Mwanamayu
JF-Expert Member
- May 7, 2010
- 11,662
- 6,888
Sio kwamba NIMR wamekwishaandaa ile miuji ya pilipili?Mbona na sisi tumeagiza tangawizi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sio kwamba NIMR wamekwishaandaa ile miuji ya pilipili?Mbona na sisi tumeagiza tangawizi?
Wewe ungezaliwa tu hata Sudan, maana hujui hata kusoma na kuandika. ningezariwa ndio nini?Haeli ningezariwakenya
But, why do we need this particular so called Vaccine,Tanzania isubiri kwanza kuchukua chanzo hizi za Voda fasta. Mpaka pale imejiridhisha na matokeo yake kutoka kwa waliopata chanjo hiyo. Kupisha miezi sita tangu pale ilipoanza kutumika Afrika itakuwa ni jambo lenye hekima sana.
Are you a medical personnel?Kusema kweli watanzania wanahitaji kuelimishwa upya na sio tu kuhusu virusi vya COVID-19 au chanjo. Yaani "refresher course' moja kali ya elimu kuhusu masuala yote chini ya jua. Sio kwa baadhi ya hizi comment za kipumba ambazo wanatupia kwenye uzi huu. Yaani hadi ukizisoma unabaki ikijiuliza kama akili zenyewe ni za sokwe au labda kima. Elimu, elimu, elimuuu!
Wewe unadanga tu humu JF unajua nini? Una shule gani ya kulecture mtz ?Hawa sijui nani kawaroga haki,,,elimu bado shida (wengi vichaa) These morons Seriously need physcriatic attention
Labda iwe Sputnik VTutaenda Kupiga chanjo Kenya maana NZIRANKENDE katutoa kafara.
Hahaaaaaa daaah nimecheka sana hahaaaa duuuh nimekubali kiongoziTutaenda Kupiga chanjo Kenya maana NZIRANKENDE katutoa kafara.
Nawalecture nyie MATAGA even your DUMBEST president.If only common sense were more commonWewe unadanga tu humu JF unajua nini? Una shule gani ya kulecture mtz ?
Education isn't your forte, endelea kudanga, that's the best you can do.Nawalecture nyie MATAGA even your DUMBEST president.If only common sense were more common
Mataga ya miccm sikublame.Nenda kabishane na vichaa wenzako.Hata English ndio hujui mijinga sanaEducation isn't your forte, endelea kudanga, that's the best you can do.
Kukatika mauno ndio kitu pekee unaweza.Mataga ya miccm sikublame.Nenda kabishane na vichaa wenzako.Hata English ndio hujui mijinga sanaView attachment 1717103
Majaribio katika ubora wake
Heb tuache mambo ya covid na Mataga kwa dk moja tuongee mambo ya msingi...io avator yako ndo wewe mwenyewe au picha tu?Clearly Ignorance and Superstitions bear close relations to each other.When will u stop bieng superstitious and start using ua brains.Kweli Mataga ni mataga tu
Hizo sample ilibidi wapeleke maabara kuzichunguza kabla kuwapa raia.Watu wako 40+ mio, dose ziko kwa ajili ya watu 500,000. Kama siyo kuwafanya watu simbilisi ni nini!!?
Look at this mad idiot.Kukatika mauno ndio kitu pekee unaweza.
Wewe ni nini unajua ju ata akili ndio hauna.Unareason na makalio tu.Kichaa weweKukatika mauno ndio kitu pekee unaweza.
[emoji3][emoji3][emoji3]...alafu akae huko huko asije huku.....Naona aluke juu, akitua nailobi wamtandike chanjo ya kolona [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
duh unetumia lugha hapa. maana kwenye l umeweka r na kwenye r umeweka lNakushauli upande daradara ufuate balabala hadi huko Nailobi kwenye chanjo ya kolona.