Subiri utaona atakavyokurupuka, yeye anahasira sana na Tanzania, mimi ninamuuliza maswali kuhusu katiba ya Kenya inavyowasaidia wananchi wa kawaida, yeye anazungumzia habari ya Tanzania, wapi na wapi?joto la jiwe mbane sana mk254 amezoea kuruka ruka na kutokea nje ya mada. anapenda sana ku derail discussion.
ajibu hizo hoja nane empirically. ARDHI imerudishwa wilaya ngapi toka kina Lord Dalamare na kina Uhuru family.
hahaa... phohibition iliisha kitambo mkuu huna habari?Nucky Thompson ile biashara yako haramu ya vileo uliachana nayo nini? Is the Boardwalk Empire dead?
Wapi bana sisi kwenye kambi ya waitaliano bado tupo kwenye biashara bana. We vipi? Capone says hi, yeye ndo mkulu siku hizi. Ndo kachizi kabisa, hehe! 😀hahaa... phohibition iliisha kitambo mkuu huna habari?
Capone nasikia kaishia jela kisha akapatwa na syphilis....na Luciano akawa deported to ItalyWapi bana sisi kwenye kambi ya waitaliano bado tupo kwenye biashara bana. We vipi? Capone says hi, yeye ndo mkulu siku hizi. Ndo kachizi kabisa, hehe! 😀
Siasa so Kenya tu, kote duniani ni uhuni tuu.Siasa za Kenya ukizifuatilia sana unaweza kuwa chizi, hawa hawa Uhuru na Rutto walipambana sana kupata katiba mpya, baadae wakawa wanapita kuisifia na kuiaminisha dunia kwamba katiba ya Kenya is the best, hata vumbi halijafutika tayari imeonekana na dosari... wanasemaga siku ya kufa nyani, miti yote aliyozoea kuiparamia siku zote inaanza kuteleza...wakenya chokochoko hii, kuna kitu mnakitafuta, Mungu hajaribiwi, ukibeep yeye anapiga...chondechonde..kila siku mnakuja na jipya..kwanini lakini?
Siyo kila aliyepo hapa ni Mtanzania.Kawaida ya Watanzania haswa nyie wa mlengo wa CCM mnapoijadili katiba ya Kenya huwa ni kama mumekaririshwa, yaani hayo yote umeandika hapo yameshughulkiwa pakubwa na katiba yetu mpya. Huwa mnajaribu kutumia huko kukaririshwa ili kuwaonyesha Watanzania kwamba hamna umuhimu wa wao kufuata katiba mpya. Huwa mnatumia nguvu nyingi sana.
Kwa ajili ya katiba mpya
- Maendeleo yameenea kwenye gatuzi zote hata maeneo ambayo yalikua yametelekezwa maiaka yote
- Maskini wa chini wameanza kuona haki ikitendeka
- Ukabila unapungua pakubwa maana watu walikua wameaminishwa raslimali zote zinaishia kati au Nairobi, leo hii mikoa na gatuzi zote zimepata fursa ya kutumia raslimali zao vizuri. Ni kama watu wa Mtwara waanze kuona umuhimu wa gesi.
Kuna vitu vingi sana ambavyo naweza kuandika, na kuna mada na hoja tulichangia sana humu, lakini kwa sababu upo kwa ajili ya kutafuta makosa hutaona chochote kizuri. Utatumia nguvu nyingi sana kupata wapi pa kukosoa ili uwatamaushe Watanzania wenzio wanaotamani kuwa na katiba mpya.
Hizi ni akili za mtu mpumbafu tuu....na inawezekana kama ni me.,akawa bwabwaaa..Kwani hao wawili wantofautiana vipi na hawa NASA jameni? Wanasiasa wa NASA walifurahia sana majority ruling kule supreme court sasa iweje ati majority vote bungeni nayo sasa ni kitu kibaya?
Kweli, naona unapenda mambo freshi freshi. Waliongezea au ilifika ya tano nilipoiachia? Waafrika walikuwa wameanza kutamba asee!Capone nasikia kaishia jela kisha akapatwa na syphilis....na Luciano akawa deported to Italy
haahaa, iliishia ya tano palepale mkuu, nilisikitika Chalky White alipouawa.... Uliangalia nyingine inaitwa Breaking Bad..?Kweli, naona unapenda mambo freshi freshi. Waliongezea au ilifika ya tano nilipoiachia? Waafrika walikuwa wameanza kutamba asee!
Katiba ya Kenya ilikuwa imekaa vizuri sana. Imepunguza nguvu za rais kwa kiasi kikubwa tofauti na Tanzania ambapo rais ni mungu-mtu.
Sasa anachokifanya Uhuru ni kuirudisha Kenya hatua 50 nyuma. Pathetic!
Breaking bad niliicheki zamani, juzi juzi tu ndo nimemaliza AMC's Bettter call Saul Sn1,AMC wataifanya collabo na Breaking bad next season, itakuwa ingine mwoto sana.haahaa, iliishia ya tano palepale mkuu, nilisikitika Chalky White alipouawa.... Uliangalia nyingine inaitwa Breaking Bad..?
Ok nimei google nimeona hii inamhusu yule mwanasheria mkora, Saul Goodman...ngoja nitai download, naona unapenda gangster stuffs ka mimi, vipi kuhusu Narcos..?Breaking bad niliicheki zamani, juzi juzi tu ndo nimemaliza AMC's Bettter call Saul Sn1,AMC wanaishikanisha na Breaking bad ikitoka itakuwa noma sana.
Iliishia sn 1 naskia. Niliitizama, vipi na Ray Donovan, umeicheki? Season mpya ya Power ni noma sana pia.Ok nimei google nimeona hii inamhusu yule mwanasheria mkora, Saul Goodman...ngoja nitai download, naona unapenda gangster stuffs ka mimi, vipi kuhusu Narcos..?
power nimeicheki ila season mpya bado, hii ray donovan nilikuwa sijaisikia bado, nayo nitaitafuta, ila Narcos imeshatoka hadi season 3Iliishia sn 1 naskia. Niliitizama, vipi na Ray Donovan, umeicheki? Season mpya ya Power ni noma sana pia.
Safi ntaitafuta Narcos niendeleze toka sn 2, Power ilishatoka 10eps. mpya, kali sana.power nimeicheki ila season mpya bado, hii ray donovan nilikuwa sijaisikia bado, nayo nitaitafuta, ila Narcos imeshatoka hadi season 3
poa poa, nitaitafuta lazimaSafi ntaitafuta Narcos niendeleze toka sn 2, Power ilishatoka 10eps. mpya, kali sana.