Sasa ikiwa nyie nchi mzima hamkujua aliko ...itakuaje mjue alikuwa wapi....Yaani TZ ni bongo lala sana....Nani aliyekuja Kenya?magufuli hawezi kupelekwa kwenye hospitali za ovyo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa ikiwa nyie nchi mzima hamkujua aliko ...itakuaje mjue alikuwa wapi....Yaani TZ ni bongo lala sana....Nani aliyekuja Kenya?magufuli hawezi kupelekwa kwenye hospitali za ovyo
Mambo ya security kama huna akili huwezi kuelewaSasa ikiwa nyie nchi mzima hamkujua aliko ...itakuaje mjue alikuwa wapi....Yaani TZ ni bongo lala sana....
Hujielewi hakuna nchi yenye hazina kubwa ya viongozi kama Tanzania Ile ni Hali ya kusawazisha mambo tu.nchi yenye viongozi ovyo ni Kenya Kwa sababu kila mtu ni fisadi.Tanzania ni nchi inayoongozwa na viongozi hawajakamilika kiuongozi......Mara oh yupo mzima anachapa kazi..mara ooh mara ohh halafu sasa ....Na raia imekaa tuu ndeeee
Kenyatta wetu wewe mwite mlevi lakini anayo hekima ya kujua Corona yauwa...nyinyi hadi mjionee na mmoja wenu ndio muamke....Kenyatta wetu anatujengea mabarabara za kimataifa.....huyu Kenyatta wetu twampenda.....Halafu hutawahi sikia mkenya naenda kutibiwa TZ....Ndugu! Hata huko Kenya kwenye social media raia wanamuona Kenyata ni mlevi tu.
Ufisadi upi wakati uchumi wetu uko juu ya tz ug na Rwanda combinedHujielewi hakuna nchi yenye hazina kubwa ya viongozi kama Tanzania Ile ni Hali ya kusawazisha mambo tu.nchi yenye viongozi ovyo ni Kenya Kwa sababu kila mtu ni fisadi.
Uchumi gani watu hawana kazi,wanakufanya njaa ,maisha ya wakenya magumu umasikini wa kiwango cha juu.basi ni uchumi wa watu wachache.huoni Tanzania ni nchi yenye matajiri wengi na masikini wachache afrika mashariki alafu hamna mfumuko wa bei?Ufisadi upi wakati uchumi wetu uko juu ya tz ug na Rwanda combined
security gani..msione watu wajinga.....Mambo ya security kama huna akili huwezi kuelewa
Kupunguza taharuki Kwa Watanzania.Sec
security gani..msione watu wajinga.....
takwimu hizi ulizitoa wapi..kama sio guess work zile zenyu za kawaida...zile zile mlizosema eti hakuna Corona...hadi iwatafune ndio muamke....Uchumi gani watu hawana kazi,wanakufanya njaa ,maisha ya wakenya magumu umasikini wa kiwango cha juu.basi ni uchumi wa watu wachache.huoni Tanzania ni nchi yenye matajiri wengi na masikini wachache afrika mashariki alafu hamna mfumuko wa bei?
Eti taharuki.. Nani asiye ugua?? Ni ni aibu ya kuwa waluopinga kuwa Corona haipo tz .wameugua wao...hii ni hali ya aibu wala hamna cha kupunguza taharuki....Kupunguza taharuki Kwa Watanzania.
Yaani TZ inavyo tawaliwa...wacha tu...Naona hata mimi naweza tawala hiyo nchi......Tanzania ni nchi inayoongozwa na viongozi hawajakamilika kiuongozi......Mara oh yupo mzima anachapa kazi..mara ooh mara ohh halafu sasa ....Na raia imekaa tuu ndeeee
Takwimu zipo Tanzania tunamatajiri wengi kuliko nchi yoyote afrika mashariki kiwango wa umasikini upo chini Sana alafu watu hawafi Kwa njaa hawapiki mawe,hawalali kwenye mabanda[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]takwimu hizi ulizitoa wapi..kama sio guess work zile zenyu za kawaida...zile zile mlizosema eti hakuna Corona...hadi iwatafune ndio muamke....
Serikali imeduwaa Wana nchi wameduwaa.... eti yupo salama anachapa kazi...bana ehh onesheni hekima ..japo kidogo... halafu mwisho wa yote wanakuja kwenu tena kuwaambia eti??????Yaani TZ inavyo tawaliwa...wacha tu...Naona hata mimi naweza tawala hiyo nchi......
Unauhakika na unachokizungumza?Raisi wetu alikuwa na matatizo yake siku nyingi.Eti taharuki.. Nani asiye ugua?? Ni ni aibu ya kuwa waluopinga kuwa Corona haipo tz .wameugua wao...hii ni hali ya aibu wala hamna cha kupunguza taharuki....
Ka ambaye hatuijui tz....uswahilini.....Takwimu zipo Tanzania tunamatajiri wengi kuliko nchi yoyote afrika mashariki kiwango wa umasikini upo chini Sana alafu watu hawafi Kwa njaa hawapiki mawe,hawalali kwenye mabanda[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Uswahili Tanzania wanaisha Bora kuliko slums za kenya.hamna vibanda vya mbwa[emoji23][emoji23][emoji23]Ka ambaye hatuijui tz....uswahilini.....
Kenya mtu ana degeee anaishi slum mathare au kibera nyumba iliyozungushiwa magunia au mabati matupu juu pembeni Tanzania nyumba kama hizo wanaishi vichaa tu hakuna mwenyevakili timamuhata awe darasa la saba anaishi nyumba za aina hiyoKa ambaye hatuijui tz....uswahilini.....
Bro ni hasira plus depression inatesa hawa Mataga.Nani atakua anawalipa buku saba 😂😂.Hao kwishaIdiot reasoning.