Wakenya kesho rasmi kuanza kupigwa chanjo ya Corona

Wakenya kesho rasmi kuanza kupigwa chanjo ya Corona

chazachaza

JF-Expert Member
Joined
Feb 21, 2018
Posts
2,829
Reaction score
3,835
Taarifa kutoka wizara ya afya ya Kenya imeeleza,siku ya kesho ,watapokea chanjo ya corona ya Astra zenecca dose million 1.02,aidha wizara ya afya nchini Kenya imeeleza utoaji wa chanjo hiyo,utatoa Kwanza kipaumbele kwa wahudumu wa afya,na wafanyakazi wa umma.

Kenya ni nchi iliyoathirika zaidi na maambukizi ya corona katika ukanda wa afrika mashariki,ikiripoti maambukizi mengi zaidi na vifo,tangu ugonjwa wa corona uingie nchi za afrika mashariki.

Chanzo: ITV
 
Kenya ni nchi iliyoathirika zaidi na maambukizi ya corona katika ukanda wa afrika mashariki,ikiripoti maambukizi mengi zaidi na vifo,tangu ugonjwa wa corona uingie nchi za afrika mashariki.
Kauli yako haina ukweli maana majirani disease surveillance yao ni poor. Kenya wako juu sana katika medical research/disease surveillance etc................KEMRI ukilinganisha na nchi zingine kwenye jumuiya! nchi kama Tanzania haipimi sasa utailinganishaje na Kenye ambayo inapima kwa kiwango kikubwa
 
Kenya ni nchi iliyoathirika zaidi na maambukizi ya corona katika ukanda wa afrika mashariki,ikiripoti maambukizi mengi zaidi na vifo,tangu ugonjwa wa corona uingie nchi za afrika mashariki.
kwa mujibu wa data zipi kwa kila nchi?
 
Corona sio kama ukimwi.
Kungekuwa na wagonjwa wengi wangeonekana tu hata bila ya kupima.
Kauli yako haina ukweli maana majirani disease surveillance yao ni poor. Kenya wako juu sana katika medical research/disease surveillance etc................KEMRI ukilinganisha na nchi zingine kwenye jumuiya! nchi kama Tanzania haipimi sasa utailinganishaje na Kenye ambayo inapima kwa kiwango kikubwa
 
Corona sio kama ukimwi.
Kungekuwa na wagonjwa wengi wangeonekana tu hata bila ya kupima.
Umesoma epidemiology ya Covid 19? at least for the available epidemiological information as this is a novel disease
 
Kauli yako haina ukweli maana majirani disease surveillance yao ni poor. Kenya wako juu sana katika medical research/disease surveillance etc................KEMRI ukilinganisha na nchi zingine kwenye jumuiya! nchi kama Tanzania haipimi sasa utailinganishaje na Kenye ambayo inapima kwa kiwango kikubwa
Upo sahihi kiongozi.. kenya wapo wazi atuwezi jinasibu wenzetu wanakufa ikiwa tarifa zetu tunaficha.
 
Wamekubali kufanyiwa majaribio ili wapewe mkopo
 
Tutaenda Kupiga chanjo Kenya maana NZIRANKENDE katutoa kafara.
Acha twende tu hakuna namna maana hali sio hali.. mtani kwangu ndani ya siku 15 kumetokea vifo sita mpaka watu wamenza kuhama kwa hofu.. japo tarifa zikifika tunambiwa ni kisukari. maswali yanakua mengi kisukari iko ndio kimepamba moto kiasi hiko!?
Muhimu ni kufata taratibu zote zote zinashauliwa na wataramu wa afya. Huku tukisubiri baba mwenyenyumba ajiridhishe na chanjo za mabeberu kama zinatibu kweli
 
Back
Top Bottom