Wakenya, hata kama mmekwama kiuchumi, mnunulieni Rais wenu ndege mpya!

Wakenya, hata kama mmekwama kiuchumi, mnunulieni Rais wenu ndege mpya!

Mikopo Chefuchefu

JF-Expert Member
Joined
May 15, 2017
Posts
3,373
Reaction score
6,795
Kwa sasa Rais wa Kenya huenda ndiye akawa kiongozi wa pekee barani Afrika ambaye anatumia ndege ya zamani na chakavu kuliko nchi zote.
Haiingii akilini kuona kuwa hata nchi ndogo ya Rwanda ina ndege nzuri ya Rais kuliko nchi ya Kenya ambayo inajinasibu kuwa na uchumi mkubwa kuliko nchi zote za Afrika Mashariki.
Hiyo ndege ya Rais wenu ni ndege iliyotengenezwa kwenye miaka ya tisini na najua ilileta mgogoro kwenye kuinunua. Lakini kwa kujali uhai na usalama wa kiongozi wenu, kama majirani naombeni mumnunulie Rais wenu ndege mpya.
Kama hamna uwezo wa kununua ndege kubwa kama hiyo, basi nunueni ndege ndogo ya Learjet 75 ambayo ni superior kiasi cha kufaa kumbeba Rais wenu.
Hilo dege lenu ni la kizamani sana hata tu kwa muonekano linawatia aibu na kuonesha jinsi gani mko so broke...

Chonde chonde, fanyeni mpango wa kununua ndege mpya ya Rais kabla hamjamuua na hilo dude zee kiongozi wenu!



Bombardier Learjet 75 - N342SP

1154163



Dege lenyewe kwanza halijulikani kama ni la rangi nyeupe, ya njano au maziwa kutokana na lilivyochakaa...

1154165






 

Attachments

  • 1563194727087.png
    1563194727087.png
    44.6 KB · Views: 34
Kwa sasa Rais wa Kenya huenda ndiye akawa kiongozi wa pekee barani Afrika ambaye anatumia ndege ya zamani na chakavu kuliko nchi zote.
Haiingii akilini kuona kuwa hata nchi ndogo ya Rwanda ina ndege nzuri ya Rais kuliko nchi ya Kenya ambayo inajinasibu kuwa na uchumi mkubwa kuliko nchi zote za Afrika Mashariki.
Hiyo ndege ya Rais wenu ni ndege iliyotengenezwa kwenye miaka ya themanini na najua ilileta mgogoro kwenye kuinunua. Lakini kwa kujali uhai na usalama wa kiongozi wenu, kama majirani naombeni mumnunulie Rais wenu ndege mpya.
Kama hamna uwezo wa kununua ndege kubwa kama hiyo, basi nunueni ndege ndogo a Learjet ambayo ni superior kiasi cha kufaa kumbeba Rais wenu.
Hilo dege lenu ni la kizamani sana hata tu kwa muonekano linawatia aibu na kuonesha jinsi gani mko so broke...

Chonde chonde, fanyeni mpango wa kununua ndege mpya ya Rais kabla hamjamuua na hilo dude zee kiongozi wenu!



Bombardier Learjet 75 - N342SP

View attachment 1154163
Hilo ndiyo tatizo la waafrika. Tunapenda kushindana/kuonyeshana ubora kwenye mambo ya kipuuzi tu. Kama ndege ambayo raisi huyo anaitumia iko airworthy tatizo ni nini?
 
Hilo ndiyo tatizo la waafrika. Tunapenda kushindana/kuonyeshana ubora kwenye mambo ya kipuuzi tu. Kama ndege ambayo raisi huyo anaitumia iko airworthy tatizo ni nini?
Ni ndege chakavu mnoo! Haina tena sifa za kubeba Rais wa nchi!
 
Hivi unafahamu maana ya uchakavu wa ndege?????


Ukiangalia hii video utaona hii ndege inavyotoa moshi mwingi mzito wakati wa kuruka... Hiyo ni dalili kuwa engine zimeshaanza kuchoka na hivyo combustion sio nzuri kutokana na uchakavu huo...
Ndege yenye engine mpya huwezi iona inatoa moshi mzito wakati wa kuondoka!

Muda si mrefu hii ndege inaweza kupigwa marufuku kuruka kwenye anga la European Union kutokana na kuto meet pollution/ emission standards!
 


Ukiangalia hii video utaona hii ndege inavyotoa moshi mwingi mzito wakati wa kuruka... Hiyo ni dalili kuwa engine zimeshaanza kuchoka na hivyo combustion sio nzuri kutokana na uchakavu huo...
Ngege yenye engine mpya huwezi iona inatoa moshi mzito wakati wa kuondoka!

Muda si mrefu hii ndege inaweza kupigwa marufuku kuruka kwenye anga la European Union kutokana na kuto meet pollution standards!

Hivi wewe una utaalam wowote ule wa aircraft engine performance????????????????
 
Hivi wewe una utaalam wowote ule wa aircraft engine performance????????????????

We had our jet bought in 1995, yours in 2004, jets are not cars, they have to be used for their whole lifespan and get retired, thats some 30 years plus, wachana na jet yetu ifanye kazi, its structure bado iko tu sawa, only needs to be reserviced engines and avionics and its good to go
 
We had our jet bought in 1995, yours in 2004, jets are not cars, they have to be used for their whole lifespan and get retired, thats some 30 years plus, wachana na jet yetu ifanye kazi, its structure bado iko tu sawa, only needs to be reserviced engines and avionics and its good to go
Yeah. Its good to go but its good for other govt officials not the president... A president needs a new jet...
 
We had our jet bought in 1995, yours in 2004, jets are not cars, they have to be used for their whole lifespan and get retired, thats some 30 years plus, wachana na jet yetu ifanye kazi, its structure bado iko tu sawa, only needs to be reserviced engines and avionics and its good to go
Ours is not of 2004. Mind you, we have a newest 'presidential jet'... When the president don't use it, we lease it to Air Tanzania...

1154535
 
Hilo ndiyo tatizo la waafrika. Tunapenda kushindana/kuonyeshana ubora kwenye mambo ya kipuuzi tu. Kama ndege ambayo raisi huyo anaitumia iko airworthy tatizo ni nini?
Kweli kabisa mkuu .Uhuru akae na ndege hiyo hiyo cha maana na kukuza uchumi ,kujenga hospitali zenye vifaa,mashule na barara za kisasa.

Huyu mleta mada wacha upuzi wewe ni kama wajinga wa African Americans ambapo unapata mtu ana TV kubwa zaidi lakini maktaba ama home library ya kujiendelesha elimu haipo ama ni ndogo ndogo sana.
 

Attachments

  • 1563222510751.png
    1563222510751.png
    54.5 KB · Views: 23
Back
Top Bottom