Wakenya jifunzeni kusafisha vyoo mnakera

Wakenya jifunzeni kusafisha vyoo mnakera

Status
Not open for further replies.
jambo linalonishangaza ni wakenya wetu wanatafta nini tanzania?
Wabakie Kenya kutafuta nini huko? wakati horn of Africa njaa nje nje, imekita mizizi.

Yule Eric omond kakonda sababu hapati lishe nzuri ndo maana kila uchwao yuko madale kwa Baba tiffah Mond bin laden anakula vya kunona na mapokopoko kwa mwanya wa comedy.

Waje tu wasije peke yao hata na Raila na anko Uhuru ila sharti wajue kuchamba na kuflash their poop ili wasismell like a rotten Chihuahua.

Tz hakuna matata!
 
Majirani zetu ni wazungu bwanaaa wao hawatawazi na maji bwana wanasafisha na toilet paper soo inabakia inye kidogo na joto la hapa tz ni balaa tupu.
Kuna mzee wa ki-Jaluo alipanga nyumba uzwaz, anamuona baba mwenye nyumba kila siku anakwenda maliwatoni na birika chakavu. alipanda juu ya mnazi kuchungulia alifikiri anaenda kunywa chai chooni. Alipoona shughuli ya birika alienda kuwaambia wenzake ofisini, wa-TZ wanapiga deki makota.
 
wazee wazima na ndevu zenu nawengine hedhi zinaelekea kuisha mnakuja leta nyuzi za vyoo huku....kama umejua anachafua choo siumuambie tu na muache majungu au munawaogopa?
 
eti cheap labor? wakenya tunawajua wana bidii sana...mkenya atakuja tanzania ajitajirishe na arudi nyumbani wakati mtanzania anataabika na umaskini ktk nchi yake...
ahaaaa wakenya mjitajirishe hapa bongo ? ahahaa mtasubiri sana mtu analipwa m 3 fine ni hela nyingi anaishi nyumba ya 800k.bado umeme bado ges ulinzi na usafi. haya ana gari , watoto shule ana michepuko kila kona inakula allowance hatumuachi aje hata na mia eti utajiri mtasubiri sana hii ndo bongo bna
 
ahaaaa wakenya mjitajirishe hapa bongo ? ahahaa mtasubiri sana mtu analipwa m 3 fine ni hela nyingi anaishi nyumba ya 800k.bado umeme bado ges ulinzi na usafi. haya ana gari , watoto shule ana michepuko kila kona inakula allowance hatumuachi aje hata na mia eti utajiri mtasubiri sana hii ndo bongo bna
plz use US Dollars ukiniambia 800k mimi najua hiyo inaeza nunua gari...lakini huko najua ni maziwa lita moja tu....lol!
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom