Kinacholeta shida si aina ya chakula. Tatizo mapishi yani hawajui kupika mimi huko bondo walipika Samaki na ndizi nafikiri ni chakula cha asili yao lakini tatizo hawajui mapishi chakula kikawa kitamuVery funny thread.
Ukija Kenya, tathmini ni sehemu gani unatembelea. Itisha chakula asilia cha mji huo. Kwa mfano ukiwa kisumu ama sehemu za nyanza, sima na samaki utaenjoy. Usiitishe pilau eldoret, hiyo nenda ukaagize Mombasa au Nairobi.
Vyakula vya Kenya ni aina nyingi. Tuseme nikama wanaspecialise hivi. Western na kuku, utapenda.Mimi kwa mfano nikiwa nyeri nitakula mokimo na mbuzi choma.
Samaki Wa kipakwa na waachia wa-amu.
Huku Ungonini tunaita mdojolela.ndiyo mkuu, katika fani hiyo hakuna anaewafikia.
Miss unawaonea bana. . .pande za kaskazini hakuna mapishi kabisa hata wachaga wamejua kupika juzijuzi tu hapa nao ilikuwa majanga
[emoji12]Nilikutana na maofisa wa Immigration kutoka Nigeria walikua wanatembelea East Africa, walikaa Nairobi na Mombasa wakaja Tanzania na baada ya hapo walikua wanaelekea Uganda. Waliniambia kwa msosi bwana Tanzania, walichanganyikiwa na kiepe, totoz wanasema watoto wazuri lakini lugha ndiyo inaweka mipaka.
Kule mgombani nyama ikishakua na mafuta na ikichanganywa na ndizi chumvi mbona vinatosha.
BadoLaiti kama English ingekuwa first language apa Nchini au tu ipewe kipaumbele leo, Tz ingekuwa most visited country E.A
Mkuu umeshindwa kukaba lkn![emoji13] [emoji13] [emoji13]Nilikutana na maofisa wa Immigration kutoka Nigeria walikua wanatembelea East Africa, walikaa Nairobi na Mombasa wakaja Tanzania na baada ya hapo walikua wanaelekea Uganda. Waliniambia kwa msosi bwana Tanzania, walichanganyikiwa na kiepe, totoz wanasema watoto wazuri lakini lugha ndiyo inaweka mipaka.
Dadangu wew umzuri sanaBeauty is in the eye of the beholder.
Eti bonyeza nyanya [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Si manjua hawajui kubembeleza. Wanawake wa-TZ wanabembeleza hadi kwa kutumia mwiko chakula kinakuwa lainiiii.
Sasa nenda kwa Mkenya utasikia RETA KITUNGUU WEKA KIZIMA-KIZIMA, BONYEZA NYANYA IPASUKE RUSHA KWENYE SUFURIA halafu pakua mara moja peleka kwa yule kijana.
Kumbuka upo safarni mkuu sasa hukokujipikia mwenyewe sidhani kama utaweza.Kwan usiwe mfano kujipikia mwenye
[emoji23] [emoji23]Mna umbea sana watanzania, hadi kero!...sipendi kabisa tabia hii,hili tu ndilo tatizo lenyu kubwa!
Hamna kinachoudhi kama mwanamke mmbea...disgusting!
Ungefanya ukarimani ukawapa fursa wadogo zako buanaNilikutana na maofisa wa Immigration kutoka Nigeria walikua wanatembelea East Africa, walikaa Nairobi na Mombasa wakaja Tanzania na baada ya hapo walikua wanaelekea Uganda. Waliniambia kwa msosi bwana Tanzania, walichanganyikiwa na kiepe, totoz wanasema watoto wazuri lakini lugha ndiyo inaweka mipaka.