KENPAULITE
JF-Expert Member
- Apr 6, 2017
- 3,511
- 3,313
Wacha kutumia kichwa kama hanger ya menoWekenya wengi wamekulia vituo vya kulelea watoto yatima so hawaijuwi nguvu ya mama.Waoijuwa nguvu ya mama Wapo kibera.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wacha kutumia kichwa kama hanger ya menoWekenya wengi wamekulia vituo vya kulelea watoto yatima so hawaijuwi nguvu ya mama.Waoijuwa nguvu ya mama Wapo kibera.
Kama hujuwi umuhimu wa kichwa kalia matakoWacha kutumia kichwa kama hanger ya meno
Mkuu, tunaomboleza huku tunaendelea na mambo mengine!Hauna heshima kwa mzee wa Chato?., Si ungejipa ata break for a week, Kenya isikutese, omboleza pole pole.
Acha papara na maneno mengi ndugu,Naam, ndio Tanzania ya enzi hizi hiyo. Bunge la chama kimoja kwa zaidi ya asilimia 90. Katiba ambayo mnaitumia ndio ile ile mlioandikiwa na mabeberu. Kilichobadilika tu ni kubebewa akili kwa sana, eti hadi mnapiga nyungu kwenye hospitali kisa mzee amesema Corona ni kaugonjwa kadogo. [emoji57]
Mtapata tabu na hizi fikra zenu hovyo, mjakombolewa kimawazo ndio maana licha ya kazi yote ya jembe mnabaki kwa ufukara. Pole mtapona tu, hakuna laana yenye haiwezi kuvunjwa.Toa vizungu vyako uchwara hapa na laana za ukabila.
Tofauti ya ukabila na kudharau yatima ndio gani, zero brainToa vizungu vyako uchwara hapa na laana za ukabila.
[emoji23][emoji23][emoji23]Unaongelea kipindi cha chama kimoja?
Wakati huo kwanza watu walikuwa bado na mentality za kikoloni wajinga wakiwa wengi! ongelea mambo ya kuanzia miaka ya 1995 na kuendelea
alipokufa Kenyatta snr na KANU yake naskia Moi alitoka nduki akakimbilia Uganda kabla ya Njonjo kuingilia kati na kumlinda watu wa GEMA walikuwa wamchinje! Nyie muwe na chama kimoja au vyama vingi hamna tofauti!Naam, ndio Tanzania ya enzi hizi hiyo. Bunge la chama kimoja kwa zaidi ya asilimia 90. Katiba ambayo mnaitumia ndio ile ile mlioandikiwa na mabeberu. Kilichobadilika tu ni kubebewa akili kwa sana, eti hadi mnapiga nyungu kwenye hospitali kisa mzee amesema Corona ni kaugonjwa kadogo. [emoji57]
We kweli una akili kisoda kwq hiyo ukijua kingereza ndo unakuwa tajiri.Nyie shukruni sisi wasomali make ndo matajiri nairobi yote.Mtapata tabu na hizi fikra zenu hovyo, mjakombolewa kimawazo ndio maana licha ya kazi yote ya jembe mnabaki kwa ufukara. Pole mtapona tu, hakuna laana yenye haiwezi kuvunjwa.
Umeiona democrasia hiyo ndugu?
maswala ya kawaida kabisa haya.Katika kipindi hiki kigumu kabisa kwa taifa,
Yani rais amefariki na wakati huo huo mfanye makabidhiano ya madaraka, je mmesikia kuna hata mende au mbuzi kafa? Je mmesikia kuna hata panya tu kajeruhiwa?
Je mmesikia hata marumbano ya maneno?
Tukiwaambia sisi ndio baba zenu hapa EAC muwe mnaelewa. Tunawasubiri 2022.
Tunaongelea habari ya democrasia hizo ngonjera zako peleka twittermaswala ya kawaida kabisa haya.
sisi hatuwezi kuwa baba wa EAC kwasababu tumepoteza kiongozi mkubwa kwa kupuuza ushauri wa kisayansi na kukumbatia mambo ya kienyeji.
Kwani hatujawapa watu uhuru wa kuchagua?
hakuna deomkrasia ya maana TZ ndiyo maana mataga wameiba kura kwenye uchaguzi na mavideo yapo wazi kabisa.Tunaongelea habari ya democrasia hizo ngonjera zako peleka twitter
Yani ulitaka kwenye huo uzi uone kila mtu anasifia Magufuli? Democrasia ni pamoja na kukosoa au kutokukubaliana na mtuPitia huu uniambie hawa wanaoandika haya yote kama ni Wakenya Anayejua Rais Magufuli anatupeleka wapi atuambie, naona kama tumepotea
Ona ulivyo fukara kimawazo [emoji23][emoji23][emoji23], Nani kaongelea kujua kiingereza hapa?.., unajibu fikra zako tu, yaani ujinga ulio jaza akilini mwako, unacheza na mawazo yako tu humu. Unadhihirisha ulivyo mpuzi tu[emoji23][emoji23] Una matatizo kweli. Wacha nikucheke tu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23].,We kweli una akili kisoda kwq hiyo ukijua kingereza ndo unakuwa tajiri.Nyie shukruni sisi wasomali make ndo matajiri nairobi yote.