Wakenya jifunzeni kusafisha vyoo mnakera

Wakenya jifunzeni kusafisha vyoo mnakera

Status
Not open for further replies.
Kuna mzee wa ki-Jaluo alipanga nyumba uzwaz, anamuona baba mwenye nyumba kila siku anakwenda maliwatoni na birika chakavu. alipanda juu ya mnazi kuchungulia alifikiri anaenda kunywa chai chooni. Alipoona shughuli ya birika alienda kuwaambia wenzake ofisini, wa-TZ wanapiga deki makota.
ahaaaa sijaelewa mwenzangu birika la nini chooni?
 
Wabongo washenzi kweli, unakuja JF kudiscuss choo? Akili yenu ni kama hizo choo tu!! Huna chochote cha maana?? No wonder your country is poor
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] povu la nini braza!? Yaani Kibera naipigia saluti. Nadhani kwa Afrika mashariki inaongoza. Tanzania kuna 'Uswazi' lakin angalau hawatupi kinyesi kwa style ya 'Flying toilet'.
 
hapa ofsini kwetu kuna wakenya kadhaa hawa jamaa wakienda chooni hawamwagi maji yaani uchafu kila mahali .tulichoamua choo chetu wabongo tumeweka lock tunatembea na funguo na wao tumewaachia choo chao yaani ni aibu tupu.majirani mna shida .eti ni wasomi wanajua kiingereza ..kiingereza wakati hutawazi?
Hao manyang'au kwani wanajuwa haya?! Kazi kuwaibia na kusema kila kitu chetu TZ chao! Ndorobo kabisa...
 
nimeishi bush ila sio uswazi mamy wangu
Nitakukaribisha kwetu Kwamtogole ni full raha, dogo anajisaidi hapa wewe unakula ugali pembeni kwenye mkeka. Ukinunua TV asubuhi mchana kutwa itakuwa news mtaani na tamthilia ikianza unapigiwa hodi watu wamekuja kutazama.
 
hapa ofsini kwetu kuna wakenya kadhaa hawa jamaa wakienda chooni hawamwagi maji yaani uchafu kila mahali .tulichoamua choo chetu wabongo tumeweka lock tunatembea na funguo na wao tumewaachia choo chao yaani ni aibu tupu.majirani mna shida .eti ni wasomi wanajua kiingereza ..kiingereza wakati hutawazi?
Nimechekajeeeee! Kweli ni wachafu sana hata huku pande hii ni wachafu majumbani mwao. Wanajali nywele/single braids ndio mtindo wao lakini usafi wa kwingineko sheeda mbona!
 
Nitakukaribisha kwetu Kwamtogole ni full raha, dogo anajisaidi hapa wewe unakula ugali pembeni kwenye mkeka. Ukinunua TV asubuhi mchana kutwa itakuwa news mtaani na tamthilia ikianza unapigiwa hodi watu wamekuja kutazama.
ahaaaaa hyo raha sana
 
Nimechekajeeeee! Kweli ni wachafu sana hata huku pande hii ni wachafu majumbani mwao. Wanajali nywele/single braids ndio mtindo wao lakini usafi wa kwingineko sheeda mbona!
wanakaa na weaving miezi mitatu wanabaki kupulizia dawa ya mbu kuua mende
 
Hua wanajifanya nao wazungu hawatumii maji wanatumia toilet paper hahahha sasa Bahat nzuri wazungu kwao baridi harufu haisambai sasa mjaluo na mkikuyu wanatumia toilet paper kwenye joto Kali na perfume juu unategemea nin?????? Bomuuuuuuuuuuu baby😀😀😀😀😀
 
Hahahahaha Kenyans bhana!
Mna utajir gan sasa.Njoo Tz na utembee mikoa ndo ufananishe sio daily battle kati ya Nai na Dar
 
Kuna mzee wa ki-Jaluo alipanga nyumba uzwaz, anamuona baba mwenye nyumba kila siku anakwenda maliwatoni na birika chakavu. alipanda juu ya mnazi kuchungulia alifikiri anaenda kunywa chai chooni. Alipoona shughuli ya birika alienda kuwaambia wenzake ofisini, wa-TZ wanapiga deki makota.
Sasa ni shida hiyo, soo inabidi wavumiliwe tu.
 
mtu anadai yupo dubai kumbe anakunya zake kwenye rambo kibera
Mmoja wao huyo😀😀😀😀😀😀😀
FB_IMG_1489789389458.jpg
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom