mbere
JF-Expert Member
- Mar 5, 2015
- 6,967
- 6,465
Wakuu kwanza nawapongeza kwa uchaguzi.
Nsiwachoshe sasaaa
Huyu baba wa watuu mnataka kupiga naye pichaaaa, kila mtu, makampuni n.k,
Si atapata vidonda vya tumbo kwa hayo maharage?
Muoneeni huruma jamani huyu baba wa watu maharage ni chakula kizuri ila yakizidi husababisha vidonda vya tumbo
Nsiwachoshe sasaaa
Huyu baba wa watuu mnataka kupiga naye pichaaaa, kila mtu, makampuni n.k,
Si atapata vidonda vya tumbo kwa hayo maharage?
Muoneeni huruma jamani huyu baba wa watu maharage ni chakula kizuri ila yakizidi husababisha vidonda vya tumbo