Wakenya 6 wanaoshiriki sherehe za JAMAFASET Dar, wametoroka

Ukaribishwe kw mtu km nani...eti urafiki wa mitandaoni au kazini basi ndio uje kwangu...kw lipi haswa..kwn mi ni basha wako...
Nimesadikisha nayosikiaga.
Ninyi jamaa hamnaga ujamaa kabbisa hata kutembeleana eti kwa appointment kama kazini duh acheni hizo mambo mob.
 
Mtu wa kumpeleka kwako muangalie kwanza...
Si kukurupuka tu..wachezea binadamu wewe
Nimesadikisha nayosikiaga.
Ninyi jamaa hamnaga ujamaa kabbisa hata kutembeleana eti kwa appointment kama kazini duh acheni hizo mambo mob.
 
Hahaahahhha daaah !
Sisi iko tofauti sana.
Muamini mtu hata km mdanganyifu atajuana na Mola wake.
You just play your part.
Mtu wa kumpeleka kwako muangalie kwanza...
Si kukurupuka tu..wachezea binadamu wewe
 
We cheka tu...binadamu atabaki kuwa binadamu na malaika atabaki kuwa malaika tu...hamna la ziada...

Usikubali mtu akusoma rada zako...mi mambo yangu kwangu kwangu tu
Hahaahahhha daaah !
Sisi iko tofauti sana.
Muamini mtu hata km mdanganyifu atajuana na Mola wake.
You just play your part.
 
We cheka tu...binadamu atabaki kuwa binadamu na malaika atabaki kuwa malaika tu...hamna la ziada...

Usikubali mtu akusoma rada zako...mi mambo yangu kwangu kwangu tu
Icho icho chumba cha kulala,store, iyo iyo pia sebure huwezi nipeleka.
 
Ndivyo tulivyo kama nilivyo sema wakenya awakukaribishi wanapoishi wala kukuonyesha kuna wakenya 8 miaka ya 2008 walikuja dar sisi tuliwakalibisha home Leo Kwa yule kesho Kwa huyu walikuwa wanabadili makazi tu hadi wakakataa kukaa hoterini wakawa wanaishi Kwa marafiki wa kibongo baadae wakarudi Kenya sasa Kwa bahati na sisi tukaata safari Kenya ila mm sikwenda walienda watz 3 walipofika Naii wakaona wawa tafute wale marafiki wa Kenya ndipo walipokutana ila cha kushangaza wale wakenya 8 wote waliwazungusha wa bongo miezi 6 bila kuwaonyesha hata eneo wanaloishi hadi wanaondoka ni kukutana Kwa bar na hoteri tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…