Nimesadikisha nayosikiaga.Ukaribishwe kw mtu km nani...eti urafiki wa mitandaoni au kazini basi ndio uje kwangu...kw lipi haswa..kwn mi ni basha wako...
Ninyi jamaa hamnaga ujamaa kabbisa hata kutembeleana eti kwa appointment kama kazini duh acheni hizo mambo mob.