LIKUD
JF-Expert Member
- Dec 26, 2012
- 18,037
- 33,681
Wakenya hawana lolote wanacho kifanya ni MAIGIZO tu.
Ukiona mbongo anasali kwa kiingereza basi jua hana shida huyo.
Ukiona mtu anaelezea matatizo yake kwa lugha ya kigeni wakati ana option ya kuyaelezea kwa lugha yake mwenyewe basi jua hana matatizo huyo.
Muandamanaji anasema
" we are tired. This government is bad. We are hungry. We don't have food " blah blah blah.
And you are taking him seriously?
Angekuwa ana shida kweli angezitaja kwa lugha mama yake na sio lugha ya kigeni.
Upo na matatizo ya ukweli ukweli unapata wapi muda wa kufanya madoido ya kutumia lugha ya kigeni?
Saikolojia ya lugha inayo muhusu mwafrika inasema mwafrika huwaga anataja matatizo yake kwa lugha mama yake na kamwe hawezi kuyataja kwa lugha ya kigeni ambayo huwa mwafrika anaiona superior language.
Jambo zuri atalitaja kwa kiingereza ila jambo baya ndo atalitaja kwa kiswahili.
Mfano Slay queen aliyeibiwa iPhone, hata siku moja hawezi kusema " MY iPhone has been stolen"
Atasema " YESTERDAY I WENT TO BUY AN IPHONE AT MLIMANI CITY, ILA NILIPOPITA MANZESE IKAIBIWA"
So acheni kuwaambia wabongo waige huo utoto wa Wakenya.
Moderator naomba msiunganishe Uzi huu na nyuzi nyingine
Ukiona mbongo anasali kwa kiingereza basi jua hana shida huyo.
Ukiona mtu anaelezea matatizo yake kwa lugha ya kigeni wakati ana option ya kuyaelezea kwa lugha yake mwenyewe basi jua hana matatizo huyo.
Muandamanaji anasema
" we are tired. This government is bad. We are hungry. We don't have food " blah blah blah.
And you are taking him seriously?
Angekuwa ana shida kweli angezitaja kwa lugha mama yake na sio lugha ya kigeni.
Upo na matatizo ya ukweli ukweli unapata wapi muda wa kufanya madoido ya kutumia lugha ya kigeni?
Saikolojia ya lugha inayo muhusu mwafrika inasema mwafrika huwaga anataja matatizo yake kwa lugha mama yake na kamwe hawezi kuyataja kwa lugha ya kigeni ambayo huwa mwafrika anaiona superior language.
Jambo zuri atalitaja kwa kiingereza ila jambo baya ndo atalitaja kwa kiswahili.
Mfano Slay queen aliyeibiwa iPhone, hata siku moja hawezi kusema " MY iPhone has been stolen"
Atasema " YESTERDAY I WENT TO BUY AN IPHONE AT MLIMANI CITY, ILA NILIPOPITA MANZESE IKAIBIWA"
So acheni kuwaambia wabongo waige huo utoto wa Wakenya.
Moderator naomba msiunganishe Uzi huu na nyuzi nyingine