Jay456watt
JF-Expert Member
- Aug 23, 2016
- 10,356
- 7,992
jambo linalonishangaza ni wakenya wetu wanatafta nini tanzania?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
bora nijinyeeeKasheshe ni kama umepata diarrhoea na mwenye funguo za choo cha wabongo anapata kongoro na soda ya baridi itabidi tu uingie choo cha wa-Kenya.
very funny..you should be a comedianHahaha sasa utawaonea bure
wao kule kwao wamezoea Tundu moja zaidi ya watu 200
sasa utegemee usafi!!
Nimeshukuru kwa kuwapa choo chao
mnge taabika
jinyee tubora nijinyeee
cheap labour!jambo linalonishangaza ni wakenya wetu wanatafta nini tanzania?
nitatumia flying toilet kama kiberahttps://www.jamiiforums.com/threads/how-to-deal-with-kiberas-flying-toilets.1238191/jinyee tu
eti cheap labor? wakenya tunawajua wana bidii sana...mkenya atakuja tanzania ajitajirishe na arudi nyumbani wakati mtanzania anataabika na umaskini ktk nchi yake...cheap labour!
Wabakie Kenya kutafuta nini huko? wakati horn of Africa njaa nje nje, imekita mizizi.jambo linalonishangaza ni wakenya wetu wanatafta nini tanzania?
Kuna mzee wa ki-Jaluo alipanga nyumba uzwaz, anamuona baba mwenye nyumba kila siku anakwenda maliwatoni na birika chakavu. alipanda juu ya mnazi kuchungulia alifikiri anaenda kunywa chai chooni. Alipoona shughuli ya birika alienda kuwaambia wenzake ofisini, wa-TZ wanapiga deki makota.Majirani zetu ni wazungu bwanaaa wao hawatawazi na maji bwana wanasafisha na toilet paper soo inabakia inye kidogo na joto la hapa tz ni balaa tupu.
ahaaaa wakenya mjitajirishe hapa bongo ? ahahaa mtasubiri sana mtu analipwa m 3 fine ni hela nyingi anaishi nyumba ya 800k.bado umeme bado ges ulinzi na usafi. haya ana gari , watoto shule ana michepuko kila kona inakula allowance hatumuachi aje hata na mia eti utajiri mtasubiri sana hii ndo bongo bnaeti cheap labor? wakenya tunawajua wana bidii sana...mkenya atakuja tanzania ajitajirishe na arudi nyumbani wakati mtanzania anataabika na umaskini ktk nchi yake...
Usitupangie cha kujadili halafu MTAWAZE[emoji57]Wabongo washenzi kweli, unakuja JF kudiscuss choo? Akili yenu ni kama hizo choo tu!! Huna chochote cha maana?? No wonder your country is poor
plz use US Dollars ukiniambia 800k mimi najua hiyo inaeza nunua gari...lakini huko najua ni maziwa lita moja tu....lol!ahaaaa wakenya mjitajirishe hapa bongo ? ahahaa mtasubiri sana mtu analipwa m 3 fine ni hela nyingi anaishi nyumba ya 800k.bado umeme bado ges ulinzi na usafi. haya ana gari , watoto shule ana michepuko kila kona inakula allowance hatumuachi aje hata na mia eti utajiri mtasubiri sana hii ndo bongo bna
Povu la omo hilo! Ila acheni uchafu b'n mko nchi ya Watu, hayo mambo fanyeni kwenujambo linalonishangaza ni wakenya wetu wanatafta nini tanzania?
Sasa wasisemage ukweli?Wabongo washenzi kweli, unakuja JF kudiscuss choo? Akili yenu ni kama hizo choo tu!! Huna chochote cha maana?? No wonder your country is poor
Aaaaaah!! Huu mchezo hauitaji hasira.pumbaaaavu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]kama mtu hawezi kuflash kinyesi chake unadhani msambwanda atauosha?