MK254
JF-Expert Member
- May 11, 2013
- 32,408
- 50,809
Yani ulitaka kwenye huo uzi uone kila mtu anasifia Magufuli? Democrasia ni pamoja na kukosoa au kutokukubaliana na mtu
Kwa hayo yote waliyoyataja hapo ni wazi mnaishi kama misukule, halafu mlikua mumeanza jitihada za kubadilisha katiba atawale hadi siku ataacha mwenyewe....hehehe