi, kumbuka mkenya anaweza kuishi hadi miezi mitatu bila visa.Wapi source ya taarifa yako au hata link tu? Maanake navowajua labda mmewafumania kisha mkawachuna ngozi. #BringBackOurBoysNow!
Acha chuki zisizokuwa na tija, kwa ndugu zako ambao wanajituma. Tembea ujionee mwenyewe, ungekuwa mtu mstaarabu anaye eleweka ningekualika nikuhost kwa muda. Nikutembeze sehemu flani za Nairobi ambapo kichagga ndio lugha rasmi. Watz wapo wengi hata kwenye miji mingine ya Kenya, na wamejikita kwenye kuchuuza bidhaa, sanasana nguo.Hahahaha, ukiondoa ombaomba ambao hawawezi kuandamwa na " crime", kama kuna mtanzania anayekuja Kenya na kuacha nchi yenye maziwa na asali, basi mchunguzeni kwa makini sana, labda ana mpango wa kujiunga na Alshabaab.
Kweli mkuuHuwezi kukuta raia wa Kenya, Botswana, Mauritius, Seychelles, Japan, Qatar, Norway, USA, UK, Germany, France, ila Tanzania tu ambaye wanaanchi wake wanaotorokea Kenya na Afrika Kusini kuomba omba wakitumia vibakuli , au nchi zote zenye uchumi ambao unawagusa wananchi, hakuna pengo kubwa kati ya tajiri na masikini, wala hakuna rushwa kama ilivyo kati ya Tanzania na Zanziba wanafanya ujinga huo.
kkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkķkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkķkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkķkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkk
dar es salaam niliopo au kuna dar yingine .
Mi nasema sawa tu tunawakaribisha kwa mikono miwili!Haya haya wana JF, taarifa za kuaminika zinasema kwamba, wakenya sita miongoni mwa wakenya walioingia Bongo Dar es Salaam kushiriki katika tamasha la Utamaduni la Jumuiya ya nchi za Afrika mashariki ambalo linatarajiwa kufungwa hapo kesho Jumamosi, wametoroka na kujichanganya na wabongo ili kukwepa kurudi kwao kesho.
Hali hii ilitegemewa sana kujitokeza kutokana na mwenendo wa washiriki kutoka nchi zingine za Uburundi, Kenya, Uganda na Sudan ya Kusini, kukosekana katika viwanja vya Taifa muda mwingi wa tamasha, badala yako wamekuwa wakijimwa CBD kulishangaa jiji lenye kila aina ya urembo, jambo hili limesababisha kuviacha vikundi vya Tanzania pekee kutumbuiza kwa wiki nzima sasa.
Baadhi ya washiriki toka hizo nchi walioojiwa na vyombo vya habari, walisikika wakisema kwamba, hii ni Mara yao ya kwanza kufika Tanzania, hawakutegemea kuikuta Dar es Salaam katika ikiwa na maendeleo kiasi hiki, wengi wamesifia, Amani, usafi, mpangilio wa mji, Kariakoo, BRT na vyakula.
Dada umekuja ukianza kujichekesha kumbe lengo ni kutafuta basha wa kikenyamkuu Acha tu kazi tunayo .sijategemea kucheka ivo basi tu.asikuambia mtu chochote kenya itabaki kuwa juu.
Hao wa Eritrea ata wakija kwenye mashindano ya mpira lazima wabaki Dar, ila kati ya wote waliokimbia wakenya ndiyo kuwapata ni ngumu, wana mtandao hapa Dar halafu ni rahisi ku communicate na wazawa nakujificha.Hahahaha, usidandie gari kwa mbele, jaribu kuelewa kinachozungumzwa, sio habari ya visa kuisha, ni tatizo la raia wa nchi za Afrika au nchi zenye maisha magumu, kuamua kutorokea katika nchi zenye maisha mazuri pale wanapoenda kushiriki michezo, Nigeria, Ethiopia, na Kenya zinaongoza.
Hapa Tanzania, kulifanyika michezo, baadhi ya wachezaji toka Eritria, wakapotelea Tanzania, hawakurudi kwao baada ya michezo kumalizika, Leo kuna ripoti ya hawa wakenya 6 kutoonekana katika hii tamasha la JAMAFest.
Wachaga ninaweza kukubaliana na wewe, hata Yemen na Syria utawakuta wanafanya biashara huku MABOMU yanarindima, ukiachana na wachagga, kati ya makabila zaidi ya 130, kuna mtanzania toka kabila gani zaidi ya wachagga yupo Kenya?, kuwa mkweli tafadhali sana.Acha chuki zisizokuwa na tija, kwa ndugu zako ambao wanajituma. Tembea ujionee mwenyewe, ungekuwa mtu mstaarabu anaye eleweka ningekualika nikuhost kwa muda. Nikutembeze sehemu flani za Nairobi ambapo kichagga ndio lugha rasmi. Watz wapo wengi hata kwenye miji mingine ya Kenya, na wamejikita kwenye kuchuuza bidhaa, sanasana nguo.
Hahahaha, hahahaha, hahahaha, hahahaha.Hao wa Eritrea ata wakija kwenye mashindano ya mpira lazima wabaki Dar, ila kati ya wote waliokimbia wakenya ndiyo kuwapata ni ngumu, wana mtandao hapa Dar halafu ni rahisi ku communicate na wazawa nakujificha.
Bila kusahau ata ukiwaona waki timua mbio huwakamati [emoji38]
Hujui kama uchumi nao hutegemea ni aina gani ya uchumi wa nchi husika,nigeria,kenya na south Africa zina uchumi wa GDP yaani uchumi wa makaratasi,uchumi ambazo upo tu kwenye makaratasi lakini hau-reflect maisha halisi ya wananchi wa nchi husikaKwa sababu Wanigeria wanapenda kukwama kwa wenyewe haimaanishi kuwa Nigeria ni uchumi hafifu. Nani hajui Nigeria ndio uchumi mkubwa hapa Africa?Vilevile licha ya Wakenya kupenda kutembea au kukwama kwa nchi za watu unavyosema, nani hajui Kenya ndio uchumi mkubwa hapa Afrika mashariki?
ndivyo unavyojidanganya kenya itabaki kuwa juu huku upo bongo school teacher kwa mshahara wa $ 300!mkuu Acha tu kazi tunayo .sijategemea kucheka ivo basi tu.asikuambia mtu chochote kenya itabaki kuwa juu.
Nyani haoni kundule...in Kenya undocumented immigrants Kutoka Tanzania ni wengi hata kuliko Wakenya undocumented walioko Tanzania.
Lete na gharama za maisha. Hivi ukipewa $300 kijijini na $500 mjini unahisi kuna tofauti?. Wenye akili huwa wanaangalia kitu kinachoitwa (PPP), sio" numerical salary"Kenya itabaki kuwa huku upo bongo school teacher kwa mshahara wa $ 300!