Enzi zetu O level mpaka advance shule za serikali kila siku jioni ilikuwa ugali maharage. Na hakuumwa matumboWakuu kwanza nawapongeza kwa uchaguzi.
Nsiwachoshe sasaaa
Huyu baba wa watuu mnataka kupiga naye pichaaaa, kila mtu, makampuni n.k,
Si atapata vidonda vya tumbo kwa hayo maharage?
Muoneeni huruma jamani huyu baba wa watu maharage ni chakula kizuri ila yakizidi husababisha vidonda vya tumbo
Hii ni kenya forum jombaaEnzi zetu O level mpaka advance shule za serikali kila siku jioni ilikuwa ugali maharage. Na hakuumwa matumbo
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu unajua anapiga picha ngapi kwa siku? Ni nyingi eti !!!!Enzi zetu O level mpaka advance shule za serikali kila siku jioni ilikuwa ugali maharage. Na hakuumwa matumbo
Sent using Jamii Forums mobile app
Wakuu kwanza nawapongeza kwa uchaguzi.
Nsiwachoshe sasaaa
Huyu baba wa watuu mnataka kupiga naye pichaaaa, kila mtu, makampuni n.k,
Si atapata vidonda vya tumbo kwa hayo maharage?
Muoneeni huruma jamani huyu baba wa watu maharage ni chakula kizuri ila yakizidi husababisha vidonda vya tumbo
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]Ni githeri aisee linatamkwa getheri kwa kikikuyu. Huyu jamaa ikifika usiku kazi yake itakuwa ni mbio ya 100mita tu! Maanake githeri chote hicho ni hatari sana kwa afya ya binadamu na hata wanyama!
Wamempa biscuits hahaha aache urohoJamaa kashakuwa celebrity na iyo itamlipa big time.Jana nimechek Samsung wamempa S8 mpya na kampuni nyigne ya Biscuits Britania wamempa kopo mbili za Biscuits.What next ni deal za matangazo.Chezea Githeri wewe.I miss those days tukila Githeri high School.Tulikuwa tunalalamika lakini ni chakula kizuri.
Sio kumpa tu biscuits, bali wanam-approach awe balozi wao au atokee kwenye matangazo yaoWamempa biscuits hahaha aache uroho
Aisee jamaa katisha