Wakenya, mmeona sasa jinsi Demokrasia inapaswa iwe?

Wakenya, mmeona sasa jinsi Demokrasia inapaswa iwe?

Hatuja sahau ile ccm ilifanya zanzibar and rigging of votes, a case of a of a kettle calling pot black
 
Hauna heshima kwa mzee wa Chato?., Si ungejipa ata break for a week, Kenya isikutese, omboleza pole pole.
Mkuu, tunaomboleza huku tunaendelea na mambo mengine!

Juzi tu hapa watu 3 wamekufa kutokana na mgogoro wa wafuasi wa rais na naibu wake! Na hapo rais yuko hai imagine yangetokea ya hapa tz mambo yangekuwaje
 
wakenya wanashangaa No barakoa walidhani Magufuli muongo au watanzania wanamuogopa leo wamejionea wenyewe kwamba watanzania tuko Serious Mungu katushindia Corona wanafiki wachache tu hawafiki nane ukujumlisha wote na vibaraka wapenda wazungu ndio walivaa barakoa leo siku ya kuapishwa Samia Suluhu leo

Kikao cha baraza la mawaziri hakukuwa na barakoa hata moja
 
Naam, ndio Tanzania ya enzi hizi hiyo. Bunge la chama kimoja kwa zaidi ya asilimia 90. Katiba ambayo mnaitumia ndio ile ile mlioandikiwa na mabeberu. Kilichobadilika tu ni kubebewa akili kwa sana, eti hadi mnapiga nyungu kwenye hospitali kisa mzee amesema Corona ni kaugonjwa kadogo. [emoji57]
Acha papara na maneno mengi ndugu,

Umeona jinsi demcrasia inavyopaswa kuwa?
 
Toa vizungu vyako uchwara hapa na laana za ukabila.
Mtapata tabu na hizi fikra zenu hovyo, mjakombolewa kimawazo ndio maana licha ya kazi yote ya jembe mnabaki kwa ufukara. Pole mtapona tu, hakuna laana yenye haiwezi kuvunjwa.
 
Naam, ndio Tanzania ya enzi hizi hiyo. Bunge la chama kimoja kwa zaidi ya asilimia 90. Katiba ambayo mnaitumia ndio ile ile mlioandikiwa na mabeberu. Kilichobadilika tu ni kubebewa akili kwa sana, eti hadi mnapiga nyungu kwenye hospitali kisa mzee amesema Corona ni kaugonjwa kadogo. [emoji57]
alipokufa Kenyatta snr na KANU yake naskia Moi alitoka nduki akakimbilia Uganda kabla ya Njonjo kuingilia kati na kumlinda watu wa GEMA walikuwa wamchinje! Nyie muwe na chama kimoja au vyama vingi hamna tofauti!
 
Mtapata tabu na hizi fikra zenu hovyo, mjakombolewa kimawazo ndio maana licha ya kazi yote ya jembe mnabaki kwa ufukara. Pole mtapona tu, hakuna laana yenye haiwezi kuvunjwa.
We kweli una akili kisoda kwq hiyo ukijua kingereza ndo unakuwa tajiri.Nyie shukruni sisi wasomali make ndo matajiri nairobi yote.
 
Demokrasia ni pale mnawapa watu uhuru wa kuchagua, mlichowafanya kwenye uchaguzi wa mwaka jana...hehehe yaani tu hadi kicheko.
Kwani hatujawapa watu uhuru wa kuchagua?
 
Katika kipindi hiki kigumu kabisa kwa taifa,
Yani rais amefariki na wakati huo huo mfanye makabidhiano ya madaraka, je mmesikia kuna hata mende au mbuzi kafa? Je mmesikia kuna hata panya tu kajeruhiwa?
Je mmesikia hata marumbano ya maneno?

Tukiwaambia sisi ndio baba zenu hapa EAC muwe mnaelewa. Tunawasubiri 2022.
maswala ya kawaida kabisa haya.

sisi hatuwezi kuwa baba wa EAC kwasababu tumepoteza kiongozi mkubwa kwa kupuuza ushauri wa kisayansi na kukumbatia mambo ya kienyeji.
 
maswala ya kawaida kabisa haya.

sisi hatuwezi kuwa baba wa EAC kwasababu tumepoteza kiongozi mkubwa kwa kupuuza ushauri wa kisayansi na kukumbatia mambo ya kienyeji.
Tunaongelea habari ya democrasia hizo ngonjera zako peleka twitter
 
We kweli una akili kisoda kwq hiyo ukijua kingereza ndo unakuwa tajiri.Nyie shukruni sisi wasomali make ndo matajiri nairobi yote.
Ona ulivyo fukara kimawazo [emoji23][emoji23][emoji23], Nani kaongelea kujua kiingereza hapa?.., unajibu fikra zako tu, yaani ujinga ulio jaza akilini mwako, unacheza na mawazo yako tu humu. Unadhihirisha ulivyo mpuzi tu[emoji23][emoji23] Una matatizo kweli. Wacha nikucheke tu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23].,
 
Back
Top Bottom