Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hii aibu mtu hata kiswahili hajuiHaeli ningezariwakenya
Chanjo ya corona haijafanyiwa experiment ya kutosha sasa nyinyi wakenya ngoja mfanyiwe experiment. Lakini nimeona ripoti ya Madaktari wa RC wa Kenya wanakataa vaccineila naona dawa za minyoo mnazikubali, tena za kutokea kwa hao hao mabeberu, kweli nyie ni kituko cha dunia... Hili la ugawaji wa dawa za minyoo Shule za Msingi limekaaje?
But, why do we need this particular so called Vaccine,
Covid-19 vaccine is a typical mRNA meant to instruct your immune system to produce immunoglobulin specific to Covid-19 when your body can do the same without instructions from an artificial molecule,
Ni hivi Ukichomwa sindano wanayoita vaccine unashauriwa kuendelea kuvaa mask, social distancing, self hygiene kama kawaida,
And infact you need do double your mask and there is no guarantee on the safety,
Meanwhile the pharma companies are not liable to any side effects of their vaccines.
And to make the matters worse, the Virus is mutating continuously, there are more and more strains, now Nigerian Strain and South African Straina, both of which the vaccine especially AstraZeneca one is not significantly effective against the variants.
Chanjo ya corona haijafanyiwa experiment ya kutosha sasa nyinyi wakenya ngoja mfanyiwe experiment. Lakini nimeona ripoti ya Madaktari wa RC wa Kenya wanakataa vaccine
Mkuu MK254 vipi umeshachanjwa
Kwa hiyo wewe ndio huyo mkurugenzi ,na unajihisi vipi mwilini mwako baada Ya kuchanjwa
Dawa za minyoo na hii chanjo ya covid19 ni vitu mbili tofauti sana.ila naona dawa za minyoo mnazikubali, tena za kutokea kwa hao hao mabeberu, kweli nyie ni kituko cha dunia... Hili la ugawaji wa dawa za minyoo Shule za Msingi limekaaje?
Dawa za minyoo na hii chanjo ya covid19 ni vitu mbili tofauti sana.
Ata sitaki wanilazimishe na kama ni lazima wanilazimishe, ni wao watanikujia pahali nitakuwa hiyo siku.Hailazimishwi, it's your choice!
✌️
Wengi wetu hatuijui hii kitu vile inakaa ..Mnachekesha sana ujue...
Shehena ya Tz iko njiani...hizi habari nimepenyezewa toka jikoni kabisaTaarifa kutoka wizara ya afya ya Kenya imeeleza,siku ya kesho ,watapokea chanjo ya corona ya Astra zenecca dose million 1.02,aidha wizara ya afya nchini Kenya imeeleza utoaji wa chanjo hiyo,utatoa Kwanza kipaumbele kwa wahudumu wa afya,na wafanyakazi wa umma.
Kenya ni nchi iliyoathirika zaidi na maambukizi ya corona katika ukanda wa afrika mashariki,ikiripoti maambukizi mengi zaidi na vifo,tangu ugonjwa wa corona uingie nchi za afrika mashariki.
Chanzo: ITV
Haeli ningezariwakenya
Wacha kuteseka, sio mimi nilisababisha usielimike na ushindwe kujifunzza kingereza.
Keep on keeping exposing your stupidity.