Wakenya mnatuharibia Kiswahili

Wakenya mnatuharibia Kiswahili

mnakitamani kiswahili cha Kenya sana ila hamu wezi ni cha kisomi zaidi.
Ukipata nafasi ya ku-connect ndege pale Nairobi ukawasikia wakiongea, unajiuliza shida ni nini? Kwanini wasiendelee na hiyo lugha wanayojisifu wanaimudu? Ukisogea km 120 kwenda kule kwenye Geothermal plants, Naivasha kwenye maua na ile sehemu ya kulala kule ziwani Naivasha, huwezi kuelewa kama wanaongea kiswahili au kilugha.

Mkiweka ushindani pembeni, achaneni na Kiswahili, endeleeni kutumika kutaka kuivuruga TZ na hao watu weupe, jitieni korona feki kuhalalisha uinglishi wenu.
 
Ukipata nafasi ya ku-connect ndege pale Nairobi ukawasikia wakiongea, unajiuliza shida ni nini? Kwanini wasiendelee na hiyo lugha wanayojisifu wanaimudu? Ukisogea km 120 kwenda kule kwenye Geothermal plants, Naivasha kwenye maua na ile sehemu ya kulala kule ziwani Naivasha, huwezi kuelewa kama wanaongea kiswahili au kilugha.

Mkiweka ushindani pembeni, achaneni na Kiswahili, endeleeni kutumika kutaka kuivuruga TZ na hao watu weupe, jitieni korona feki kuhalalisha uinglishi wenu.
Mtapata shida sana. hata hamueleweki mnataka nini! Rais wenu akiongea kiswahili Ooo! hajui kiingereza hajasoma. anakwepa kwenda UNGA, haya sasa Kenya wanaongea kiingereza safi ooo! hawajui kiswahili.

Ndo maana tunasema nyie ikiwa ni pamoja na wewe ni wachawi mna fuga majini. wapo watanzania smart sana hata humu wamo, hao watawaongoza Milele! na wanaunga mkono Kenya.

Wewe utakula majini, tena u Mnafiki hujawahi kutumia viwanja vyetu vya ndege hata kimoja, Mazingira km haya Kenya hatutumii kiswahili ni viwanja vilivyo Busy Africa ni si kitoto! weka picha km ni kweli! upite hapo wende wapi weye? wanaopitaga hawasemi!
 
Ukiona mtu anaongelea sana kiswahili cha Kenya kuwa hawajui kuna mambo mawili

Hasoma shule au, St Kayumba. au

Anafuata mkumbo wa wasiojua maana. pia ni mtoto mdogo.
 
Mtapata shida sana. hata hamueleweki mnataka nini! Rais wenu akiongea kiswahili Ooo! hajui kiingereza hajasoma. anakwepa kwenda UNGA, haya sasa Kenya wanaongea kiingereza safi ooo! hawajui kiswahili.

Ndo maana tunasema nyie ikiwa ni pamoja na wewe

Mazingira km haya Kenya hatutumii kiswahili ni viwanja vilivyo Busy Africa ni si kitoto! weka picha km ni kweli! upite hapo wende wapi weye? wanaopitaga hawasemi!
Wakati mnagoma goma pale airport, nilipita njia, mkaniweka masaa 12, wanasiasa wakawaweka sawa, tukaanza safari tena.
 
Wakati mnagoma goma pale airport, nilipita njia, mkaniweka masaa 12, wanasiasa wakawaweka sawa, tukaanza safari tena.
Bwana mdogo acha uongo! wakenya hawagomi ki-spoort!! sport! ilikuwa hkn ndege kutua wala kupaaa, ndiyo ulikuwa mpango mzima, wanatikisa hasa wanaume hadi wanasiasa wanajinyea hovyo! Mzaramo huwezi sogea kwenye moto!

Pale nipiga ua, nife mimi au mwanasiasa afe!!! si mnatujua ndo zetu!!! sisi siyo waoga kama mademu ! Huko Akwilina amepigwa ka-risasi tu, mkafyata mikia yenu. Wazaramo mnacheza mdundiko tu na kulialia Ooo! Kenya hamjui kiswahili
wanaume kama sisi wako Mara, Mwanza, na shinyanga na hii Mikoa iko huko kimakosa! ndiyo wanai shape TZ. hao hawana hizi slogan km zako!

Ingetokea Kenya Akwirina au Lisu wangeumia kwa gharama kubwa sana ambayo haisemeki! dogo UNaijua MAUMAU?
 
Na jiwe anawaharibia kiingereza wakenya.......

What goes around.......
Baelezee baba hata Masai hawapendi kujulikana km watanzania. kila Masai au Mkurya akiwa nje ya nchi anatamka ametokea Kenya angalia hapa



kahawa kenya - Copy.png

Hapa Jamaa anaonja kahawa ya Kenya tena kwa hela! siyo ile Ya Bukoba! je ataagiza wapi kahawa akiitaka?

Makabila yenye umaarufu Africa Masai ni wa kwanza, wanajulikana ni wa kutokea kenya, then inafuata Yoruba kwa umaarufu,

Angalia hapa ni Banana High Land kuna picha za Masai-kenya! hakuna Mtanzania hata mmoja aliwahi fika hapa kutangaza kiswahili, Mlima Kilimanjaro, au vivutio vya kitalii sehemu km hizi, sababu wana baniana mno, kama wanavowabania wakenya kwa kitu kidogo sana Eti kibantu.
Ethiopia kuna Makabila mengi yanaongea lafudhi na maneno km Wahaya, Wakerewe, waruri, hawawezi kuwateta! ambapo Kenya pia wapo wengi tu!

Haya kingazija nacho je? watasema hawajui kiswahili wale watu? Nenda Kusini mwa Bara la Africa, Re Union, Comoro ma kabila ya Shimaonge limeenea mpaka A/kusini watasema hawajui kuongea kiswahili? acheni ubinafsi, Baadhi waTZ wana tatizo la uelewa!
 
Mtapata shida sana. hata hamueleweki mnataka nini! Rais wenu akiongea kiswahili Ooo! hajui kiingereza hajasoma. anakwepa kwenda UNGA, haya sasa Kenya wanaongea kiingereza safi ooo! hawajui kiswahili.

Ndo maana tunasema nyie ikiwa ni pamoja na wewe ni wachawi mna fuga majini. wapo watanzania smart sana hata humu wamo, hao watawaongoza Milele! na wanaunga mkono Kenya.

Wewe utakula majini, tena u Mnafiki hujawahi kutumia viwanja vyetu vya ndege hata kimoja, Mazingira km haya Kenya hatutumii kiswahili ni viwanja vilivyo Busy Africa ni si kitoto! weka picha km ni kweli! upite hapo wende wapi weye? wanaopitaga hawasemi!
Maisha ni kuzidiana...ni kweli kwenye suala la kiingereza mmetuzidi kukiongea kwa sababu sisi muda mwingi tunaongea kiswahili, tunasoma masomo yote primary kwa kiswahili na muingereza hakutawala kwa muda mrefu sana kwetu kama huko kwenu , lakini haimaanishi hatukielewi na ndio maana mtanzania akienda kusoma nje mfano uingereza ndani ya muda mfupi sana ana adjust . Na pia hata mtz aliyefika form 4 hawezi akashindwa kabisa kwenda nje kufanya biashara eti kwa sabab ya kutojua kiingereza , kwa hiyo hata kile cha form 4 kinatupa mwanga fulani.Lakini pia kiingereza tunachokiongea sisi kuna watu tumewazidi mfano watu kutoka Congo, mozambique na nchi kadhaa nyingi .

Na ninyi pia wapo waliowazidi katika ubora wa lugha hiyo ya kiingereza mfano South Africa,Canada , Uganda,Zimbabwe ,Australia na wengine wengi . Tatizo lenu hamtaki kukiri kuwa na ninyi mmezidiwa na wengine kuanzia hicho kiingereza mnachokisema na bongo tumewazidi kiswahili mbali saana.
 
Baelezee baba hata Masai hawapendi kujulikana km watanzania. kila Masai au Mkurya akiwa nje ya nchi anatamka ametokea Kenya angalia hapa



View attachment 1554551
Hapa Jamaa anaonja kahawa ya Kenya tena kwa hela! siyo ile Ya Bukoba! je ataagiza wapi kahawa akiitaka?

Makabila yenye umaarufu Africa Masai ni wa kwanza, wanajulikana ni wa kutokea kenya, then inafuata Yoruba kwa umaarufu,

Angalia hapa ni Banana High Land kuna picha za Masai-kenya! hakuna Mtanzania hata mmoja aliwahi fika hapa kutangaza kiswahili, Mlima Kilimanjaro, au vivutio vya kitalii sehemu km hizi, sababu wana baniana mno, kama wanavowabania wakenya kwa kitu kidogo sana Eti kibantu.
Ethiopia kuna Makabila mengi yanaongea lafudhi na maneno km Wahaya, Wakerewe, waruri, hawawezi kuwateta! ambapo Kenya pia wapo wengi tu!

Haya kingazija nacho je? watasema hawajui kiswahili wale watu? Nenda Kusini mwa Bara la Africa, Re Union, Comoro ma kabila ya Shimaonge limeenea mpaka A/kusini watasema hawajui kuongea kiswahili? acheni ubinafsi, Baadhi waTZ wana tatizo la uelewa!
Du... Hakika tz tunasafari ndefu sn ni wkt wa kumuondoa mhutu atuongoze mtz mwenzetu mwenye uchungu halisi na watz
 
Kwa hivyo Kiswahili Ni Cha Tanzania?
Kingereza ni Uingereza au UK hiyo haina ubishi ukisema eti kingereza lugha ya dunia huo ni uchizi tu lakini lugha yenyewe hasa UK marekani wameitangaza tu na kujinadi kua ni ya kwao ila ukweli unajulikana
 
Kenya[emoji1139]
Bunge kingereza , Radio kingereza, taarifa ya habari tena kwenye TV ya Taifa Ktv kingereza halafu lugha ya Taifa useme Kiswahili hiyo taarifa ya habari munawatangazia wazungu?. Usiwe unajibu tu ili mradi ubishane utaonekana huna akili bora ukubali tu ukweli mungu kashapanga uwezi kupindisha English UK, kichina CHINa , Kifaransa Ufaransa , Kijerumani Ujerumani , Kitaliano Italy Kiswahili TANZANIA na lugha nyenginezo nyingi ila ila hazina kiki
 
Hivi kwanini msiongee English mnayoitambia tu kuliko kuongea Kiswahili mnachotuharibia sana katika matamshi mpaka kuonekana mnatukana muda mwingine.

"NENDA KANIINGILIE"

"VENYE UKIKWENDA"

"SI UKUJE".

Nyi hata mke kwenu mnaita BIBI.

Mbona nikawaida, hata kiingereza cha uingereza kusini na kaskazini, irish, australia, amerika, naijeria vyote vinatofautiana.

Ukifuatilia lugha utajua kuwa hilo nijambo la kawaida katika lugha.

Kwaio chukulia kawaida, lamsingi kuelewana.

Kiswahili tu cha bara, pwani na visiwani sio sawa. Vinautofauti na misamiati mingi sana, chunguza ilo kisha utaelewa haina haja ya kumwambia mkenya lolote ila kujua namna ya kuelewana
 
Back
Top Bottom