Wakenya huu mswada uliopitishwa na wabunge wa Jubilee Alhamisi unaathiri vipi uchaguzi ujao?

Wakenya huu mswada uliopitishwa na wabunge wa Jubilee Alhamisi unaathiri vipi uchaguzi ujao?

joto la jiwe mbane sana mk254 amezoea kuruka ruka na kutokea nje ya mada. anapenda sana ku derail discussion.

ajibu hizo hoja nane empirically. ARDHI imerudishwa wilaya ngapi toka kina Lord Dalamare na kina Uhuru family.
 
joto la jiwe mbane sana mk254 amezoea kuruka ruka na kutokea nje ya mada. anapenda sana ku derail discussion.

ajibu hizo hoja nane empirically. ARDHI imerudishwa wilaya ngapi toka kina Lord Dalamare na kina Uhuru family.
Subiri utaona atakavyokurupuka, yeye anahasira sana na Tanzania, mimi ninamuuliza maswali kuhusu katiba ya Kenya inavyowasaidia wananchi wa kawaida, yeye anazungumzia habari ya Tanzania, wapi na wapi?
 
hahaa... phohibition iliisha kitambo mkuu huna habari?
Wapi bana sisi kwenye kambi ya waitaliano bado tupo kwenye biashara bana. We vipi? Capone says hi, yeye ndo mkulu siku hizi. Ndo kachizi kabisa, hehe! 😀
 
Wapi bana sisi kwenye kambi ya waitaliano bado tupo kwenye biashara bana. We vipi? Capone says hi, yeye ndo mkulu siku hizi. Ndo kachizi kabisa, hehe! 😀
Capone nasikia kaishia jela kisha akapatwa na syphilis....na Luciano akawa deported to Italy
 
Siasa za Kenya ukizifuatilia sana unaweza kuwa chizi, hawa hawa Uhuru na Rutto walipambana sana kupata katiba mpya, baadae wakawa wanapita kuisifia na kuiaminisha dunia kwamba katiba ya Kenya is the best, hata vumbi halijafutika tayari imeonekana na dosari... wanasemaga siku ya kufa nyani, miti yote aliyozoea kuiparamia siku zote inaanza kuteleza...wakenya chokochoko hii, kuna kitu mnakitafuta, Mungu hajaribiwi, ukibeep yeye anapiga...chondechonde..kila siku mnakuja na jipya..kwanini lakini?
Siasa so Kenya tu, kote duniani ni uhuni tuu.
 
Kawaida ya Watanzania haswa nyie wa mlengo wa CCM mnapoijadili katiba ya Kenya huwa ni kama mumekaririshwa, yaani hayo yote umeandika hapo yameshughulkiwa pakubwa na katiba yetu mpya. Huwa mnajaribu kutumia huko kukaririshwa ili kuwaonyesha Watanzania kwamba hamna umuhimu wa wao kufuata katiba mpya. Huwa mnatumia nguvu nyingi sana.

Kwa ajili ya katiba mpya
- Maendeleo yameenea kwenye gatuzi zote hata maeneo ambayo yalikua yametelekezwa maiaka yote
- Maskini wa chini wameanza kuona haki ikitendeka
- Ukabila unapungua pakubwa maana watu walikua wameaminishwa raslimali zote zinaishia kati au Nairobi, leo hii mikoa na gatuzi zote zimepata fursa ya kutumia raslimali zao vizuri. Ni kama watu wa Mtwara waanze kuona umuhimu wa gesi.

Kuna vitu vingi sana ambavyo naweza kuandika, na kuna mada na hoja tulichangia sana humu, lakini kwa sababu upo kwa ajili ya kutafuta makosa hutaona chochote kizuri. Utatumia nguvu nyingi sana kupata wapi pa kukosoa ili uwatamaushe Watanzania wenzio wanaotamani kuwa na katiba mpya.
Siyo kila aliyepo hapa ni Mtanzania.
 
Kwani hao wawili wantofautiana vipi na hawa NASA jameni? Wanasiasa wa NASA walifurahia sana majority ruling kule supreme court sasa iweje ati majority vote bungeni nayo sasa ni kitu kibaya?
Hizi ni akili za mtu mpumbafu tuu....na inawezekana kama ni me.,akawa bwabwaaa..
 
Capone nasikia kaishia jela kisha akapatwa na syphilis....na Luciano akawa deported to Italy
Kweli, naona unapenda mambo freshi freshi. Waliongezea au ilifika ya tano nilipoiachia? Waafrika walikuwa wameanza kutamba asee!
 
Kweli, naona unapenda mambo freshi freshi. Waliongezea au ilifika ya tano nilipoiachia? Waafrika walikuwa wameanza kutamba asee!
haahaa, iliishia ya tano palepale mkuu, nilisikitika Chalky White alipouawa.... Uliangalia nyingine inaitwa Breaking Bad..?
 
it's very important that you argue from a point of knowledge and not from skewed news articles and propaganda from politicians.
the likes of MK254 amaze me sometimes because they have access to information but their arguments remain pedestrian.
1. Nasa have 'irreducible minimums' against iebc which is an independent constitutional body, yet this is somewhat right.....
2.Nasa are planning for mass action and threats against iebc commissioners ignoring the laid out constitutional processes of removing commissioners from office and this is ok?
3. Nasa wants the majority decision of the supreme court respected but the majority in parliament(which by the way is a 3rd and independent arm of government) is somewhat wrong?
***now...
before you bash the amendments being carried out in parliament, you need to understand what is being amended. There is no where Jubilee is trying to amend the constitution. the amendments are on the elections act and the election offenses act. the amendments also seek to protect the voice of the majority when they cast their votes by ensuring that the supreme court cannot annul a presidential election for reasons that do not affect the results such as transmission(like happened on 1st September).
I urge you to read the proposed amendments before commenting.
 
Wakenya safari hii msipo chapana sijui uchaguzi wa maludio utaleta chuki kubwa sana Kenya ya ukabila ushauri undeni serikali ya mseto tu baina ya vyama na makabila makubwa
 
Katiba ya Kenya ilikuwa imekaa vizuri sana. Imepunguza nguvu za rais kwa kiasi kikubwa tofauti na Tanzania ambapo rais ni mungu-mtu.
Sasa anachokifanya Uhuru ni kuirudisha Kenya hatua 50 nyuma. Pathetic!

Wewe hujui siasa za Kenya, nchi hii wemetunga katiba ambayo inaimarisha ukabila! Kivipi? Kuna makabila 44 unfortunately kila kabila limetungiwa kuwa na county yake kwani zipo 47 na kwa sababu Luo, Kamba, Kikuyu, Kalenjins na Abaluhya ni wengi wao wameshika county kama tatu kila kabila! Mfano Luhya wameshika Bungoma(Governor Watengula) na Spika wa Seneti Ken Lusaka katoka hapo, halafu kuna Kakamega(governor Oparanya) then Busia na Vihiga wote hao ni Luhya. Hii katiba ilisimamiwa na Baba Raila! Badala ya kuwa na Zone kama nne au tano Kenya nzima ili kuwa na mchanganyiko wa makabila.
 
haahaa, iliishia ya tano palepale mkuu, nilisikitika Chalky White alipouawa.... Uliangalia nyingine inaitwa Breaking Bad..?
Breaking bad niliicheki zamani, juzi juzi tu ndo nimemaliza AMC's Bettter call Saul Sn1,AMC wataifanya collabo na Breaking bad next season, itakuwa ingine mwoto sana.
 
Breaking bad niliicheki zamani, juzi juzi tu ndo nimemaliza AMC's Bettter call Saul Sn1,AMC wanaishikanisha na Breaking bad ikitoka itakuwa noma sana.
Ok nimei google nimeona hii inamhusu yule mwanasheria mkora, Saul Goodman...ngoja nitai download, naona unapenda gangster stuffs ka mimi, vipi kuhusu Narcos..?
 
Ok nimei google nimeona hii inamhusu yule mwanasheria mkora, Saul Goodman...ngoja nitai download, naona unapenda gangster stuffs ka mimi, vipi kuhusu Narcos..?
Iliishia sn 1 naskia. Niliitizama, vipi na Ray Donovan, umeicheki? Season mpya ya Power ni noma sana pia.
 
Iliishia sn 1 naskia. Niliitizama, vipi na Ray Donovan, umeicheki? Season mpya ya Power ni noma sana pia.
power nimeicheki ila season mpya bado, hii ray donovan nilikuwa sijaisikia bado, nayo nitaitafuta, ila Narcos imeshatoka hadi season 3
 
power nimeicheki ila season mpya bado, hii ray donovan nilikuwa sijaisikia bado, nayo nitaitafuta, ila Narcos imeshatoka hadi season 3
Safi ntaitafuta Narcos niendeleze toka sn 2, Power ilishatoka 10eps. mpya, kali sana.
 
Back
Top Bottom