Wakenya, mmeona sasa jinsi Demokrasia inapaswa iwe?

Wakenya, mmeona sasa jinsi Demokrasia inapaswa iwe?

Reasoning na several ya Tanzanians humu inachosha akili, wako dumb deadly! Utatumia nguvu nyingi kuelimisha mshamba, wachana nao wajitekenye wakicheka, hovyo kweli[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23], better ku wapuuza. Wanafiki, roho ngumu ata mkulu hajazikwa wameanza kukurupuka, serikali yao inajua ujinga wao sasa imetoa ilani, hakuna sherehe yeyote for the next 21 days, idiots wangekula bata. Wajinga kweli.
[emoji23][emoji23][emoji23]Una hasira sana! Shughulikia ishu za ukabila kwanza hapo kwenu!
 
Yaani wewe hata kutype hujui unakuja kupanua panua mdomo hapa. Nyibo ndio nini?

Jifunzeni kiswahili kwanza ndio muanze kubishana na Watanzania. Sisi sio saizi yenu.

Kuna walimu kibao wanakimbia huko kwenu wanakuja kuomba kazi kwenye shule za Kitanzania na mifano tunayo.
Yaani kama serikali yenu tu imeshindwa kulipa na kuajiri walimu wanakimbilia bongo kutafuta unafuu hayo maendeleo yenu mnayojitamba nayo yana faida gani?
Kojoa ulale. Wacha kusumbua. Naona kuomboleza kunakufanya ujazwe na povu mdomoni 😂 😂 😂 . Matanga kweli mtapata taabu sana
 
Yaani hawa MATANGA ni ovyo kupita. Ati Rais kafa madaraka ikamwendea Vice President ni kitu cha kushangaza na kushangilia?😂😂😂 Karne ya ishirini na moja? Ati Rais anachapa kazi kumbe tayari ashafa. Sasa ikiwa wanajidai hivi kwa hili, sasa wkifika tulikokuwa 2002 watasemaje? Pale amabapo CCM itakubali kushindwa na kuwapa upinzani mamalaka? Watafanyaje? Si watembea uchi?

Kwanza kuna sehemu nilisoma mojawapo wa sababu kwanini iliwachukua muda mrefu kutangaza kifo ni kwamba kunao walitaka kumnyang'anya mama tonge mdomoni, pitia nyuzi za Watz pale tetesi za kifo zilianza, kulikua na mvutano kimya kimya.
 
Kwanza kuna sehemu nilisoma mojawapo wa sababu kwanini iliwachukua muda mrefu kutangaza kifo ni kwamba kunao walitaka kumnyang'anya mama tonge mdomoni, pitia nyuzi za Watz pale tetesi za kifo zilianza, kulikua na mvutano kimya kimya.
Moderator uzushi kama huu huruhusiwa humu ndani?
 
Kwani tukio kama hilo lilifanyika lini nchini Kenya? Nadhani ni mwaka wa 1978, Mzee Jomo Kenyatta alipoaga dunia na urais ukakabidhiwa Daniel T. Arap Moi. Mlisoma kwenye kumbukumbu zipi hizo za historia kwamba kulikuwa na vurugu au umwagikaji wa damu?

Tena enzi hizo ndio marais walikuwa miungu watu, sio hawa wababe feki wa enzi hizi. Mnasikitisha sana mataga, itawachukua muda mrefu sana kurudiwa na akili timamu.
hata wewe ulikua hujazaliwa
Sasa hivi Uhuru na William Ruto hawaongei wana miaka miwili
Uliona wapi Rais na Makamu wake wanawindana kama chui na paka?
 
hata wewe ulikua hujazaliwa
Sasa hivi Uhuru na William Ruto hawaongei wana miaka miwili
Uliona wapi Rais na Makamu wake wanawindana kama chui na paka?
Kenya hatuna makamu wa rais tuna naibu rais. Yaani Deputy President, sio flower girl wa kumsindikiza rais.
 
hata wewe ulikua hujazaliwa
Sasa hivi Uhuru na William Ruto hawaongei wana miaka miwili
Uliona wapi Rais na Makamu wake wanawindana kama chui na paka?
Kama haya hutendeka tanzania san ..ni vile nyinyi hamna uhuru wa wana habari au freedom of specch ..ndio maana tanzania kwa wiki mbili hamkujua aliko mwenzenu...wakati huo kenya ilikuwa keshapata fununu tayari...yaani kuna mambo mengi tanzania hamjui...
saa hizi mkapeleka media za kenya huko tz ..tutawafichulia mengi ya ajabu ambayo mmefichwa.
Halafu tuulize tu..lini mkasikia kenya eti baada ya uchaguzi....all the contestants wanakimbilia nchi jirani kutafuta hifadhi ya usalama kwa kuhofia maisha yao. Saa hii kuna bwana flani ako belgium..katoroka punde tu baada ya uchaguzi...
Bado mko nyuma tena sana. Eti ukiiambia serikali ukweli hayaaaaa toka mbio.....au sivyo
 
Halafu tuulize tu..lini mkasikia kenya eti baada ya uchaguzi....all the contestants wanakimbilia nchi jirani kutafuta hifadhi ya usalama kwa kuhofia maisha yao. Saa hii kuna bwana flani ako belgium..katoroka punde tu baada ya uchaguzi...
Hao ni wakimbizi wa kiuchumi tu
 
Back
Top Bottom