Miss Natafuta
JF-Expert Member
- Sep 16, 2015
- 27,031
- 49,928
- Thread starter
- #21
kama mtu hawezi kuflash kinyesi chake unadhani msambwanda atauosha?Dah, nimekuja mbio nikijua unamaanisha msambwanda.
Watakuwa Wakikuyu hao
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kama mtu hawezi kuflash kinyesi chake unadhani msambwanda atauosha?Dah, nimekuja mbio nikijua unamaanisha msambwanda.
Watakuwa Wakikuyu hao
Kikuyu ndio shiida!wawili kikuyu ,wawili kamba 1 jaluo
That's true love..its been a while no touch. What's going down swry lady?i miss you love
Du! Kwingine hukokama mtu hawezi kuflash kinyesi chake unadhani msambwanda atauosha?
Wabongo washenzi kweli, unakuja JF kudiscuss choo? Akili yenu ni kama hizo choo tu!! Huna chochote cha maana?? No wonder your country is poor
ahaaaa walivo mabishoo sasaKikuyu ndio shiida!
Jamaa wapenda misifa hawaahaaaa walivo mabishoo sasa
kwanza mtu unakunyaje ofsini eti? mi nadhani ofsini kuwe sehemu ya shortcall tu labda itokee emergencyTajiri gani unanuka kimba? Nini faida ya utajiri wako.. smh
Du! Kwingine huko
Wa mabanda ya Kufugia kuku
ila wanaishi wakenya
Hahaha Utajiri WasifaTajiri gani unanuka kimba? Nini faida ya utajiri wako.. smh
nipo ok ni hawa jirani tu wananiboa love.unajua nini swetie ustaraabu ni kitu muhimu sana ukiwa kwenye jumuia ya watu wengi .That's true love..its been a while no touch. What's going down swry lady?
This comment has mend down my soul! Lovely!
Vipi you good swry!?
Kule Kibira walikotoka hakuna vyoo, ukiyaweka you just stand and go. Msiwatenge, andikeni tu mlangoni...kama mtu hawezi kuflash kinyesi chake unadhani msambwanda atauosha?
ahahaaa ngoja niprint ahahaaaaKule Kibira walikotoka hakuna vyoo, ukiyaweka you just stand and go. Msiwatenge, andikeni tu mlangoni...
THIS IS NOT KIBIRA
![]()
kwanini wao tu?Huo uchafu wao una uhusiano gani na taifa lao??
Huo uchafu wao una uhusiano gani na taifa lao??
Awww! Kweli najua swry huwa hupendi gross and nasty surroundings.nipo ok ni hawa jirani tu wananiboa love.unajua nini swetie ustaraabu ni kitu muhimu sana ukiwa kwenye jumuia ya watu wengi .
[emoji1] [emoji1] [emoji1]Kasheshe ni kama umepata diarrhoea na mwenye funguo za choo cha wabongo anapata kongoro na soda ya baridi itabidi tu uingie choo cha wa-Kenya.
hii mbaya zaidi hilo pipa ?Bahati mbaya nchi majirani na sisi wengi wa wanañchi toka nchi hizi huwa hawajali pale panapotoka haja kubwa Bali wanajali pale inapoenda.Mfano kule Zambia nje ya choo huwekwa pipa LA kutupia makaratasi baada ya kufuta au kupakaa haja kubwa kwa kipande cha gazeti Hutupwa ndani ya hilo pipa.Pale palipoenda haja patatiwa dawa za kuua wadudu na kupigwa brashi kwa bidii.Msiwashangae ni desturi wamezoea.Kutumia maji kusafisha palipotoka ile haja wanaona kinyaa bora wajipakae kwa kipande cha gazeti.