Wakenya kesho rasmi kuanza kupigwa chanjo ya Corona

Wakenya chanjo inaendeleaje huko πŸ‡°πŸ‡ͺ
 

Kiswahili hawezi kusoma, English atakiwezea wapi basi!??? Unamwonea bure. Ungefanya tu kumkubalia as if yuko sahihi, angelala kwa utulivu leo. Lakini ndiyo hivyo tena ^Ayaah washanichaganya^ ~ Jotti
 
Chanjo ya corona haijafanyiwa experiment ya kutosha sasa nyinyi wakenya ngoja mfanyiwe experiment. Lakini nimeona ripoti ya Madaktari wa RC wa Kenya wanakataa vaccine

Nyie experiment gani mnajua ikiwa hata panadol mnaagiza, kwenu huko mnaendelea kuwatoa watu wenu kafara kwa ujinga wenu huo, mpaka kanisa limeongea na kushangaza dunia kwa namna wamepoteza viongozi na watawa kimya kimya, mnakufa kama mifugo na kwa mlivyo wpumbavu mnaificha na kuendelea na hizi pumba za kujiaminisha vitu vyaa hovyoo.
Sasa nimeona sehemu watakaoenda kuhiji mecca lazima wachanjwe, mtaendelea kubaki kwenu huko kwa huo upumbavu, ila Watanzania wenye hela yao watakuja Kenya kupokea chanjo kimya kimya huku walalahoi mkiendelea kudaganywa huo uzalendo huko Mbagalla, ujamaa ni laana ya kijinga.
 
Nasikia kabla ya chanjo wanachovya kisamvu kwanza kule ikuluni.Mk24 atujibu.
 
Shehena ya Tz iko njiani...hizi habari nimepenyezewa toka jikoni kabisa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…